johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,149
Kiukweli nimeamini CCM ni Chama kikubwa tena chenye mipango mikubwa sana sioni Chama cha Upinzani cha kuiangusha CCM kwa miaka 50 ijayo
Hapa nafuatilia Mkutano mkuu wa Chama cha Kikomunisti cha China hawa jamaa ni CCM kabisa yaani wamefanana kweli kweli
Nawatakia Dominica njema!
Hapa nafuatilia Mkutano mkuu wa Chama cha Kikomunisti cha China hawa jamaa ni CCM kabisa yaani wamefanana kweli kweli
Nawatakia Dominica njema!