Slaa ni Katibu Mkuu wa CDM, Mke wake ni mbunge mteule!, hawara ake anataka kugombea ubunge Ubungo na ni kada wa cdm!, Mtei ni mwanzilishi na mlezi wa CDM, Mkwe wake Mbowe ni Mwenyekiti wa chama!, Ndesamburo ni muasisi wa CDM na Mbunge wa M.Mjini, mtoto wake ni mbunge wa CDM!
Sasa ukiacha mbali udini uliopo CDM kwa Mapadre na Maaskofu kuipigia debe uchaguzi 2010! kumbuka Askofu Kakobe!
Ukanda na ukabila ndio kama huo wa CDM kuongozwa na familia za kichagga!
Kikwete M/kiti ccm
Salma kikwete ni mjumbe wa H/kuu kutoka lindi
Ridhiwani Kikwete ni mjumbe uvccm pwani
Yusufu Makamba toka ingia J. Makamba
Mwinyi toka ingia Huseni Mwinyi
Karume toka ingia Karume mtoto
Hiki ni chama tawala ni chama cha kisulutani