CHADEMA ni chachu tu, haiwezi kuikomboa Tanzania

Hili ni pigo la kwanza kwa CDM. Ikiwa mlezi ana mawazo mabovu unahisi mtoto atakuzwa katika misingi ya tabia njema? In short mtoto huchukua tabia za mlezi wake! Unajitetea vipi hapo?

Usitutoe kwenye ukweli kuhusu our public enemy number one, ni ujambazi wa mali ya umma ambao muasisi ni CCM. Ukanda na ukabila is not our concern for now kwa sababu sisi tunaishi kwa amani na dini na makabila yetu.

Ni wizi wa CCM ndio tunataka tuung'oe through a ballot box. Usifikiri sisi watoto kututoa kwenye ajenda yetu ambayo ni wizi unaosababisha umaskini.
 
I dont want to be personal. Katibu wenu sawa ni msomi ni DR wa nini na ameipata wapi? Maana kusema kweli sijui. Mbowe ana elimu gani? Hata hivyo bado sio tatizo kubwa sana, tatizo ni hizo propaganda nyingine ambazo walio wengi wanaziamini na zinaathiri ukuaji wa chama!
Niletee hapa elimu ya kikwete ndio nitajibu hayo maswali uchwara yako....
 
CCM kuna ukanda (Nape allsema Rais hawezi kutoka kaskazini), ccm hii kuna udini unayesema hakuna thibitisha (awamu zote mbili za JK makamu wa Rais wamekuwa waislamu tofauti na kipindi cha Mkapa) ningekuwa nasema hivi kama ningekuwa kilaza. Mabadiliko hayana ratiba hadi useme sijui kiundwe chama gani cha wasomi wapuuzi...unajua mazingira ya kukitia nakshi chama cha siasa? Unaijua gharama ya kuwafikia watu ndani ya nchi kubwa kama Tanzania? Unaamini ccm itaacha kueneza propaganda chafu dhidi ya chama kipya kitakachotishia uhai wake? Una mfano gani katika siasa za kimataifa yalikofanyika unayoyapendeza kwa mazingira sawa na Tanzania? Bila shaka umetumwa au unatumikishwa kwa kujua au bila kujua kwa kuwa kichwa cha kuku hakibebi mzigo!
 
Niletee hapa elimu ya kikwete ndio nitajibu hayo maswali uchwara yako....

Kikwete, Jakaya Mrisho , 1950-, Tanzanian political leader, b. Msoga, Tanganyika, grad. Univ. of Dar-es-Salaam (1978). He joined the defense forces while in college, and rose to the rank of lieutenant colonel before he retired in 1992. Kikwete entered politics in 1988 and served as minister of energy, water, and minerals (1990-94) and of finance (1994-95). He unsuccessfully sought the presidency in 1995 but then served under President Benjamin Mkapa as foreign minister (1995-2005). In 2005 he mounted a successful campaign for president as candidate of the ruling Party of the Revolution, winning 80% of the vote; he was reelected in 2010 with more than 60% of the vote.
 
Usitutoe kwenye ukweli kuhusu our public enemy number one, ni ujambazi wa mali ya umma ambao muasisi ni CCM. Ukanda na ukabila is not our concern for now kwa sababu sisi tunaishi kwa amani na dini na makabila yetu.

Ni wizi wa CCM ndio tunataka tuung'oe through a ballot box. Usifikiri sisi watoto kututoa kwenye ajenda yetu ambayo ni wizi unaosababisha umaskini.

Hujanielewa! Ninakuzindua ili tusije tukapoteza muda mwengine. CDM kuripuka ni swala la muda tu! CCM wanachanga karata zao vizuri. Hivi vyama tayari wameshaweka mitego ikifikia apex unaona yote inafyatuka halafu wanatukatisha tamaa. Kumbuka wakati wa Mrema, kila mtu aliamini kwamba muda mfupi tu ujao rais atatoka upinzani. Iko wapi leo TLP na NCCR? Ni kipi kimewafikisha walipo, sometimes wanashindwa hata kupata jimbo la ubunge wakati once walikuwa wananyemelea urais! Hujiulizi?
 
Kama CCM kuna undugu nization nao Chadema wakifanya kama wao unaona sawa sio? yaani kama CCM kuna ufisadi na CDM mtafanya vivyo hivyo sio? ndio maana Wananchi walio wengi hawana imani na CDM!

Kweli hata kama kuna UNDUGU CHADEMA ni SAWASAWA na WA CCM?; UFISADI wa CHADEMA ni UPI? Kwanini tuandikie MATE wakati WINO UPO!!!

Taja HUO UFISADI wa CHADEMA


Ni Sawa Ukisema Wananchi Hawana IMANI na CHADEMA hiyo ni DEMOCRACY; Lakini Hauwezi kusema ni WANANCHI WENGI

NADHANI ULIANGALIA USHINDI wa KIKWETE DHIDI ya DR.SLAA


[h=2]Results[/h]
CandidatePartyVotes% Vote
Jakaya KikweteChama Cha Mapinduzi (CCM)5 276 82762.83
WP SlaaChama Cha Demokiasia na Maendeleo (CHADEMA)2 271 94127.05
Ibrahim LipumbaCivic United Front (CUF)695 6678.28
Peter Mziray KugaProgressive Party of Tanzania (PPT-MAENDELEO)96 9331.15
Rungwe Hashim SpundaNational Convention for Construction and Reform (NCCR-Mageuzi)26 3880.31
Muttamwega Bhatt MgaywaTanzania Labour Party (TLP)17 4620.21
Yahmi Nassoro DovutwaUnited People's Democratic Party (UPDP)13 1760.16
Total8 398 39499.99
[h=3][/h]Inaonyesha kuwa KIKWETE alishinda kwa KURA 3,000,000 TU; HAPO BAADA ya KUGUSHI, UFISADI wa CCM; WIZI wa KURA na KUTUMIA MABILIONI ya PESA kuleta Wanamuziki kwenye MAJUKWAA ya SIASA; Kutoa KOFIA, KHANGA, T-SHIRT, WALI na VYAKULA YA AINA YAKE; KUHONGA kwa kulipia PIKIPIKI --- NDIO CCM inayopendwa??

Sasa CHADEMA ilipata WATU Million 2; HIVYO HAIPENDWI???
 
Kikwete, Jakaya Mrisho , 1950-, Tanzanian political leader, b. Msoga, Tanganyika, grad. Univ. of Dar-es-Salaam (1978). He joined the defense forces while in college, and rose to the rank of lieutenant colonel before he retired in 1992. Kikwete entered politics in 1988 and served as minister of energy, water, and minerals (1990-94) and of finance (1994-95). He unsuccessfully sought the presidency in 1995 but then served under President Benjamin Mkapa as foreign minister (1995-2005). In 2005 he mounted a successful campaign for president as candidate of the ruling Party of the Revolution, winning 80% of the vote; he was reelected in 2010 with more than 60% of the vote.
Hapo kwenye red hizo asilimia alipewa na hao wanaomchezea mpaka masab... ila kajifanya haoni wala hasikii,rais gani hata mambo ya msingi kazi ni kucheka cheka tu mwanzo wa mwaka mpaka mwisho wa mwaka???khaaa!!Naombeni wadau mwenye CV ya DR. wa ukweli na sio wakupewa kama mkara atuwekee hapa ili hili gamba liufyate!!!Hv mkuu mnalipwa ga bei gani kwa mapovu yote haya???
 
Kama CCM kuna undugu nization nao Chadema wakifanya kama wao unaona sawa sio? yaani kama CCM kuna ufisadi na CDM mtafanya vivyo hivyo sio? ndio maana Wananchi walio wengi hawana imani na CDM!

Hehe umeona een? Hii CDM ukiifkiria kwa makini unagundua kama ni watu wa media
 
Kama kuna jambo ambalo ni dhahiri kwa sasa kwa Tanzania, ni hamu ya watanzania kupata mabadiliko ya kisiasa na kiuchumi. Lakini pengo kubwa linaloonekana ni kukosekana kwa nguvu na sauti moja ambayo itaungwa mkono na watanzania kutoka makundi yote ya kijamii bila kujali makabila yao, dini zao, rangi zao, jinsia n.k.

Wakati ikionekana ni wazi kuwa CCM ni chama ambacho watanzania wangependa kikae chonjo ili kupisha mabadiliko na kujikarabati upya, hakuna chama cha upinzani ambacho kinawaunganisha watanzania kufikia malengo hayo kwa mujibu wa tofauti zao. Hii ni kutokana na kasoro mbali mbali zikiwemo za kuzuwa na nyingine ni za kweli ambazo kwa kiasi kikubwa zimeweza kuaminiwa na baadhi ya wananchi walio wengi.

Vyama vingi viliibuka na kufifia mfano TLP na NCCR kwa sababu mbalimbali ikiwemo ubinafsi wa viongozi waliovianzisha, migogoro ya kimaslahi na mapandikizi kutoka chama tawala. Mfano wa udhaifu katika vyama vya upinzania hapa Tanzania ni kama ifuatavyo:

1) CHADEMA
Kwa sasa ndicho chama ambacho kinaonekana kuwa na nguvu kubwa kama chama kikuu cha upinzani.

Hata hivyo kinakabiliwa na shutuma zifuatazo:
i)Ukabila na ukanda
ii)Ukosefu wa maadili kwa watendaji wake wakuu
iii)Kutokuaminiana kati ya viongozi wake wakuu ikidhaniwa kwamba baadhi ni mapandikizi kutoka chama tawala.
iv)Dhana ya CHADEMA kwamba vyama vyote vya upinzani ni mapandikizi ya CCM, hivyo kukataa ushirikiano na vyama vingine.
v)Udini


2)CUF
Ni chama ambacho ni cha pili cha upinzani baada ya CHADEMA. Hata hivyo kinashutumiwa kwa mambo yafuatayo:
i) Udini
ii) Usultani wa viongozi wakuu kuhodhi madaraka na kutokuwapisha wengine kukamata nafasi kubwa za uongozi
iii) Kuwa na nguvu upande mmoja wa muungano

3) NCCR: Huko mwanzo kilishawahi kuhusishwa na ukanda na ukabila. Hata hivyo kwa sasa madai haya hayasikiki kwa vile nguvu zake zimepungua kama ilivyo TLP.
4) Vyama vingine vilivyobaki vinachukuliwa kama NGOs za kujipatia mapato kwa waliovianzisha.
Hizi shutma iwe zina uhakika au ni za kukisia, tukubali kuwa ni pengo kwa ukombozi wa kweli wa Tanzania na ni ngumu kuziondoa kwa sasa kwa vile jamii imeshagawanywa kwa misingi hiyo.

HITIMISHO:

Ili kukata kiu ya mabadiliko ya watanzania, ni vyema wasomi mbalimbali maarufu wanaokubalika wasiohusika na kashfa hizo hapo juu kuungana na kuanzisha chama ambacho kitakubalika na watanzania walio wengi. Vugu vugu hili la mabadiliko ya kweli litafaa zaidi kama litaanzia kwenye taasisi za elimu ya juu.

Tukifika hapo TZ in 2015 ni vifijo na nderemo! Kinyume chake, tusahau kuingóa CCM madarakani kutokana na advantage ya mgawanyiko kutokana na tofauti tajwa hapo juu. Weka ushabiki wa chama pembeni unapochangia hii thread! Mihemko ikikuzidi, fanya kama vile hujaiona hii thread!

Mkuu niongezee, hapo kwa CDM: Sera yao ya kuamini kuwa upinzani maana yake ni kukataa kila jambo linalofanywa na Serikali ni hatari sana katika msatakabali wa maedeleo ya taifa. Uchu wa madara ya baadhi ya viongozi kama akina MABERE MARANDO mwasisi wa NCCR-MAGEUZI ni hatari kuliko maelezo.
 
Hehe umeona een? Hii CDM ukiifkiria kwa makini unagundua kama ni watu wa media
Teh teh teh, unanikumbusha mbunge wangu wa UBUNGO, yeye maendeleo anatuletea kupitia media tu na si kwa vitendo, utasikia anakimbilia vyombo vya habari mara napeleka hoja binafsi ya maji bungeni, mara tunajenga barabara za jimbo na mambo chungu mbofu.
 
Hapo kwenye red hizo asilimia alipewa na hao wanaomchezea mpaka masab... ila kajifanya haoni wala hasikii,rais gani hata mambo ya msingi kazi ni kucheka cheka tu mwanzo wa mwaka mpaka mwisho wa mwaka???khaaa!!Naombeni wadau mwenye CV ya DR. wa ukweli na sio wakupewa kama mkara atuwekee hapa ili hili gamba liufyate!!!Hv mkuu mnalipwa ga bei gani kwa mapovu yote haya???

Hapo kwenye red, naona kama ulidhamiria tu kujivunjia heshima, kwani wewe ukifanya jambo jema unalia? unawezaje kumuita mtu DR. wa ukweli wakati haujui CV yake? Nani anayelipwa kutoa mapovu bila sababu, wewe unayetukana huku ukiwaita wengine Ma-Dr. wa ukweli wakati hata CV zao huzjui au wale wanaosema ukweli?

Watanzania kazi tunayo, kama kweli ma-great thinker tulio nao ni wa aina yako.
 
Ccm oyeeeeee wewe hauna mpinzani vyama vingine vyote udini ukabila ukanda ndiyo sera zao je chacha zakayo yuko wapi? Hivi chadema uenyekiti mpaka mtei akukubari? Wote wanao onyesha nia ya kugombea wenyekiti wanawekewa mizengwe je haki iko wapi? Acha ushamba cdm sio chama bali ni NGOS ya mtei na mkwilima wake
 
Kweli hata kama kuna UNDUGU CHADEMA ni SAWASAWA na WA CCM?; UFISADI wa CHADEMA ni UPI? Kwanini tuandikie MATE wakati WINO UPO!!!

Taja HUO UFISADI wa CHADEMA


Ni Sawa Ukisema Wananchi Hawana IMANI na CHADEMA hiyo ni DEMOCRACY; Lakini Hauwezi kusema ni WANANCHI WENGI

NADHANI ULIANGALIA USHINDI wa KIKWETE DHIDI ya DR.SLAA


Results

CandidatePartyVotes% Vote
Jakaya KikweteChama Cha Mapinduzi (CCM)5 276 82762.83
WP SlaaChama Cha Demokiasia na Maendeleo (CHADEMA)2 271 94127.05
Ibrahim LipumbaCivic United Front (CUF)695 6678.28
Peter Mziray KugaProgressive Party of Tanzania (PPT-MAENDELEO)96 9331.15
Rungwe Hashim SpundaNational Convention for Construction and Reform (NCCR-Mageuzi)26 3880.31
Muttamwega Bhatt MgaywaTanzania Labour Party (TLP)17 4620.21
Yahmi Nassoro DovutwaUnited People's Democratic Party (UPDP)13 1760.16
Total8 398 39499.99
Inaonyesha kuwa KIKWETE alishinda kwa KURA 3,000,000 TU; HAPO BAADA ya KUGUSHI, UFISADI wa CCM; WIZI wa KURA na KUTUMIA MABILIONI ya PESA kuleta Wanamuziki kwenye MAJUKWAA ya SIASA; Kutoa KOFIA, KHANGA, T-SHIRT, WALI na VYAKULA YA AINA YAKE; KUHONGA kwa kulipia PIKIPIKI --- NDIO CCM inayopendwa??

Sasa CHADEMA ilipata WATU Million 2; HIVYO HAIPENDWI???

Hivi ukishinda umeiba? kazi kweli kweli. Eh OBAMA alimwibia ROMNEY kura ngapi? Ondokaneni mawazo finyu kama hayo, jengeni chama , washawishini watanzania kuwa mnaweza. Hivi kweli kila mkiamka, CCM wezi, mafisadi, kila mkiamka KINANA hafai, MANGULA hawezi, kila mkiamka Hatushiriki katika shughuli za maendeleo zinazofanywa na Serikali ya CCM, kila mkiamka Maandamano, vurugu, matusi, hujuma, na upuuzi kibao halafu mnategemea wananchi waamini, 2015 kuna uwezekano mkubwa wa kuyakataa matokeo hata kabla ya kutangazwa, kwani dalili zinaonesha wazi kuwa wananchi wameshagundua kuwa CDM ni wasanii tu. Wapo wana-CDM wachache sana ambao wanafanya siasa za kweli, bila kumumunya maneno niwataje ZITTO KABWE na JOSEPH SELASINI.
 
unazunguuuuuuka mwisho wa siku unasema CDM ni chachu, mtaikubali tu CDM, jipangeni sn na kampeni na sera zenu za kitoto!!!! ni dhahiri chadema inawanyima usingizi, hamlali hampumui na mpaka mtaokota makopo!! eti udini, ZZK, Dr, Mdee, wenje, ni kabila gani na dini gn???
 
Ukanda na udini wa CDM ni ndoto za alinacha na ni kama nchi ya kusadikika chama cha aina hiyo hakiwezi kupata usajili Tanzania, so nyinyiemu waache propaganda za kuwabagua watanzania, utulivu ukishatoweka kuurudisha itakuwa ishu.
 
unazunguuuuuuka mwisho wa siku unasema CDM ni chachu, mtaikubali tu CDM, jipangeni sn na kampeni na sera zenu za kitoto!!!! ni dhahiri chadema inawanyima usingizi, hamlali hampumui na mpaka mtaokota makopo!! eti udini, ZZK, Dr, Mdee, wenje, ni kabila gani na dini gn???

Unajua let me make it clear, ndani ya CDM kuna wapinzani wa kweli, lakini haitowi platform ya kuwezesha kuikomboa TZ kutokana na misingi ya waasisi wake. I dont have problem na hao wote uliowaaja, tatizo mnawatumia pale tu mnapohitaji kujikwamua na shutuma mbalimbali. Mfano, mnatumia Zitto mnaposhutumiwa mna udini lakini at the same time mnatuhumu kama pandikizi pale anapodai kuwa anataka kugombea urais!!!!!!!!!

Hili ni tatizo, I was expecting chama kama CDM inapotokea mtu akatoa opinion za namna hiyo mumsupport kwamba ndio demokrasia bila ya kumuekea kinyongo. Otherwise inakuwa kama wengine wamejiunga na chama ili wawe wasindikizaji!!

Mwisho wa siku mtawawekea mizengwe na kuwafukuza kwenye chama. As a resut mnatuulia political stars of Tanzania. Ndio maana nasema, CDM haiwezi kuikomboa hii nchi kwa vile misingi ya uanzishwaji na uendeshaji wake siyo. Let's get a new platform ambapo this political stars waweze kuonesha vipaji vyao kutokana na uwezo.
 
Hapo kwenye red, naona kama ulidhamiria tu kujivunjia heshima, kwani wewe ukifanya jambo jema unalia? unawezaje kumuita mtu DR. wa ukweli wakati haujui CV yake? Nani anayelipwa kutoa mapovu bila sababu, wewe unayetukana huku ukiwaita wengine Ma-Dr. wa ukweli wakati hata CV zao huzjui au wale wanaosema ukweli?

Watanzania kazi tunayo, kama kweli ma-great thinker tulio nao ni wa aina yako.
Mtoto wa mkwezi na bado utaendelea kuangua nazi mpaka kiama,nyinyiemu inawafanya lakini mnajipa moyo,sina shaka akili yako imeathirika na mnazi badala ya chai...Dr wa ukweli unamjua na wakupewa kama hisani ndio anakutoa mapovu....na bado mtaendelea kuwa mazuzu wa magamba!!!!
 
Unajua let me make it clear, ndani ya CDM kuna wapinzani wa kweli, lakini haitowi platform ya kuwezesha kuikomboa TZ kutokana na misingi ya waasisi wake. I dont have problem na hao wote uliowaaja, tatizo mnawatumia pale tu mnapohitaji kujikwamua na shutuma mbalimbali. Mfano, mnatumia Zitto mnaposhutumiwa mna udini lakini at the same time mnatuhumu kama pandikizi pale anapodai kuwa anataka kugombea urais!!!!!!!!!

Hili ni tatizo, I was expecting chama kama CDM inapotokea mtu akatoa opinion za namna hiyo mumsupport kwamba ndio demokrasia bila ya kumuekea kinyongo. Otherwise inakuwa kama wengine wamejiunga na chama ili wawe wasindikizaji!!

Mwisho wa siku mtawawekea mizengwe na kuwafukuza kwenye chama. As a resut mnatuulia political stars of Tanzania. Ndio maana nasema, CDM haiwezi kuikomboa hii nchi kwa vile misingi ya uanzishwaji na uendeshaji wake siyo. Let's get a new platform ambapo this political stars waweze kuonesha vipaji vyao kutokana na uwezo.

Suala hapa co urais isue ni udini na ukabila, mkuu bayana mbona unachanganya madesa??? suala la urais hata huko kwenu magamba mna taratibu na kanuni zenu ambazo anayetaka lazima aifuate na co kukurupuka tu, NYINYIEM haiendi coz kila mtu anafanya lake na hakuna wa kukemea, This is CDM ina katiba na misingi yake lazima ifuatwe, and thanks GOD cdm hakuna aliye juu kuliko chama kama mnavodanganyana magamba!! ni wagumu wa kupambanua mambo ndio maana kila siku mnajichanganya na hiyo kachumbari haiwez kulika.
 
Back
Top Bottom