CHADEMA ni chachu tu, haiwezi kuikomboa Tanzania

Kwanza huyo jamaa mimi namuona yeye ndiyo mbaguzi kwa nini aseme kianzishwe chama cha wasomi ina maana wasio wasomi hawana nafasi ya kuchangia mabadiliko wakiwa wanachama??? Nadhani hata uelewa wake una kasoro na kama kapita shule basi alinunua mitihani kwa kutumia pesa ya ada ya shule au pocket money alopewa na wazazi wake shame on him/her

Uelewa wangu kutofautiana na wa kwako ni natural wala sio dhambi na watu hawawezi kuwa sawa.
Wasomi kuanzisha haina maana kitakuwa cha wasomi peke yao ila wao ni dira ya mabadiliko.
 
Ukiweza toa jibu la hili swali baada ya kusoma alichosema Mtei ambaye ni mzee wa CDM na mshauri. Unategemea nini kama mtu mwenye upeo na elimu kama huyu kusema maneno haya. This is very recent, sio 2010, hii ni 2012 aliyasema maneno haya: Fuata hiyo link.

http://1.bp.blogspot.com/-xTseBL2c_9U/T4GPMGOlr8I/AAAAAAAAGoQ/eyi6VGhVO8g/s1600/KATIBA2.png

Ya huko nyuma labda watu waliyasahau, lakini haya ya kutaka tume ya mabadiliko ya katiba iwe na uwiano wa wateuliwa kulingana na dini zao ni nini? Sio udini?
 
weka chadema 2015,ili ccm wajifunze adabu watakaporudi madarakani

wametukosea heshima kwa muda mrefu na hawajifunzi wakiwa madarakani
 
Ndugu mleta mada,ukisema tusubiri chama ambacho hakitahusishwa na propaganda ni kujidanganya,kwani hakuna siku CCM itaacha chama cha upinzani tishio kifanye shughuli zake bila kukihusisha na udini,ukabila,ukanda nk ili kudhoofisha upinzani.
Hivyo,si sahihi kutathmini chama kwa propaganda zinazo zushwa na chama tawala dhidi yake bila kuangalia ukweli wa hizo propaganda kama ulivyo fanya mkuu wangu.
CHADEMA has proven beyond doubt to be a national party for Tanzanians' welfare.
Only blind one can fail to see the fact.
 
ucdrop thread ili mrad wa2 wachangie u must think b4 u reap, we unakurupuka unafkiri mtt mdogo kuleta mada za kshabk humu. chama cha miungu hawana jpya xaxa wewe unawatetea utafkiri baba ako mwenyekt mtaa wa chama cha miungu. :mad2:
 
ucdrop thread ili mrad wa2 wachangie u must think b4 u reap, we unakurupuka unafkiri mtt mdogo kuleta mada za kshabk humu. chama cha miungu hawana jpya xaxa wewe unawatetea utafkiri baba ako mwenyekt mtaa wa chama cha miungu. :mad2:

Umezoea kusifiwa! Kila anayekukosoa utafikiri ni mtoto! Chukua hizo shutuma halafu kazifanyie kazi ujenge chama chako.
Hivi ni kweli hujayasikia hayo tangu uzaliwe? Muda si mrefu usipokuwa makini utakuja kuona athari ya hizo shutuma. Amka kijana/ mzee. I will tell you what you need to know not what you want to hear.
 
Slaa ni Katibu Mkuu wa CDM, Mke wake ni mbunge mteule!, hawara ake anataka kugombea ubunge Ubungo na ni kada wa cdm!, Mtei ni mwanzilishi na mlezi wa CDM, Mkwe wake Mbowe ni Mwenyekiti wa chama!, Ndesamburo ni muasisi wa CDM na Mbunge wa M.Mjini, mtoto wake ni mbunge wa CDM!

Sasa ukiacha mbali udini uliopo CDM kwa Mapadre na Maaskofu kuipigia debe uchaguzi 2010! kumbuka Askofu Kakobe!
Ukanda na ukabila ndio kama huo wa CDM kuongozwa na familia za kichagga!

Yeah ASKOFU KAKOBE yeye ni wa DHEHEBU MOJA kati ya 20 ya KIKRISTO; Sasa kama yeye anongelea UCHADEMA; WAPO WENGI WALIPONGEZA U-CCM na BAADHI YAO NI WABUNGE NDANI YA CCM

KIONGOZI alieyeanzisha CHADEMA ni BOB MAKANI - MSUKUMA-MWISLAMU; EDWIN MTEI-MKSRISTO (CATHOLIC) - MMARANGU; MBOWE- MMACHAME-MKRISTO(LUTHERAN)

Sasa hapo ni kuwa EDWIN MTEI na MBOWE sio KABILA MOJA; SIO DINI MOJA... LUGHA tofauti - MBOWE KIMACHAME; MTEI - KIMARANGU sio KIVUNJO
Ni Sawa na BOB MAKANI - MSUKUMA - WA SHINYANGA sio wa MWANZA ni tofauti - NI MWISLAMU - SUNNI sio SHIITE

SASA Kama UKIFANYA HIVYO UTAKUTA CHADEMA IMEBADILIKA zaidi NDIO MAANA NYERERE aliihasisha KISWAHILI na kuondoa HAYA MAMBO YA UDINI na UKABILA yaliyoanza wakati wa UTAWALA wa RAIS KIKWETE

UKIONGELEA FAMILIA YA SLAA CHADEMA?
VIPI FAMILIA YA KIKWETE; PRINCE; MKEWE; KAKA YAKE; DADA YAKE woooote wako NDANI YA CCM-NEC?

UKIONGELEA hivyo

MATHAYO DAVID MATHAYO - WAZIRI ni MTOTO wa CLEOPA MSUYA

ADAM MALIMA - WAZIRI ni MTOTO wa KIGHOMA MALIMA

Teresa HUVISA (SIJUI NIMELIPATIA VIZURI) - WAZIRI - ni MTOTO wa LAWRENCE GAMA
Ana KAKA MKUU WA MKOA WA KILIMANJARO

Kawawa ana Watoto 2 WABUNGE

HII NI KWA UFUPI ITAJAZA JAMII FORUMS PAGES...

Sasa KUWA MAKINI SANA UKIONGELEA UDINI na UKABILA; Sababu Enzi za KIKOLONI MANGI Wamachame na CHIEF MAREALLE wa MARANGU walikuwa Hawapatani; ILIKUWA ni VITA KILA MARA... Sasa BILA NYERERE kuondoa UCHIEF na UMANGI Wachagga Wasingekuwa kama unavyoona ni PAMOJA; NI TOFAUTI KABISAAA hadi CULTURE zao

Angali WABUNGE wengi UCHAGANI ni wa CCM...
 
  • Thanks
Reactions: Pai
Kama kuna jambo ambalo ni dhahiri kwa sasa kwa Tanzania, ni hamu ya watanzania kupata mabadiliko ya kisiasa na kiuchumi. Lakini pengo kubwa linaloonekana ni kukosekana kwa nguvu na sauti moja ambayo itaungwa mkono na watanzania kutoka makundi yote ya kijamii bila kujali makabila yao, dini zao, rangi zao, jinsia n.k.
Wakati ikionekana ni wazi kuwa CCM ni chama ambacho watanzania wangependa kikae chonjo ili kupisha mabadiliko na kujikarabati upya, hakuna chama cha upinzani ambacho kinawaunganisha watanzania kufikia malengo hayo kwa mujibu wa tofauti zao.
Hii ni kutokana na kasoro mbali mbali zikiwemo za kuzuwa na nyingine ni za kweli ambazo kwa kiasi kikubwa zimeweza kuaminiwa na baadhi ya wananchi walio wengi.
Vyama vingi viliibuka na kufifia mfano TLP na NCCR kwa sababu mbalimbali ikiwemo ubinafsi wa viongozi waliovianzisha, migogoro ya kimaslahi na mapandikizi kutoka chama tawala.
Mfano wa udhaifu katika vyama vya upinzania hapa Tanzania ni kama ifuatavyo:

1) CHADEMA
Kwa sasa ndicho chama ambacho kinaonekana kuwa na nguvu kubwa kama chama kikuu cha upinzani.

Hata hivyo kinakabiliwa na shutuma zifuatazo:
i)Ukabila na ukanda
ii)Ukosefu wa maadili kwa watendaji wake wakuu
iii)Kutokuaminiana kati ya viongozi wake wakuu ikidhaniwa kwamba baadhi ni mapandikizi kutoka chama tawala.
iv)Dhana ya CHADEMA kwamba vyama vyote vya upinzani ni mapandikizi ya CCM, hivyo kukataa ushirikiano na vyama vingine.
v)Udini

2)CUF
Ni chama ambacho ni cha pili cha upinzani baada ya CHADEMA. Hata hivyo kinashutumiwa kwa mambo yafuatayo:
i) Udini
ii) Usultani wa viongozi wakuu kuhodhi madaraka na kutokuwapisha wengine kukamata nafasi kubwa za uongozi
iii) Kuwa na nguvu upande mmoja wa muungano

3) NCCR: Huko mwanzo kilishawahi kuhusishwa na ukanda na ukabila. Hata hivyo kwa sasa madai haya hayasikiki kwa vile nguvu zake zimepungua kama ilivyo TLP.
4) Vyama vingine vilivyobaki vinachukuliwa kama NGOs za kujipatia mapato kwa waliovianzisha.
Hizi shutma iwe zina uhakika au ni za kukisia, tukubali kuwa ni pengo kwa ukombozi wa kweli wa Tanzania na ni ngumu kuziondoa kwa sasa kwa vile jamii imeshagawanywa kwa misingi hiyo.

HITIMISHO:

Ili kukata kiu ya mabadiliko ya watanzania, ni vyema wasomi mbalimbali maarufu wanaokubalika wasiohusika na kashfa hizo hapo juu kuungana na kuanzisha chama ambacho kitakubalika na watanzania walio wengi.
Vugu vugu hili la mabadiliko ya kweli litafaa zaidi kama litaanzia kwenye taasisi za elimu ya juu.
Tukifika hapo TZ in 2015 ni vifijo na nderemo! Kinyume chake, tusahau kuingóa CCM madarakani kutokana na advantage ya mgawanyiko kutokana na tofauti tajwa hapo juu.
Weka ushabiki wa chama pembeni unapochangia hii thread! Mihemko ikikuzidi, fanya kama vile hujaiona hii thread!

Bayana, unapoteza muda wako kwa spinning za kijinga. Pole sana!
 


UKOMBOZI toka kwa NANI?
Kama kawaida ya Wasio jua DEMOKRASIA Unahusisha CHAMA cha CHADEMA na UDINI; UHAKIKA wako UKO WAPI wakati ina Wabunge; Madiwani wa DINI MBALIMBALI?

Dr. Slaa; Mbowe; Zitto - Hao wote watatu wako DINI tofauti na Dr. Slaa na Mbowe wako Madhehebu Mbalimbali
Sasa UDINI wako UNAUTOA WAPI?

Kwasababu inaonyesha UNAONGEA kama Rais KIKWETE alipokuwa anagombea URAIS 2010; Alihusisha CHADEMA na UDINI na UKABILA lakini hakuwa na UTHIBITISHO - Na Sasa yanamtokea ya UAMSHO na SHEIKH PONDA

Kama Unaweka HOJA ni bora UWE NA UTHIBITISHO wa Kauli zako Unazozitoa; TUSITAFUTE UMASHUHURI

Mkuu umenena very right.
 
Bayana, unapoteza muda wako kwa spinning za kijinga. Pole sana!

Sasa ngurumo mbona husemi ujinga uko wapi? Kaa ukikumbuka kuwa hata siku moja watu wote hawawezi kuwa na mawazo ya aina moja. Jifunze kujenga hoja zaidi ya kutukana. Unajua maana ya ujinga? Iko siku utakuja kusema kwamba upande unao usupport hauna lolote. Ila wakati huo hutakumbuka haya maoni kwa vile muda utakuwa umeshapita. I give you up to 2015 na nitairudisha hii thread after the 2015 election ili nikukumbushe mungu akituweka hai.
 
Bayana, unapoteza muda wako kwa spinning za kijinga. Pole sana!

Sasa ujinga uko wapi hapo au ndio mapenzi yamezidi? I will remind you baada ya uchaguzi wa 2015 mungu akituweka hai.

Kuna swali nimeuliza hapo juu na link nimetoa, ni nani anayeweza kujibu hiyo kauli ya MTEI? Mbona mnakwepa? Mnaishia kutukana tu!
 


...
[/SIZE]

Sasa kama unaamini hivyo kaka, tofauti ya CCM na CHADEMA ni ipi ikiwa wote mnarithishana uongozi katika vyama vyenu?

Hivi unajua kwa nini Ndesamburo alimwambia Hamid Rashid kwamba CUF kuna udini? Huyu mtu mzima naye alitumia vigezo gani wakati hicho chama kimesajiliwa na taasisi moja kama ilivyo CHADEMA?
 
Nafikiri mleta mada hujafanya utafiti wa kutosha au hujafanya utafiti kabisa. madai yako yameegemea kwenye mambo ambayo ccm na TBC wanataka watu wayasadiki. unapo sema chama kitakacho kubalika na wengi ni kile kilichoanzishwa na wasomi, unauhakika?wasomi wengi wanatoka mikoa hihyihiyo na siyo muda mrefu hayahaya madai yatajitokeza. kwa sisi tulioko kwenye opposition hususan CHADEMA tunakiamini chama chetu na tunamatarajio makubwa nacho. wewe na nadharia zako kaa pembeni tuache sisi tufanye mabadiliko. hivi nini duniani kisicho na kasoro? HUKO CCM udini,ukabila, kujuana ndio mambo yaliyo kithiri, wanabahati vyombo vya dola vinawasaidia kwa kiasi kikubwa.2015 kitaeleweka tu.
 
fact check
kama kuna jambo ambalo ni dhahiri kwa sasa kwa tanzania, ni hamu ya watanzania kupata mabadiliko ya kisiasa na kiuchumi.
kweli-tanzania tumejaaliwa madini ya kila aina, mungu katupa ziwa victoria, tanganyika, nyasa, natron, akatupa na mito plus mabonde mazuri yenye rutuba, mungu katujaalia mbuga nzuri za wanyama zenye vivutio vya kipekee duniani, isitoshe akatupa na mlima mrefu kuliko wote duniani uliosimama wima -mt kilimanjaro, kana kwamba haitoshi allah s.w.t akatupa pwani nzuri na visiwa vyenye hali nzuri ya hewa yenye marashi ya karafuu, tukaongezewa na dhahabu, almasi, makaa ya mawe, nickel, chuma, uranium, bado akatupa na madini ya pekee yetu tanzanite, akatupa mafuta na gas nyingii...lakini mwe! Ccm kila siku wanatembeza bakuli kuomba msaada wa kujikimu, maisha ya watanzania ni magumu kupita maelezo, wakati mwingine tunalazimika kumlaumu shetani kwani tunaamini kuwa ccm hakuna mwenye ubongo mle ! Woote madafu matupu..grrrrrrrrrrrrrr

lakini pengo kubwa linaloonekana ni kukosekana kwa nguvu na sauti moja ambayo itaungwa mkono na watanzania kutoka makundi yote ya kijamii bila kujali makabila yao, dini zao, rangi zao, jinsia n.k.
sikweli-ccm kwa kushirikiana na vyombo vyake kama mahakama, tume ya uchaguzi, bunge na vyombo vya ulinzi na usalama ndio wabakaji wa kubwa wa demokrasia, rejea mauaji ya bw mbwambo arusha, mauaji ya kada wa cdm kule igunga, mauaji ya mwembechai, mauaji ya zanzibar, mauaji ya mwandishi wa habari bw mwangosi, watekaji wa dr ulimboka, vifo vyenye utata; baba wa taifa, imran kombe, kolimba, prof malima, prof chachage, chacha wangwe kutokana na mgodi wa north mara, karume, sokoine, salome mbatia...

wakati ikionekana ni wazi kuwa ccm ni chama ambacho watanzania wangependa kikae chonjo ili kupisha mabadiliko na kujikarabati upya, hakuna chama cha upinzani ambacho kinawaunganisha watanzania kufikia malengo hayo kwa mujibu wa tofauti zao. Hii ni kutokana na kasoro mbali mbali zikiwemo za kuzuwa na nyingine ni za kweli ambazo kwa kiasi kikubwa zimeweza kuaminiwa na baadhi ya wananchi walio wengi.
sikweli - kasoro zote ninazoaminishwa kwa wananchi dhidi ya cdm ni za kuzua tena za kupikwa, ni vema mleta uzi ukatambua kuwa kwa sasa ccm haiaminiki tena ktk jamii ya watanzania, si wakulima, si walimu, si madaktari, si wafugaji, si wavuvi, si wajasiriamali/wafanyabiashara si majeshi, si wanafunzi wote kwa umoja wao wanalia na kusaga meno.

vyama vingi viliibuka na kufifia mfano tlp na nccr kwa sababu mbalimbali ikiwemo ubinafsi wa viongozi waliovianzisha, migogoro ya kimaslahi na mapandikizi kutoka chama tawala.
Kweli- vyama tajwa vilianzishwa kwa lengo la kukaribisha mfumo wa vyama vingi pasi na kuleta athari kwa chama tawala rejea uanzishwaji wa nccr, mwalimu alisema kuwa chama pekee cha upinzani tanzania ni cdm!

mfano wa udhaifu katika vyama vya upinzania hapa tanzania ni kama ifuatavyo:
1) chadema
kwa sasa ndicho chama ambacho kinaonekana kuwa na nguvu kubwa kama chama kikuu cha upinzani.
Kweli
hata hivyo kinakabiliwa na shutuma zifuatazo:
I)ukabila na ukanda
propaganda za ccm
ii)ukosefu wa maadili kwa watendaji wake wakuu
sikweli- ndani ya cdm hakuna majangili wa nyara za taifa kama tembo na twiga, mafisadi/wezi wa epa,wenye vijicent uswis, waliosaini mikataba ya kukwapua madini yetu...

Iii)kutokuaminiana kati ya viongozi wake wakuu ikidhaniwa kwamba baadhi ni mapandikizi kutoka chama tawala.
kweli-shibuda na zito wanajulikana...

Iv)dhana ya chadema kwamba vyama vyote vya upinzani ni mapandikizi ya ccm, hivyo kukataa ushirikiano na vyama vingine.
kweli-vyama husika vilianzishwa kwa malengo ya kuisaidia ccm iendelee kubaki madarakani, hata ruzuku zinatoka ndani ya ccm, maalim seif anahudumiwa na ccm hata kabla ya muafaka, mrema akipata mafua haraka jk anampeleka india kwa matibabu, cheyo, mbatia?
V)udini
sikweli-ccm miaka yote imekuwa ikitumia propaganda chafu, bakwata na baadhi ya makanisa yamekuwa yakitumiwa kwa muda mrefu sasa ndo maana mufti huwa anapitishwa na ccm! Wasomi wa kiislam washtukia mchezo huu mchafu na sasa tumbo linawakoroga, rejea vurugu za mbagala, znz za uchomaji wa makanisa zilizoratiwa na ccm kwa lengo la kuwapaka matope wanaharakati wa kiislam.

2)cuf
ni chama ambacho ni cha pili cha upinzani baada ya chadema. Hata hivyo kinashutumiwa kwa mambo yafuatayo:
I) udini
sikweli - rejea ile propaganda ya omary mahita na kontena la majambia!!

ii) usultani wa viongozi wakuu kuhodhi madaraka na kutokuwapisha wengine kukamata nafasi kubwa za uongozi
sikweli- viongozi wa ccm walianza kutawala lini? Kinana anasema amekitumikia chama kwa zaidi ya miaka 25, mangulla?

Iii) kuwa na nguvu upande mmoja wa muungano
sikweli-jumla ya wanachama wa cuf bara ni wengi zaidi kuliko visiwani, hata hivyo cuf si chama cha upinzani...rejea malengo ya uanzishwaji wa cuf...

3) nccr: Huko mwanzo kilishawahi kuhusishwa na ukanda na ukabila. Hata hivyo kwa sasa madai haya hayasikiki kwa vile nguvu zake zimepungua kama ilivyo tlp.
...vyama hivi ni ma agent wa ccm, rejea malengo ya uanzishwaji wa vyama husika...

4) vyama vingine vilivyobaki vinachukuliwa kama ngos za kujipatia mapato kwa waliovianzisha.
Hizi shutma iwe zina uhakika au ni za kukisia, tukubali kuwa ni pengo kwa ukombozi wa kweli wa tanzania na ni ngumu kuziondoa kwa sasa kwa vile jamii imeshagawanywa kwa misingi hiyo.
sikweli- watanzania wa leo hawadanganyiki tena, maisha magumu, wizi na ujangili wa rasilimali zetu haziletwi wala hazisababishwi na vyama vya upinzani... Ccm wanahusika na vifo vya wananchi wanaokosa huduma muhimu za kijamii, ccm wanahusika kwa kuwabebesha wazazi zigo kubwa la kuwasomesha watoto, ccm inahusika kwa asilimia 100 kwemye mikataba mibovu ya madini yetu, ccm mnahusika 100% kwa ukosefu wa ajira kwa vijana wetu, ccm mnahusika 100% kwa kuuza ardhi ya watanzania kwa walowezi, ccm mnahusika 100% kwa kuwaletea wananchi ugumu wa maisha...

hitimisho:

ili kukata kiu ya mabadiliko ya watanzania, ni vyema wasomi mbalimbali maarufu wanaokubalika wasiohusika na kashfa hizo hapo juu kuungana na kuanzisha chama ambacho kitakubalika na watanzania walio wengi.
Vugu vugu hili la mabadiliko ya kweli litafaa zaidi kama litaanzia kwenye taasisi za elimu ya juu.
Tukifika hapo tz in 2015 ni vifijo na nderemo! Kinyume chake, tusahau kuingóa ccm madarakani kutokana na advantage ya mgawanyiko kutokana na tofauti tajwa hapo juu.
sikweli- pumba tupu! Ccm haiwezi kushinda kihalali, watanzania wameshaikataa ccm kitambo ndiyo maana mauaji na vitisho plus propaganda chafu ukijumlisha na njaa za wananchi zinawafanya angalau wapate wavaaji wa sare za kijani na njano...mmeshindwa kuwapa watanzania ahueni ya maisha kwa miaka 50 zaidi tunashuhudia rasilimali zetu zikiwanufaisha watu wa mataifa na baadhi yenu ninyi makuwadi/mafisadi ...

weka ushabiki wa chama pembeni unapochangia hii thread! Mihemko ikikuzidi, fanya kama vile hujaiona hii thread!
...watanzania wa leo si wajana...
 
Sasa ngurumo mbona husemi ujinga uko wapi? Kaa ukikumbuka kuwa hata siku moja watu wote hawawezi kuwa na mawazo ya aina moja. Jifunze kujenga hoja zaidi ya kutukana. Unajua maana ya ujinga? Iko siku utakuja kusema kwamba upande unao usupport hauna lolote. Ila wakati huo hutakumbuka haya maoni kwa vile muda utakuwa umeshapita. I give you up to 2015 na nitairudisha hii thread after the 2015 election ili nikukumbushe mungu akituweka hai.
Unazidi kupoteza muda wako na spinning za kijinga, jifunze...better has no finishing line!
 

Yeah ASKOFU KAKOBE yeye ni wa DHEHEBU MOJA kati ya 20 ya KIKRISTO; Sasa kama yeye anongelea UCHADEMA; WAPO WENGI WALIPONGEZA U-CCM na BAADHI YAO NI WABUNGE NDANI YA CCM

KIONGOZI alieyeanzisha CHADEMA ni BOB MAKANI - MSUKUMA-MWISLAMU; EDWIN MTEI-MKSRISTO (CATHOLIC) - MMARANGU; MBOWE- MMACHAME-MKRISTO(LUTHERAN)

Sasa hapo ni kuwa EDWIN MTEI na MBOWE sio KABILA MOJA; SIO DINI MOJA... LUGHA tofauti - MBOWE KIMACHAME; MTEI - KIMARANGU sio KIVUNJO
Ni Sawa na BOB MAKANI - MSUKUMA - WA SHINYANGA sio wa MWANZA ni tofauti - NI MWISLAMU - SUNNI sio SHIITE

SASA Kama UKIFANYA HIVYO UTAKUTA CHADEMA IMEBADILIKA zaidi NDIO MAANA NYERERE aliihasisha KISWAHILI na kuondoa HAYA MAMBO YA UDINI na UKABILA yaliyoanza wakati wa UTAWALA wa RAIS KIKWETE

UKIONGELEA FAMILIA YA SLAA CHADEMA?
VIPI FAMILIA YA KIKWETE; PRINCE; MKEWE; KAKA YAKE; DADA YAKE woooote wako NDANI YA CCM-NEC?

UKIONGELEA hivyo

MATHAYO DAVID MATHAYO - WAZIRI ni MTOTO wa CLEOPA MSUYA

ADAM MALIMA - WAZIRI ni MTOTO wa KIGHOMA MALIMA

Teresa HUVISA (SIJUI NIMELIPATIA VIZURI) - WAZIRI - ni MTOTO wa LAWRENCE GAMA
Ana KAKA MKUU WA MKOA WA KILIMANJARO

Kawawa ana Watoto 2 WABUNGE

HII NI KWA UFUPI ITAJAZA JAMII FORUMS PAGES...

Sasa KUWA MAKINI SANA UKIONGELEA UDINI na UKABILA; Sababu Enzi za KIKOLONI MANGI Wamachame na CHIEF MAREALLE wa MARANGU walikuwa Hawapatani; ILIKUWA ni VITA KILA MARA... Sasa BILA NYERERE kuondoa UCHIEF na UMANGI Wachagga Wasingekuwa kama unavyoona ni PAMOJA; NI TOFAUTI KABISAAA hadi CULTURE zao

Angali WABUNGE wengi UCHAGANI ni wa CCM...

Kama CCM kuna undugu nization nao Chadema wakifanya kama wao unaona sawa sio? yaani kama CCM kuna ufisadi na CDM mtafanya vivyo hivyo sio? ndio maana Wananchi walio wengi hawana imani na CDM!
 
Kama kuna jambo ambalo ni dhahiri kwa sasa kwa Tanzania, ni hamu ya watanzania kupata mabadiliko ya kisiasa na kiuchumi. Lakini pengo kubwa linaloonekana ni kukosekana kwa nguvu na sauti moja ambayo itaungwa mkono na watanzania kutoka makundi yote ya kijamii bila kujali makabila yao, dini zao, rangi zao, jinsia n.k.
Wakati ikionekana ni wazi kuwa CCM ni chama ambacho watanzania wangependa kikae chonjo ili kupisha mabadiliko na kujikarabati upya, hakuna chama cha upinzani ambacho kinawaunganisha watanzania kufikia malengo hayo kwa mujibu wa tofauti zao.
Hii ni kutokana na kasoro mbali mbali zikiwemo za kuzuwa na nyingine ni za kweli ambazo kwa kiasi kikubwa zimeweza kuaminiwa na baadhi ya wananchi walio wengi.
Vyama vingi viliibuka na kufifia mfano TLP na NCCR kwa sababu mbalimbali ikiwemo ubinafsi wa viongozi waliovianzisha, migogoro ya kimaslahi na mapandikizi kutoka chama tawala.
Mfano wa udhaifu katika vyama vya upinzania hapa Tanzania ni kama ifuatavyo:

1) CHADEMA
Kwa sasa ndicho chama ambacho kinaonekana kuwa na nguvu kubwa kama chama kikuu cha upinzani.

Hata hivyo kinakabiliwa na shutuma zifuatazo:
i)Ukabila na ukanda
ii)Ukosefu wa maadili kwa watendaji wake wakuu
iii)Kutokuaminiana kati ya viongozi wake wakuu ikidhaniwa kwamba baadhi ni mapandikizi kutoka chama tawala.
iv)Dhana ya CHADEMA kwamba vyama vyote vya upinzani ni mapandikizi ya CCM, hivyo kukataa ushirikiano na vyama vingine.
v)Udini

2)CUF
Ni chama ambacho ni cha pili cha upinzani baada ya CHADEMA. Hata hivyo kinashutumiwa kwa mambo yafuatayo:
i) Udini
ii) Usultani wa viongozi wakuu kuhodhi madaraka na kutokuwapisha wengine kukamata nafasi kubwa za uongozi
iii) Kuwa na nguvu upande mmoja wa muungano

3) NCCR: Huko mwanzo kilishawahi kuhusishwa na ukanda na ukabila. Hata hivyo kwa sasa madai haya hayasikiki kwa vile nguvu zake zimepungua kama ilivyo TLP.
4) Vyama vingine vilivyobaki vinachukuliwa kama NGOs za kujipatia mapato kwa waliovianzisha.
Hizi shutma iwe zina uhakika au ni za kukisia, tukubali kuwa ni pengo kwa ukombozi wa kweli wa Tanzania na ni ngumu kuziondoa kwa sasa kwa vile jamii imeshagawanywa kwa misingi hiyo.

HITIMISHO:

Ili kukata kiu ya mabadiliko ya watanzania, ni vyema wasomi mbalimbali maarufu wanaokubalika wasiohusika na kashfa hizo hapo juu kuungana na kuanzisha chama ambacho kitakubalika na watanzania walio wengi.
Vugu vugu hili la mabadiliko ya kweli litafaa zaidi kama litaanzia kwenye taasisi za elimu ya juu.
Tukifika hapo TZ in 2015 ni vifijo na nderemo! Kinyume chake, tusahau kuingóa CCM madarakani kutokana na advantage ya mgawanyiko kutokana na tofauti tajwa hapo juu.
Weka ushabiki wa chama pembeni unapochangia hii thread! Mihemko ikikuzidi, fanya kama vile hujaiona hii thread!

Hivi deadline yako ya mtu kuthibitisha shutuma ni lini?Hao waliotoa shutuma dhidi ya CHADEMA hawajaweza thibitisha na siku zinakwenda life inapaswa kuendelea mbele.Mahakama huwa ian drop na kuruhusu kufunguliwa kwa madaia kwa kuchagua mwingine na mambo mengine kama hayo...Sijui mmeamua kuganda na CCM.
 
Unazidi kupoteza muda wako na spinning za kijinga, jifunze...better has no finishing line!

Mkuu ur one of the GT in this forum, but to my suprice u don't help CDM advocate the kind of change that we need
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom