CHADEMA na Zitto watafuta suluhu

CHADEMA na Zitto watafuta suluhu

Mkuu CV ya mtu sio kurahisishia wananchi bali kuwahadaa zaidi kwa sababu sasa hivi kila mtu anataka phd ili kuwarusha wananchi. Tunamtaka kiongozi bora ambaye anaweza kuwawakilisha wananchi na sio hawa wanaojifanya kujua sana kuliko kila mtu kwa sababu kaishi Marekani na ana Phd. Tumewaona wengi sana wengine marafiki zetu wakisema hawawezi kuishi maisha ya Kimaskini na majigambo kibao.

Ni lazima apimwe kwanza kwa ujasiri na uzalendo wake kwa wananchi bila kujali elimu yake hatumtafuti waziri hapa wala mkurugenzi. Hii habari ya kuendelea kuchafuana mkiendelea nayo itawakwaza zaidi na nitaendelea kuwaasa. habari ya Zitto iacheni haiwajengi bali inazidi kuwabomoa mitaani amini maneno yangu, maana hata mimi nimeshakosa imani na mawazo ya watu wengi sana humu, Huyo Msacky na MM inahusu nini kuyaweka humu ili MM naye awekwe kundi moja?.

Zitto kisha fukuzwa kama hakuna mazungumzo inatosha kuyakana kuliko kuendelea kutubebesha fikra za kumchukia mtu kwa mambo yalokwisha hukumiwa. Zitto yupo kifunguni, habari mjini bado zinaendelea - mnamtakia kifo kabisa? mnachosha jamani hata kama watu hawampendi basi mwacheni afanye kazi alotumwa na walomkubali.

Mkandara, kwa sisi wazoefu hapa jukwaani tunaelewa ni jinsi gani usivyopendezwa na treatment anayopewa Zitto na wana jukwaa. Ni bahati mbaya kwake lakin hiyo ndio hali halisi. Wana chadema, at least wa hapa mitandaoni ndivyo wanavyomchulia Zitto. Mimi mmoja wao. Simpendi! Na siku chadema waki reconcile na huyu mhuni mimi na siasa itakuwa basi. Naamini wengi wanafanana kimisimamo na mimi as far as Zitto is concerned. Lakini haina maana tunapinga uwezo na akili binafsi alizo nazo. Ila kwa maono na mahitaji ya chama na wanachama, zitto hatumtaki.

Kuhusu CV, mimi nadhani sio ya kupuuza. Kujua wasifu wa mtu ni njia mojawapo ya kuelewa ufanye nini wakati wa uchaguzi. Zitto aliingizwa bungeni akiwa hana uzoefu hata wa kuwa katibu kata. Elimu yake, ushirika wake na Fredrick Nouman Stifftung na harakati zake zilijenga imani kwa wapigakura wake. Lakini watu hawakupiga ramli kujua elimu yake na uzoefu wake kiduchu aliokuwa nao. Alii-publish cv yake. Wapambe wake wa kipindi kile walimsaidia kuipublish CV yake. Wewe hukuja hapa kupinga. Ila leo CV ya yareda imekukurupusha umekuja kupinga!
 
Last edited by a moderator:
Nadhani imedhirika kuwa chama ni imara bila jina mojamoja kama ilivyozaniwa.
 
Huwa nacheka sana nikikusoma wewe, hivi na wewe unajihesabu ni Chadema, ukitaka kujijua wewe ni masalia gombea nafasi yeyote na mtu wa kaskazini.

Mohamedi na Chadema wapi na wapi wewe endelea kubeba mikoba ya Mbowe na Dr.Slaa hapo Ufipa.

Huyu jamaa uliyoweka CV yake ni msomi kuliko Mfalme Mbowe, kwa nini asiwe mwenyekiti wa Chadema, au ndiyo akili ndogo inaongoza akili kubwa.

Ahsanta.
Unajua wewe ni mpuuzi sana. Sasa kama hoja ni usomi kwa nini Mwandosya asiwe rais wa nchi hii tukampa kilaza mwenye gentleman pass aliye supp hadi communication skills na DS, Jakaya Kikwete?

Halafu kama inakuuma sana kwa Muislam Mohamedi Mtoi kuwa Chadema mtafutie chama cha waislam umshauri ajiunge nacho. Chama ambacho na wewe utakuwa mwanachama pia. Tutambulishe hapa jukwaani kuwa chama cha waislam ni XYZ. Kumlaumu Mtoi kwa dini yake na chama chake ni kukosa ufahamu na kuwa mjinga.

Mtoi ameamua kwa hiyari yake kuwa Chadema. Sasa kama anabeba mikoba ya Slaa wewe kinakuwashia nini? Mbona Tambwe Hizza alimlala nanihii wake hujaja hapa kumkejeli?
Usijitoe ufahamu. Kama Mtoi amepotoka kuwa Chadema kwa uislam wake taja chama anachostahili kuwepo
 
Last edited by a moderator:
Jamaa msomi sana nimeona CV yake kwa nini Mbowe asimpishe msomi wa Marekani hawaongoze au ndiyo akili ndogo inaongoza akili kubwa.
Si ni kama Jakaya Kikwete tu? Mbona hajampisha Kapuya kuwa Mwenyekiti? Maana Kikwete na vi-C vyake kwenye masomo ya undergraduate huwezi kumlinganisha na Kapuya mwenye B+ na A's.

Au umesahau Alhaji Mwinyi mwenye digrii saba za Quran kuwaongoza watu kama kina Kighoma Malima? Mwinyi si unajua ana elimu ya Ngumbaru?

Au umesahau Yusuph Makamba yule Mwalimu wa UPE aliyekuwa katibu Mkuu wa CCM aliwaongoza akina Prof. Msolla?

Na Tambwe Hizza? Mbona aliongoza kitengo ambacho hata Asha Rose Migiro alikuwa Chamtoto na PhD yake?
 
"tragedy of miscalculations" ndio iliyompata huyu muha wa Kigoma. Aombe radhi yaishe kiutu uzima.
 
Asante kwa kuthibitisha kile kilichoandikwa kwenye gazeti, kwamba mnataka ZITTO AFANYE KAMA INAVYOONEKANA KWENYE RED

Kwani kuna ubaya gani CDM kumdondokea Zito? Uhakika wa mbunge mmoja kwenye uchaguzi ujao, not too bad kiruzuku. Mbona Shimbula sijui Shubudu alivumiliwa for 5 yrs. He was bringing more money to CDM zaidi ya damage aliyokuwa anasababisha. So from finacial point of view CDM need Zito kwa kuwa he is assured to win election kwenye jimbo lake. Chama hakiwezi kushika uongozi kama hakina wabunge wa kutosha.
 
Zitto is too smart kuomba msamaha CHADEMA. Hawezi kuomba msamaha maana hana kosa lolote alilokitendea chama. Ni siasa za majitaka ambazo kwa bahati mbaya wengi mnazishabikia. Tukomoshe siasa za majungu. Hata siku moja Zitto Kabwe atafanya dhambi hiyo ya kuomba msamaha!
 
Teh teh teh.

Hivi wewe jamaa kwanini huyu padre mzinz slaa akiguswa tuh wewe unakuwa mkali hivyo??

Then unavyompenda hata avatar yako umeweka picha yake.

Chunga sana ndugu.

Huyo mzee ana machungu sana.

Hakuruhusiwa kuoa huyo kwa miaka miiingii.

Wewe si unaskia kashfa kila leo za mapdre kulawiti vitoto vya kiume??

Kaa nae mbali huyo mzee.

Me nakushauri sana yasije yakakukuta mambo yasiyokuhusu na usije kumlaumu mtu.

Utageuzwa chanio.

Na chanio kazi zake ni mbili tuh.

Kuchanwa nyweleee na kusukwa nywelee.

Take care.
Naona wapinzani wa Chadema mmehamia kwenye shambulizi binafsi.

Unamwita Slaa mzinzi sina tatizo maana huenda una ushahidi kuwa anazini na mama yako mzazi. Na huenda kwa sheria za imani yako mama yako mzazi hatakiwi kuitwa mzinzi bali ni MALAYA.

Sasa tukubaliane, Slaa ni MZINZI, Mama yako mzazi ni MALAYA.

Kwangu mimi umalaya wa mama yako hauna uhusiano na uwezo wake wa kuongoza. Vivyo hivyo kwa Slaa.

Slaa amefanikiwa kuijenga taasisi ya Chadema Imara, yenye nguvu na inayoaminiwa na manilioni ya watanzania.

Wenye akili wote hawatazami dini za watu.
Alhaji Sheikh Ali Hassan Mwinyi alikuwa mwalimu wa shule ya msingi. Lakini akasoma digrii kibao za kuran. Alikuwa pia mwalimu wa madrassa. Watanzania kwa dini zao walimheshimu na kushirikiana nae.

Alhaji Sheikh Ali Hassan Mwinyi aliparamia katoto ka shule akakaoa. Katoto sawa na mjukuu wake. Watu hawakumkejeli.

Leo Slaa kulala na mama yako mzazi tena mama yako sijui njaa zake au alimzimikia tu Slaa, amemtafuna unakuja mbio kumwita mzinzi unamsahau mama yako kumwita MALAYA.

Usiwe punguani!
 
uzuri wanaotaka zitto arudi chasema wote ni wale wanaoifagilia ccm, hii inafurahisha na kufikirisha
 
Unajua wewe ni mpuuzi sana. Sasa kama hoja ni usomi kwa nini Mwandosya asiwe rais wa nchi hii tukampa kilaza mwenye gentleman pass aliye supp hadi communication skills na DS, Jakaya Kikwete?

Halafu kama inakuuma sana kwa Muislam Mohamedi Mtoi kuwa Chadema mtafutie chama cha waislam umshauri ajiunge nacho. Chama ambacho na wewe utakuwa mwanachama pia. Tutambulishe hapa jukwaani kuwa chama cha waislam ni XYZ. Kumlaumu Mtoi kwa dini yake na chama chake ni kukosa ufahamu na kuwa mjinga.

Mtoi ameamua kwa hiyari yake kuwa Chadema. Sasa kama anabeba mikoba ya Slaa wewe kinakuwashia nini? Mbona Tambwe Hizza alimlala nanihii wake hujaja hapa kumkejeli?
Usijitoe ufahamu. Kama Mtoi amepotoka kuwa Chadema kwa uislam wake taja chama anachostahili kuwepo
Inawezekana kabisa mie nakawa mpuuzi lakini wewe ukawa punguani wahedi.

JK ni msomi wa chuo kikuu hauwezi kumlinganisha na mfalme Mbowe kitadato cha nne anawaongoza mapunguani kama wewe na kila siku mnakesha kumsifia.

Nimecheka sana na hizo drama zako eti Zitto akirudi Chadema mimi na siasa basi ha ha haa ha ha, nani anakujua wewe kwenye siasa za Tanzania kubeba bendera za Chadema na kufunga spika na wewe unatoa tamko.
 
Last edited by a moderator:
Naona wapinzani wa Chadema mmehamia kwenye shambulizi binafsi.

Unamwita Slaa mzinzi sina tatizo maana huenda una ushahidi kuwa anazini na mama yako mzazi. Na huenda kwa sheria za imani yako mama yako mzazi hatakiwi kuitwa mzinzi bali ni MALAYA.

Sasa tukubaliane, Slaa ni MZINZI, Mama yako mzazi ni MALAYA.

Kwangu mimi umalaya wa mama yako hauna uhusiano na uwezo wake wa kuongoza. Vivyo hivyo kwa Slaa.

Slaa amefanikiwa kuijenga taasisi ya Chadema Imara, yenye nguvu na inayoaminiwa na manilioni ya watanzania.

Wenye akili wote hawatazami dini za watu.
Alhaji Sheikh Ali Hassan Mwinyi alikuwa mwalimu wa shule ya msingi. Lakini akasoma digrii kibao za kuran. Alikuwa pia mwalimu wa madrassa. Watanzania kwa dini zao walimheshimu na kushirikiana nae.

Alhaji Sheikh Ali Hassan Mwinyi aliparamia katoto ka shule akakaoa. Katoto sawa na mjukuu wake. Watu hawakumkejeli.

Leo Slaa kulala na mama yako mzazi tena mama yako sijui njaa zake au alimzimikia tu Slaa, amemtafuna unakuja mbio kumwita mzinzi unamsahau mama yako kumwita MALAYA.

Usiwe punguani!
Kamanda kapanic anarusha ngumi hewani teh teh teh teh!
 
Si ni kama Jakaya Kikwete tu? Mbona hajampisha Kapuya kuwa Mwenyekiti? Maana Kikwete na vi-C vyake kwenye masomo ya undergraduate huwezi kumlinganisha na Kapuya mwenye B+ na A's.

Au umesahau Alhaji Mwinyi mwenye digrii saba za Quran kuwaongoza watu kama kina Kighoma Malima? Mwinyi si unajua ana elimu ya Ngumbaru?

Au umesahau Yusuph Makamba yule Mwalimu wa UPE aliyekuwa katibu Mkuu wa CCM aliwaongoza akina Prof. Msolla?

Na Tambwe Hizza? Mbona aliongoza kitengo ambacho hata Asha Rose Migiro alikuwa Chamtoto na PhD yake?
Nimeishakuambia Rais Kikwete ni msomi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam elimu yake inamtosha kuongoza nchi.

Kukata mzizi wa fitina niweke elimu ya Mbowe hapa wana JF wamsome.

Mbowe kama ana elimu ya chuo kikuu najinyonga.
 
haiwezekani kabsaa.......hatumuhitaji msaliti ndani ya chama......!!
 
Nimeishakuambia Rais Kikwete ni msomi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam elimu yake inamtosha kuongoza nchi.

Kukata mzizi wa fitina niweke elimu ya Mbowe hapa wana JF wamsome.

Mbowe kama ana elimu ya chuo kikuu najinyonga.

Teh teh teh mkuu povu linakutoka tu. Kikwete kwa Kapuya si ni sawa na kulinganisha mbu na tembo? Yani kilaza kikwete kuongoza chama chenye rundo la maprofessa unaona ni sawa? Una upungufu wa Akili Kichwani
 
Inawezekana kabisa mie nakawa mpuuzi lakini wewe ukawa punguani wahedi.

JK ni msomi wa chuo kikuu hauwezi kumlinganisha na mfalme Mbowe kitadato cha nne anawaongoza mapunguani kama wewe na kila siku mnakesha kumsifia.

Nimecheka sana na hizo drama zako eti Zitto akirudi Chadema mimi na siasa basi ha ha haa ha ha, nani anakujua wewe kwenye siasa za Tanzania kubeba bendera za Chadema na kufunga spika na wewe unatoa tamko.

Usomi wa chuo kikuu haupimwi kwa makaratasi. Hata Mulugo anadai ni msomi wa Chuo kikuu. Hata bosi wako unaemlamba miguu, Salma nae ni msomi wa chuo kikuu. Kikwete ni kilaza kama wewe ulivyo. Au ma wewe ni msomi wa chuo kikuu?
 
imeripotiwa katika magazeti ya leo kwamba chadema imemwangukia mbunge wa kigoma kaskazini zitto kabwe na kutaka kusuluhishana na kumaliza tofauti zao na hatimaye kurudi kukijenga chadema kuelekea uchaguzi mkuu wa dola 2015.

Nini tafsiri na mantiki ya hatua hiyo muhimu ya chadema baada ya kukamisha uchaguzi wa ndani ya chama bila Zitto kisha kumwangukia?? Je, ni dhamira ya dhati au ni kumhadaa na kumkejeli kumpima kama yuko imara??
DSC03488.jpg


Zito ndio anayeihitaji chadema si vinginevyo. Tumemaliza chaguzi zote labda awe dereva wa Mbowe. Akijenge chama chake cha ACT huku hana nafasi na siasa zake za kinafiki au arudi CCM kwa mabosi wake waliokuwa wanamlipa. RAI sio gazeti la kuaminika kwa wanamapinduzi.
 
Teh teh teh mkuu povu linakutoka tu. Kikwete kwa Kapuya si ni sawa na kulinganisha mbu na tembo? Yani kilaza kikwete kuongoza chama chenye rundo la maprofessa unaona ni sawa? Una upungufu wa Akili Kichwani
Teh teh teh acha matani kamanda Mbowe ndiyo Kilaza JK ana degree hauwezi kumfananisha na Mbowe kidato cha tatu.

Kilaza Mbowe kidato cha tatu anawaongoza kina Prof. Baregu, Prof. Safari, akili ndogo inaongoza akili kubwa.

Slaa naye ana PhD ya Kanisa naye ni msomi, ni Shidaaa!!
 
Back
Top Bottom