CHADEMA na ubunge 2020

CHADEMA na ubunge 2020

Sijui hawa jamaa wana mkakati gani na uchaguzi mkuu wa 2020 hususan kwenye upande wa wabunge.

Kulialia kuhusu sheria mbaya hakutobadilisha sheria mbaya kuwa sheria nzuri.

CHADEMA kama kweli wapo serious basi wangeanza sasa kuwaandaa watu wa kugombea ubunge kwenye majimbo yote ya Tanzania.

Mambo ya kuwaachia wagombea wa CCM wapite bila kupingwa halafu mnakuja kulialia baadaye kuwa eti sheria ni mbaya na mnamwomba Magufuli abadili sheria [wakati Magufuli hatungi hizo sheria] ni utoto wa kisiasa.

Anzeni sasa kuwa groom wagombea ubunge na muweke wagombea wenye sifa kwenye kila jimbo.

Msipoweka wagombea mnakosa kabisa hata nafasi ya kushinda. Uchaguzi ulopita kuna majimbo hamkuwa na wagombea ubunge. Aibu.

Msiwaze urais tu. Bunge nalo ni la msingi.

Wewe pia ukagombee kwenu Simiyu
 
Hilo la kusema sijui mikutano ya wazi ya vyama vya upinzani imepigwa marufuku or whatever ni lame excuse tu.

They need to be creative.

They can use subterfuge to get around it.

Nadhani utakuwa ushausikia huu wimbo wa 'We Miss You Manelo'.

Ukisikiliza kwa makini utajua kuwa walikuwa wanasema 'we miss you Mandela'.

Lakini kwa vile serikali ya Kikaburu ilikuwa imepiga marufuku hayo mambo ya kumtukuza Mandela jamaa ikabidi waje na 'we miss you Manelo'.

Upinzani wa Tanazania nao inabidi wawe creative aisee. La sivyo watakuwa ni wapinzani daima na hawatokuja kushika madaraka...iwe bungeni au ikulu.



..I like ur response.

..kwasababu umelitambua tatizo , na umetoa mapendekezo ya nini kifanyike.

..2020 chama kinatakiwa kiwe na a strong and vibrant presidential candidate.

..pia kuwe na wagombea ubunge vijana, makini, na kampeni zao ziwe well organized.

..maandalizi yaanze sasa hivi ktk mazingira hayahaya magumu.
 
Sijui hawa jamaa wana mkakati gani na uchaguzi mkuu wa 2020 hususan kwenye upande wa wabunge.

Kulialia kuhusu sheria mbaya hakutobadilisha sheria mbaya kuwa sheria nzuri.

CHADEMA kama kweli wapo serious basi wangeanza sasa kuwaandaa watu wa kugombea ubunge kwenye majimbo yote ya Tanzania.

Mambo ya kuwaachia wagombea wa CCM wapite bila kupingwa halafu mnakuja kulialia baadaye kuwa eti sheria ni mbaya na mnamwomba Magufuli abadili sheria [wakati Magufuli hatungi hizo sheria] ni utoto wa kisiasa.

Anzeni sasa kuwa groom wagombea ubunge na muweke wagombea wenye sifa kwenye kila jimbo.

Msipoweka wagombea mnakosa kabisa hata nafasi ya kushinda. Uchaguzi ulopita kuna majimbo hamkuwa na wagombea ubunge. Aibu.

Msiwaze urais tu. Bunge nalo ni la msingi.
Hivi unaweza kutusaidia uchaguzi wa 2020 ni wabunge wangapi wa CCM walipita bila kupingwa?
 
Hahahaa Ruta bana.

Naona wewe mwenzetu tayari ushafika na kuvuka hata hiyo 2020.

You're funny.
“Chama kitaendelea kupokea michango kutoka kwa matajiri wanaotaka kukiunga mkono kwenye miradi na shughuli mbalimbali,” alisema Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Humphrey Polepole katika mahojiano maalumu na waandishi wa Gazeti la Mwananchi.

“Marafiki wa CCM bado wapo na wataendelea kukisaidia chama, ila sasa ni lazima tujiridhishe kwamba si wakwepa kodi, hawauzi unga na wanafanya biashara halali.

Polepole pia alisema CCM itataka kujihakikishia kuwa misaada ya wafadhili hao haikigawi chama.

CCM imekuwa ikisemekana kutegemea kwa kiasi kikubwa michango ya wafadhili kujiendesha, hasa inapotaka kuitisha vikao vyake vya juu kama Mkutano Mkuu na Halmashauri Kuu.
 
Polepole katoa siri kumbe misaada kwa ccm iko sambamba na misamaha na ukwepaji wa kodi.

Kwa minajili hii maendeleo hakuna.
 
Sijui hawa jamaa wana mkakati gani na uchaguzi mkuu wa 2020 hususan kwenye upande wa wabunge.

Kulialia kuhusu sheria mbaya hakutobadilisha sheria mbaya kuwa sheria nzuri.

CHADEMA kama kweli wapo serious basi wangeanza sasa kuwaandaa watu wa kugombea ubunge kwenye majimbo yote ya Tanzania.

Mambo ya kuwaachia wagombea wa CCM wapite bila kupingwa halafu mnakuja kulialia baadaye kuwa eti sheria ni mbaya na mnamwomba Magufuli abadili sheria [wakati Magufuli hatungi hizo sheria] ni utoto wa kisiasa.

Anzeni sasa kuwa groom wagombea ubunge na muweke wagombea wenye sifa kwenye kila jimbo.

Msipoweka wagombea mnakosa kabisa hata nafasi ya kushinda. Uchaguzi ulopita kuna majimbo hamkuwa na wagombea ubunge. Aibu.

Msiwaze urais tu. Bunge nalo ni la msingi.
Nadhani wanatii sheria bila shuruti ya agizo la Ngosha Mkulu: Siasa ni mpaka 2020
 
Ukishindwa kuwacomvice na kuwawin vijana umekwisha. Mtaendelea mpaka lini kuwategemea wazee kati umri unawatupa mkono? 'Hiki kizazi cha dhahabu si kizazi cha giza'
 
Kwa upepo wa kisiasa ninaouona sasa hivi bonge lijalo linaweza kukosa hata mpinzani mmoja. Huu ni ukweli na ukweli kabisa
 
Bora kuwa hata na Wabunge 10 wa Chadema kuliko mibunge ya kura za Ndiyoooo ambayo huchaguliwa na wadumavu wa akili...
 
Sijui hawa jamaa wana mkakati gani na uchaguzi mkuu wa 2020 hususan kwenye upande wa wabunge.

Kulialia kuhusu sheria mbaya hakutobadilisha sheria mbaya kuwa sheria nzuri.

CHADEMA kama kweli wapo serious basi wangeanza sasa kuwaandaa watu wa kugombea ubunge kwenye majimbo yote ya Tanzania.

Mambo ya kuwaachia wagombea wa CCM wapite bila kupingwa halafu mnakuja kulialia baadaye kuwa eti sheria ni mbaya na mnamwomba Magufuli abadili sheria [wakati Magufuli hatungi hizo sheria] ni utoto wa kisiasa.

Anzeni sasa kuwa groom wagombea ubunge na muweke wagombea wenye sifa kwenye kila jimbo.

Msipoweka wagombea mnakosa kabisa hata nafasi ya kushinda. Uchaguzi ulopita kuna majimbo hamkuwa na wagombea ubunge. Aibu.

Msiwaze urais tu. Bunge nalo ni la msingi.
Mkuu tayari wana wagombea ubunge wao ,orodha anayo mwenyekiti Mbowe kim Il Sung kama humlambi viatu sahau ubunge kupitia Chadema,akina Sepetunga nao sijui tayari wameshatumikishwa ,Chadema ina mwenyewe ,wengine wote ni akina pangu pakavu tia mchuzi
 
Kama ni hivyo ndo basi tena!

Imagine kama kina Mandela nao wangesalimu amri kule AK....
Mi navyoona mambo yanavyokwenda, hakuna wa kuitoa CCM madarakani... labda CCM ipasuke vipande viwili.

Wamemiliki kila kitu kinachoweza kuwapa ushindi wa haki au wa wizi.

Kwa mfumo huu, CDM na ndugu zao wote, watasubiri sana kuwatoa hawa wezi madarakani.
 
Wabunge wenyewe kama kubenea wanaongelea shanga bungeni mnategemea nini
 
Back
Top Bottom