CHADEMA na polisi katika mtifuano mkali

CHADEMA na polisi katika mtifuano mkali

Hii nchi hata wakichukuwa vyama vingine,hakuna ujanja ni lazima tufungue milango ili tuweze kupata wawekezaji ambao watasimamiwa vyema na kuifanya Tanzania isonge mbele.kwa dunia ya sasa bila kufungua milango huwezi kwenda mahali,bila kuwa na ushirikiano na nchi nyingine huwezi kusonga mbele,ufike wakati tukubali kuwa maendeleo ya sasa yanahitaji wawekezaji wawe wa ndani ama wa nje.
Nakubaliana na maandamano hayo,lakini ni vyema tuelewe kuwa Tanzania inahitaji wawekezaji wa kweli na kwa sasa wawekezaji wa kweli ni kutoka uchina na si ujerumani wala uingereza wala USA.
Cha msingi hapa ni kuwa makini ktk kile tukifanyacho,ktk swala la utaifa tusimame kwa pamoja na ktk maswala ya uvyama hainashida mkipambana maana kila chama kinataka kushika dola na hii ni kwa kila chama cha siasa ktk nchi yeyote ile.


Umetoka nje ya mada mkuu. Hakuna aliyekataa wawekezaji hapa, hayo uliyoandika hakuna asiyeyajua. Hata mtoto anajua bila uwekezaji hakuna maendeleo.
 
Kitu gani ambacho kimefasha system nzima inachanganyikiwa si maandamano yametangazwa wiki tatu zilizopita,si walipaswa kuandaa namna watakavyo yalinda na kuangalia usalama yaani huyo Raisi wa china ndio atuharibie mipango yetu wananchi hivi raisi wetu akienda watasimamisha shighuli za wananchi wao,Huyu Raisi na wenyeji wake wapaswa kufahamu kuwa wananchi tunaendelea na mipango yetu no matter what
 
we ----- tu.watu wanaandamana kwa sababu ya elimu mbovu then u think hilo sio swala la kitaifa?Au maswala ya kitaifa ni yale ya uwekezaji wa wizi na mikataba ya kifisadi inayosainiwa hotelini?Sometimes you guys should try to think critically before you post your rubbish.

Hii nchi hata wakichukuwa vyama vingine,hakuna ujanja ni lazima tufungue milango ili tuweze kupata wawekezaji ambao watasimamiwa vyema na kuifanya Tanzania isonge mbele.kwa dunia ya sasa bila kufungua milango huwezi kwenda mahali,bila kuwa na ushirikiano na nchi nyingine huwezi kusonga mbele,ufike wakati tukubali kuwa maendeleo ya sasa yanahitaji wawekezaji wawe wa ndani ama wa nje.
Nakubaliana na maandamano hayo,lakini ni vyema tuelewe kuwa Tanzania inahitaji wawekezaji wa kweli na kwa sasa wawekezaji wa kweli ni kutoka uchina na si ujerumani wala uingereza wala USA.
Cha msingi hapa ni kuwa makini ktk kile tukifanyacho,ktk swala la utaifa tusimame kwa pamoja na ktk maswala ya uvyama hainashida mkipambana maana kila chama kinataka kushika dola na hii ni kwa kila chama cha siasa ktk nchi yeyote ile.
 
Hapo umesema sasa
ni kwamba zipo sheria zinazowaongoza wawekezaji juu ya uajili wa wafanyakazi ktk maeneo waliowekeza,tatizo lilopo hapa ni kwamba sisi watanzania wenyewe ndio wajinga,maana uhamiaji wanatoa vibali vya kufanya kazi kwa watu toka nje,na vibari hvyo vinatolewa kinyemela hilo huwezi mlaumu raisi ndio maana kuna mgawanyo wa kazi,wapo watu wamepewa kazi ya kuzunguka ktk maeneo ya wawekezaji na kubaini ni wazawa wangapi wameajiliwa na wageni wangapi wameajiliwa,kinachotokea ni kwamba watu wanalamba pesa na hawafanyi kazi waliyotumwa kuifanya,nani alaumiwe hapo?
hii nchi tunalalamika sana,kama kila mtu hatatimiza wajibu wake ktk sehemu alipo.

Hakuna cha watu kulamba wala kulambishwa, tatizo ni kwamba mfumo wa usimamizi wa rasilimali ni mbovu sana. Usijaribu kutumia lugha nzuri kuupaint.

Alafu, mimi am not against wawekezaji, either wandani au wa nje, am against na idea ambayo watu wanayo kuhusu uwekezaji. Utafanya makosa makubwa sana kusema kwamba US also inategemea wa wekezaji kuendelea.

Without further ado, jambo ambalo ni la muhimu sana tunalolihitaji ni Technology and Education, na iwe sustainable.

Uko US unakojilinganisha nako, the guys are just overwhemly with where to invest their high tech innovations and science. Yaani usipime kabisa!
 
John Tendwa upo wapi utuondelee hii kero? Watanzania tunahitaji amani.
 
Yeah.. lakini ndio boy friend wa mama yako kwa hiyo inabidi umuite baba tu hata kama unamchukia. Zile sauti nyororo za mama yako wakati wa usiku sio kwamba anamuumiza..bali anamridhisha..... KENGE WEE!

Naona ndondocha umejijibu mwenyewe hivi lini ulikula nyama ya mmbwa?maake watu wa Iringa especially kabila lako kwa kula mmbwa ni balaa na wataalam walisema wala mmbwa saa zingine wanafikiria kwa kutumia MK,,,U,,,NDU so siwezi kukulaumu sana kwani mie sipendi kuongea na MA,,,,,SE,,,NGE kama wewe kwani mie sio mtumiaji wa TUU YAKO,
 
Huku Jeshi la polisi nchini likiamua kutumika vibaya na Chama cha Mapinduzi na Serikali yake kwa kupiga marufuku maandamano kwenye mikoa yote yalikopangwa kufanyika, Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA kimeendelea kusisitiza na kulitaka jeshi la polisi kutambua hivyo kuwa maandamano yako pale pale.

Taarifa iliyotelewa kwa vyombo vya habari na jeshi la polisi kwa jiji la Dar es salaam zinadai kuwa haliwezi kuruhusu maandamano hayo kwa kuwa kuna ugeni wa rais wa China siku hiyo lakini CHADEMA wamedai kuwa Rais wa china yuko hapa nchini kwa maslahi ya nchi yake na wao CHADEMA wako kwenye shughuli zao kwa maslahi ya nchi ambazo hazina mausiano yoyote na rais huyo wa china.

Kwa upande wa Arusha Jeshi la polisi linadai kuwa haliwezi kuruhusu maandamano hayo kwa kuwa CCM nao wameomba kufanya maandamano siku hiyo kwenye barabara hizo hizo walizoomba CHADEMA kwa nia ya kuipinga CHADEMA na msimamo wao wa kumtaka waziri ajiuzulu. Taarifa zinaendela kusema kuwa CHADEMA wameliambia Jeshi la polis mkoani huo kuwa hakitatetereka katika msimamo wake na kwamba ni jukumu la jeshi la polisi kupanga barabara tofauti zitakazotumika na vyama hivyo na kwamba wao CHADEMA wataendelea na maandamano yao katika barabara zile walizozipanga na kama wanawahusudu sana CCM basi wawapangie barabara tofauti.

Jijini Mbeya hali insemekana kuwa tete kwani kila mmoja yaani polisi na CHADEMA wameonyesha misimamo mikali na tayari taarifa zinadai kuwa Mkuu wa Mkoa wa Mbeya ameamua kufanya kikao na wachungaji na maaskofu ili kuwaomba wawatangazie watu kwenye ibada za kesho kuwa wasijitokeze kwenye maandamano hayo kwani yataatarisha amani. Kwa upande wa CHADEMA wameendelea kulieleza jeshi la polisi kuwa adhma ya maandamano ya kuomngo'oa Kawambwa iko pale pale iwe mvua ama jua.

Pia taarifa kutoka makao makuu zilizosambazwa kwa vyombo vya habari leo hii na zimeeonyesha vikosi vitakavyoongza maandamano hayo ambapo kwa upande a Jiji la Dar es Salaam, Mwenyekiti wa CHADEMA Tiafa Freeman Mbowe akisindikizwa na wabunge wote wa Dar es salaam watawaongoza wananchi kuelekea kwa waziri mkuu.

Katibu Mkuu wa CHADEMA Dr Slaa, Katibu Mkuu wa BAVICHA Deogratias Munishi na Mbunge Sugu watakuwa jijini Mbeya, wakati Mwenyekiti wa BAVICHA Tifa John Heche, Tundu Lisu, na Godbless Lema watakuwa jijini Arusha na kwa upande wa Mwanza Mwenyekiti wa Wazee Taifa Nyangaki Shilungushela na Ezekeia Wenje Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA.

Hata hivyo taarifa zinasema Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Said Mwema anatarajia kukutana na uongozi wa CHADEMA Taifa ili kuwaangukia kusitisha nia yao hiyo kwa kuwa nchi iko kwenye ugeni mzito jambo ambalo linasemekana kuwa CHADEMA hawako tayari kusikia chochote juu ya hilo.​

Ma jobless bwana lazma wajitafutie kazi za kufanya hata kama hazina maslah kwao,nyie endeleeni acha sisi tuendelee kutafuta pesa
 
Inakumbusha maandamano makubwa yaliyokuwa yafanyike jijini Arusha wakati wa ujio wa Prince Charles wa Uingereza.

Chadema mna ajenda ya siri na nchi hii kwa nini kila cku. Hampendi utulivu? Mnawatia watu ktk dhiki kuu hayo maandamano yana faida gani? Mnachosha sana nyie watu na kamwe hatutavumilia muipeleke.nchi.yetu kubaya itajulikana tu badilikeni nchi za magharibi zinawatumia vibaya hamna uzalendo wowotw hila zenu tumezijua mungu awakemee
 
Gaidi lwakatare atasikitika sana akisikia watu wanaandamana kwa mambo mengine wakati yeye ananye... Ndoo
 
Hatari ninayoiona hapa ni watoto wa maskini kupata vilema vinavyoepukika
 
Boss,
I hope hilo jina la Mkwawa unajua maana yake.
Pili unatakiwa ujue sababu zilizowafanya wanafunzi wafeli na baada ya hapo hata ukiandamana mie nitakuunga mkono kwani tutajua nani au nini kilisababisha wanafunzi kufeli, sio kuandamana kila kukicha kama vile hakuna kazi nyingine ya kufanya.
KESHO MVUA ZISIPONYESHA NA MAZAO YAKAHARIBIKA UTAANDAMANA WAZIRI WA KILIMO AJIUZURU?

Acha uvivu wa kufikiri wewe! How could you compare kufeli kwa wanafunzi na mvua?? Are you serious??? Hata Kama unachotetea hakina maana utasema tu kisa tenda ya serikali.... Shame on you!!!
 
Hivi unadhania nchi inaweza kuendelea bila wawekezaji?
Tatizo lenu nyie mnataka attention sana na mnaitafuta hii attention bila kujali waathirika wa haya maandamano na vurugu zenu, Wakipoteza maisha mnachofanya ni kuzunguka na picha zao kuonyesha huko waliko wawekezaji. mnataka nchi ionekane ina machafuko. Wewe unadhani nani mjinga atawekeza kwenye nchi yenye machafuko?
Hebu tafuteni kazi za kufanya manake sasa mmeanza kuwa kero kwa jamii

Ah ama kweli siasa mchezo mchafu. Majuzi tu mkuu ulikuwa ukihubiri kitu hichohicho ambacho leo unakikemea!?
 
Huo ugeni unaathiri nini?Rais wa China anakuja kwa maslahi ya Taifa lake.Hapa CHADEMA wanaongelea maslahi ya taifa letu na vizazi vijavyo

Watoto wamefeli na hatuwezi kuandaa mazingira ya wadogo Zetu na kuwa manamba ndani ya nchi yao watakapowekeza wageni anaokuja kuwatetea kwenye hiyo mikataba ya kinyonyaji watakayosaini na rais wa China

Ukipita Kariakoo utakutana na wamachinga wa kichina ambao wanaziba hata fursa kwa wamachinga na wadogo zetu waliofeli kidato cha nne kujipatia riziki yao.

Tuendeleze vuguvugu bila kurudi nyuma

Nasikia huyo Rais wa China ametoka tu kuchaguliwa, ina maana sera zake katika kampeni zilikuwa kuwekeza Tanzani andio maana safari yake ya kwanza ni kuja Tanzania mara baada tu ya uchaguzi?
 
Back
Top Bottom