Maboso
JF-Expert Member
- Feb 18, 2013
- 5,163
- 5,765
KERO SI CHADEMA na MAANDAMANO ndg yangu!
KERO NI WANAFUNZI ZAIDI YA ASILIMIA 80 KUFELI MITIHANI AU KUONGEZEWA ALAMA WASIZOSTAHILI...Hata hivyo magamba mnaziba mafuriko kwa kiganja..Hamtafanikiwa maana wawekezaji walioko Tanzania chini ya Uongozi wa CCM hawajafanya lolote..Ukitaka kujua hilo usiangalie majengo,,Nenda GEITA mahali penye dhahabu,uangalie kijiji kilicho kilometa 3 kutoka mgodi wa GGM uone kama kina hata maji ya kunywa!Acheni ujinga ndugu zangu!Wawekezaji ni wezi tu!
Usiongee bila kufanya research.