CHADEMA na polisi katika mtifuano mkali

CHADEMA na polisi katika mtifuano mkali

Hivi unadhania nchi inaweza kuendelea bila wawekezaji?
Tatizo lenu nyie mnataka attention sana na mnaitafuta hii attention bila kujali waathirika wa haya maandamano na vurugu zenu, Wakipoteza maisha mnachofanya ni kuzunguka na picha zao kuonyesha huko waliko wawekezaji. mnataka nchi ionekane ina machafuko. Wewe unadhani nani mjinga atawekeza kwenye nchi yenye machafuko?
Hebu tafuteni kazi za kufanya manake sasa mmeanza kuwa kero kwa jamii
kwani mkuu hata kama yatatokea unadhani yatakuja tu kwa bahati mbaya!!?si kuna sababu?
 
Kuna campaign kali kupitia tbc za makamanda kusitisha maamdamano. Sababu zinazotolewa si za kisayansi. wanasema ni wakati wa killmo; watu watashindwa kuzalisha kwa sababu ya maandamano, kutdakuwa na fujo na ccm nao wamepanga kuandamana...look at these reasons ukilinganisha na mandai ya waandamanaji!!!...ccm Arusha ndo kituko cha mwaka!!!!e
 
chadema kwishney msajili wa vyama anakamilisha kukifuta rasmi hatuwezi kuwa na Chama kinachoendeshwa na magaidi na kuchochea fujo tutakaa kwa Amani sasa kuanzia wiki ijayo
 
chadema kwishney msajili wa vyama anakamilisha kukifuta rasmi hatuwezi kuwa na Chama kinachoendeshwa na magaidi na kuchochea fujo tutakaa kwa Amani sasa kuanzia wiki ijayo

Mkuu akifanya hivyo itakuwa vyema zaidi maana atakuwa ametulahisishia ukombozi badala ya kusubiri 2015!
 
chadema kwishney msajili wa vyama anakamilisha kukifuta rasmi hatuwezi kuwa na Chama kinachoendeshwa na magaidi na kuchochea fujo tutakaa kwa Amani sasa kuanzia wiki ijayo

Kinachopigiwa kelele na chadema na watanzania wote wenye akili timamu ni kwa faida ya Taifa la Tanzania na mustakabali wa vizazi vyetu.

ELIMU, hakuna kama elimu na hakuna shaka wanaopambana kinyume na haki ya watoto wa Tanzania kupata elimu bora hawako sawa katika fikra zao.
 
Hakuna cha watu kulamba wala kulambishwa, tatizo ni kwamba mfumo wa usimamizi wa rasilimali ni mbovu sana. Usijaribu kutumia lugha nzuri kuupaint.

Alafu, mimi am not against wawekezaji, either wandani au wa nje, am against na idea ambayo watu wanayo kuhusu uwekezaji. Utafanya makosa makubwa sana kusema kwamba US also inategemea wa wekezaji kuendelea.

Without further ado, jambo ambalo ni la muhimu sana tunalolihitaji ni Technology and Education, na iwe sustainable.

Uko US unakojilinganisha nako, the guys are just overwhemly with where to invest their high tech innovations and science. Yaani usipime kabisa!
Nakueleza kuwa USA inategemea sana wawekezaji na ndio waliotoa ajira kwa wingi ktk USA,hata wataalamu wengi walioko USA si wa USA wengi ni wa grean card,kutoka nchi mbalimbali na hususani islael,huwezi amini,yakupasa usome historia ya USA
 
Ben umeongea ukweli na good points. Wakenya wamefanya bidii kuwafukuza wamachinga wa kichina sisi bado tumelala. Cha muhimu hapa ni sisi watanzania wenyewe kuamka na kuchukua hatua. Ila nina uhakika hii nchi bila kuuondoa huu uongozi wenye akili ndogo wanaongoza watu wenye akili kubwa inaweza kuwa kazi kweli kweli.
Huo ugeni unaathiri nini?Rais wa China anakuja kwa maslahi ya Taifa lake.Hapa CHADEMA wanaongelea maslahi ya taifa letu na vizazi vijavyo

Watoto wamefeli na hatuwezi kuandaa mazingira ya wadogo Zetu na kuwa manamba ndani ya nchi yao watakapowekeza wageni anaokuja kuwatetea kwenye hiyo mikataba ya kinyonyaji watakayosaini na rais wa China

Ukipita Kariakoo utakutana na wamachinga wa kichina ambao wanaziba hata fursa kwa wamachinga na wadogo zetu waliofeli kidato cha nne kujipatia riziki yao.

Tuendeleze vuguvugu bila kurudi nyuma
 
Anashosema Nara ni sawa kabisa huwezi kuwaleta wawekezaji nchi kwako kama elimu iko chini kama Tz watachukua kila kitu mkiwa mnang'ang'a macho education kwanza
Nakueleza kuwa USA inategemea sana wawekezaji na ndio waliotoa ajira kwa wingi ktk USA,hata wataalamu wengi walioko USA si wa USA wengi ni wa grean card,kutoka nchi mbalimbali na hususani islael,huwezi amini,yakupasa usome historia ya USA
 
we ----- tu.watu wanaandamana kwa sababu ya elimu mbovu then u think hilo sio swala la kitaifa?Au maswala ya kitaifa ni yale ya uwekezaji wa wizi na mikataba ya kifisadi inayosainiwa hotelini?Sometimes you guys should try to think critically before you post your rubbish.

"The person who says it cannot be done should not interrupt the person doing it."
 
Yaani ukiona wendawazimu basi wewe unaweza kua miongoni sisi tunapigania haki kwa taifa letu wewe inaleta nini hapa kweli ndo maana vita inatokea kwa wenzetu maana mtu akikutana na hizi massage live anaweza kukushoot take it from me shame on us Tz. Huku nje wanatuona kama watu wasiojua nini kinaendelea hapa duniani. Ninaweza kukubaliana na wazungu maana akikutana na mtu kama wewe it is unbelivable
chadema kwishney msajili wa vyama anakamilisha kukifuta rasmi hatuwezi kuwa na Chama kinachoendeshwa na magaidi na kuchochea fujo tutakaa kwa Amani sasa kuanzia wiki ijayo
 
Huo ugeni unaathiri nini?Rais wa China anakuja kwa maslahi ya Taifa lake.Hapa CHADEMA wanaongelea maslahi ya taifa letu na vizazi vijavyo

Watoto wamefeli na hatuwezi kuandaa mazingira ya wadogo Zetu na kuwa manamba ndani ya nchi yao watakapowekeza wageni anaokuja kuwatetea kwenye hiyo mikataba ya kinyonyaji watakayosaini na rais wa China

Ukipita Kariakoo utakutana na wamachinga wa kichina ambao wanaziba hata fursa kwa wamachinga na wadogo zetu waliofeli kidato cha nne kujipatia riziki yao.

Tuendeleze vuguvugu bila kurudi nyuma

aisee dizain inauzunisha..umetoa mfano hai
 
Rais wa China anakuja kuwatafutia raia wake ulaji kupitia hiyo mikataba watakayo saini, sisi tunaambiwa tuache kudai mabadiliko ya kukomboa taifa letu hiyo itakua ngumu.
Ukizingatia watanzania hawaandamani kumpinga ris wa china, sasa zuio la nn?
 
Hapo kwenye blue huyo ndo nani?


quote_icon.png
By Chris Lukosi
Nani alikuambia mie nilifeli?
Sio kuandika unatokwa povu tu bila kutumia akili.
Haya ukiandamana kesho halafu....
Au unadhani baada ya kuandamana ndio watabadilisha hiyo sifuri yako kuwa Division one?
Tatizo lenu mnakurupuka tu kufuata upepo bora DJ kasema muandamane basi woote mnaingia mitaani kama wale wafuasi wa ponda , matokeao yake mnaishia jela. Na ukiwa jela usidhani kama chadema watakuletea ndizi huko. muulize Ludovick



DJ babako....



Ni babaake Chris, :tape2:
 
:nono:

MADARAJA MAPYA KWA MITIHANI YA KIDATO CHA NNE:
Serikali kwa kupitia wizara ya elimu imefanya mabadiliko kwenye madaraja ya alama za mitihani ya kidato cha nne. Hapo awali, madaraja yalikuwa ni kama ifuatavyo:
A = 81%-100%
B = 61%-80%
C = 41%-60%
D = 21%-40%
F = 0%-20%

Mabadiliko mapya yamefanywa na sasa madaraja MAPYA ni kama ifuatavyo:

A = 80%-100%
B = 65%-79%
C = 50%-64%
D = 35%-49%
F = 0%-34%

:nono: :nono:
 
Maandamano yako palepale.
Wachina wamepewa elimu bora ndio maana ccm inawatukuza.
Nasisi ni lazima tuipiganie elimu ya vizazi vyetu tusije tukaishia kuwa manamba kwenye nchi yetu.
VIONGOZI WA CDM MSIBATILISHE MAANDAMANO. TUPO PAMOJA NANYI.
 
Kamanda The Commissioner

Uko sawasawa kwa kiasi kikubwa mno. Waratibu wa maandamano na mgomo huo siku ya Jumatatu, BAVICHA kupitia kwa Katibu wa Baraza hilo taifa, Deo Munishi, wametuma taarifa kwa vyombo vya habari wakitoa tahadhari kwa Jeshi la Polisi kuacha kuwa kichocheo cha vurugu siku hiyo, badala yake litimize wajibu wake wa kulinda raia na mali zao.

Amesema kuwa uongozi wa chama katika kanda husika ambako watu wake watakutana kwenye centre moja kwa ajili ya shughuli hiyo, umeshafanya mawasiliano na Jeshi la Polisi kwa maana ya kutoa taarifa ili kuhakikisha uwepo wa ulinzi wa raia na mali zao.

Wamesisitiza siku zote CHADEMA kimekuwa kikiitisha maandamano ya amani, ambayo yamekuwa yakifanyika bila rabsha yoyote, isipokuwa pale ambapo Jeshi la Polisi linapotumwa au kutumika vibaya, kuvuruga na kusababisha fujo! Mifano iko hai.

Wamesisitiza pia kuwa, kama alivyosema Mwenyekiti wa Taifa, Freeman Mbowe, maandamano hayo ni ya Watanzania wote wanaoipenda nchi yao. Itakumbukwa Mwenyekiti alisema yatamhusu kila mtu, waendesha daladala, bodaboda, mamantilie, walimu, wanafunzi (wote kuanzia msingi hadi vyuo vikuu), wasukuma mikokoteni, madaktari na wengine wote, watu wa kada zote nchini.

Mkuu, katika hili uongozi wa CHADEMA utumie busara kidogo....while the cause is right but the timing is just not right. Acheni ugeni wa CHINA uondoke nchini ndio maandamano yafanyike. Kinyume cha hapo ni kujengwa taswira kwamba CHADEMA haipimi mambo makubwa ni yapi na madogo ni yapi.

Yes, ni kweli serikali iliyopo ni ya CCM lakini kuna mambo mengine ni ya kitaifa zaidi. Huo uwekezaji wa CHINA ni kwa manufaa ya vizazi vijavyo vya Tanzania, sio CCM wala CHADEMA. Kwanini kuruhusu rabsha wakati wa ugeni mkubwa kama huu wakati ugeni unaondoka siku ya Jumanne ? Kutakuwa na muda tele wa serikali ku-deal na internal issues baada ya Jumanne wiki ijayo.

Tafadhali...busara kidogo tu inahitajika.
 
Mkuu, katika hili uongozi wa CHADEMA utumie busara kidogo....while the cause is right but the timing is just not right. Acheni ugeni wa CHINA uondoke nchini ndio maandamano yafanyike. Kinyume cha hapo ni kujengwa taswira kwamba CHADEMA haipimi mambo makubwa ni yapi na madogo ni yapi.

Yes, ni kweli serikali iliyopo ni ya CCM lakini kuna mambo mengine ni ya kitaifa zaidi. Huo uwekezaji wa CHINA ni kwa manufaa ya vizazi vijavyo vya Tanzania, sio CCM wala CHADEMA. Kwanini kuruhusu rabsha wakati wa ugeni mkubwa kama huu wakati ugeni unaondoka siku ya Jumanne ? Kutakuwa na muda tele wa serikali ku-deal na internal issues baada ya Jumanne wiki ijayo.

Tafadhali...busara kidogo tu inahitajika.

Nani kakudanganya kuwa ujio wa raisi wa China una manufaa kwa vizazi vijavyo achilia mbali kizazi cha sasa? Hata sielewi kwanini baadhi ya watu mnakuwa wepesi kurubunika kwa hadaa za ccm na serikali yake.
Kama wewe ni muoga bora ubaki kesho nyumbani ulale tu na mkeo kuliko kuongea vitu visivyo na maana yoyote.
 
Nani kakudanganya kuwa ujio wa raisi wa China una manufaa kwa vizazi vijavyo achilia mbali kizazi cha sasa? Hata sielewi kwanini baadhi ya watu mnakuwa wepesi kurubunika kwa hadaa za ccm na serikali yake.
Kama wewe ni muoga bora ubaki kesho nyumbani ulale tu na mkeo kuliko kuongea vitu visivyo na maana yoyote.

Kuzuia maandamano wanaweza.......lakini kuzuia Twiga wasitoroshwe imeshindikana
 
Nasikia huyo Rais wa China ametoka tu kuchaguliwa, ina maana sera zake katika kampeni zilikuwa kuwekeza Tanzani andio maana safari yake ya kwanza ni kuja Tanzania mara baada tu ya uchaguzi?

Dunia inasubiri kuona nini muelekeo wa sera zake kwa Bara la Afrika na atakapoenda South Africa ataongelea sera zake za ushirikiano kwenye BRICS
 
Back
Top Bottom