Mzalendo80
JF-Expert Member
- Oct 30, 2010
- 2,509
- 1,343
Hivi unadhania nchi inaweza kuendelea bila wawekezaji?
Tatizo lenu nyie mnataka attention sana na mnaitafuta hii attention bila kujali waathirika wa haya maandamano na vurugu zenu, Wakipoteza maisha mnachofanya ni kuzunguka na picha zao kuonyesha huko waliko wawekezaji. mnataka nchi ionekane ina machafuko. Wewe unadhani nani mjinga atawekeza kwenye nchi yenye machafuko?
Hebu tafuteni kazi za kufanya manake sasa mmeanza kuwa kero kwa jamii
Wawekezaji au wanyonyaji? Wale wachina waliojazana kariakoo unawaita wawekezaji? au Barrick wanavyoiba dhahabu yetu utawaita wawekezaji? sikulaumu sana najua unatetea mlo wako hapo Lumumba, nakuonea huruma