CHADEMA na polisi katika mtifuano mkali

CHADEMA na polisi katika mtifuano mkali

Hivi unadhania nchi inaweza kuendelea bila wawekezaji?
Tatizo lenu nyie mnataka attention sana na mnaitafuta hii attention bila kujali waathirika wa haya maandamano na vurugu zenu, Wakipoteza maisha mnachofanya ni kuzunguka na picha zao kuonyesha huko waliko wawekezaji. mnataka nchi ionekane ina machafuko. Wewe unadhani nani mjinga atawekeza kwenye nchi yenye machafuko?
Hebu tafuteni kazi za kufanya manake sasa mmeanza ktuwa kero kwa jamii
KERO SI CHADEMA na MAANDAMANO ndg yangu!
KERO NI WANAFUNZI ZAIDI YA ASILIMIA 80 KUFELI MITIHANI AU KUONGEZEWA ALAMA WASIZOSTAHILI...Hata hivyo magamba mnaziba mafuriko kwa kiganja..Hamtafanikiwa maana wawekezaji walioko Tanzania chini ya Uongozi wa CCM hawajafanya lolote..Ukitaka kujua hilo usiangalie majengo,,Nenda GEITA mahali penye dhahabu,uangalie kijiji kilicho kilometa 3 kutoka mgodi wa GGM uone kama kina hata maji ya kunywa!Acheni ujinga ndugu zangu!Wawekezaji ni wezi tu!
 
Raisi wa China ndo ahairishe safari aje siku nyingine kama anaogopa maandamano yeye anakuja kuandama au kutuibia kupitia Viongozi wetu Mafisadi? Afuatilie interests za nchi yake na sisi tukomae na interest ya nchi yetu
 
Hapo umesema sasa
ni kwamba zipo sheria zinazowaongoza wawekezaji juu ya uajili wa wafanyakazi ktk maeneo waliowekeza,tatizo lilopo hapa ni kwamba sisi watanzania wenyewe ndio wajinga,maana uhamiaji wanatoa vibali vya kufanya kazi kwa watu toka nje,na vibari hvyo vinatolewa kinyemela hilo huwezi mlaumu raisi ndio maana kuna mgawanyo wa kazi,wapo watu wamepewa kazi ya kuzunguka ktk maeneo ya wawekezaji na kubaini ni wazawa wangapi wameajiliwa na wageni wangapi wameajiliwa,kinachotokea ni kwamba watu wanalamba pesa na hawafanyi kazi waliyotumwa kuifanya,nani alaumiwe hapo?
hii nchi tunalalamika sana,kama kila mtu hatatimiza wajibu wake ktk sehemu alipo.
Engineer,
Hapo umenena. Halafu serikali yetu haina oversight hata kidogo. Nasikia yule Msomali aliyepewa kiwanda cha Bora shoes alikichoma moto pamoja na hoteli yake pale Bagamoyo, akakusanya hela za insurance na kutokomea Ulaya. Kuna viwanda vingapi ambavyo wawekezaji waling'oa mitambo na kuipeleka kwao India, Pakistan, Kenya, huku kwetu yakibaki mago downs tu na maghofu? Na serikali haifanyi kitu.
 
Safi sana makamanda, maandamano lazima yafanyike,wakiwaletea za kuleta waonyesheni ukamanda wenu, mawe kwa kwenda mbele, tafuteni jamaa mmoja ajiwashe moto kama yule mwarabu. Sasa ni wakati wa ukombozi,ni kupigana mpaka kufa.mkuu wa majeshi ya anga ndio atakua mbele na tofali lake.....wapuuzi nyie.
Asimsahau na mkewe ,house girl ,houseboy na watoto wake
 
Na kwanini watu wafe? atawaua nani? Alikuambia maandamano ni vurugu nani? Mbona katika msafara wa Kikwete amekufa trafiki, je, rais wa china asipokelewe kwa msafara? Kama yanakutisha, kajifiche usione.
Hivi unadhania nchi inaweza kuendelea bila wawekezaji?
Tatizo lenu nyie mnataka attention sana na mnaitafuta hii attention bila kujali waathirika wa haya maandamano na vurugu zenu, Wakipoteza maisha mnachofanya ni kuzunguka na picha zao kuonyesha huko waliko wawekezaji. mnataka nchi ionekane ina machafuko. Wewe unadhani nani mjinga atawekeza kwenye nchi yenye machafuko?
Hebu tafuteni kazi za kufanya manake sasa mmeanza kuwa kero kwa jamii
 
Hivi unadhania nchi inaweza kuendelea bila wawekezaji?
Tatizo lenu nyie mnataka attention sana na mnaitafuta hii attention bila kujali waathirika wa haya maandamano na vurugu zenu, Wakipoteza maisha mnachofanya ni kuzunguka na picha zao kuonyesha huko waliko wawekezaji. mnataka nchi ionekane ina machafuko. Wewe unadhani nani mjinga atawekeza kwenye nchi yenye machafuko?
Hebu tafuteni kazi za kufanya manake sasa mmeanza kuwa kero kwa jamii

Unakurupuka.Sure we need Foreign Direct Investment

Lakini ni lazima tuwe na uwekezaji kulingana na priorities

Investment ili iwe viable ni lazima iwe consistent na public / National interest otherwise hawa makatibu wakuu wa wizara na hata Rais anaweza kuwa worse kuliko Chifu Mangungo wa Msovero

Hatuwezi kuruhusu uwekezaji wa kizuzu ambako watu wanafanya investment bila kuzingatia namna ambayo unemployed mass wanavyonufaika na kupunguza tatizo la ajira na.kuvunja vicious cycle of poverty

Leo mtu analeta capital anakuja na wafanyakazi wake.Tunahitaji kupata teknolojia mpya lakini kama hakuna transfer of technology uwekezaji huo ni kama ule wa wazungu na chifu Mangungo tu

Leo shule za kata zinazalisha. zero za kutisha ni kwa vipi hawa wataweza kunufaika na ajira zitokanazo na FDI kama hawana namna nyingine ya kujengewa capacity ili hata wawe vibarua.Is this what our youngsters deserve?

Ongea kama msomi uliyeishi nchi zilizoendelea siyo kama illiterate!
 
Hivi unadhania nchi inaweza kuendelea bila wawekezaji?
Tatizo lenu nyie mnataka attention sana na mnaitafuta hii attention bila kujali waathirika wa haya maandamano na vurugu zenu, Wakipoteza maisha mnachofanya ni kuzunguka na picha zao kuonyesha huko waliko wawekezaji. mnataka nchi ionekane ina machafuko. Wewe unadhani nani mjinga atawekeza kwenye nchi yenye machafuko?
Hebu tafuteni kazi za kufanya manake sasa mmeanza kuwa kero kwa jamii

Hakuna cha wawekezaji wala nani, wanaokuja Tanzania wanajifanya wawekezaji lakini ukweli unabaki kuwa wamegundua Tanzania ni kama shamba la bibi lisilokuwa na mwenyewe na wanachofanya ni kuja kujichotea/kuvuna wanachotaka na kuondoka.
 
Engineer,
Hapo umenena. Halafu serikali yetu haina oversight hata kidogo. Nasikia yule Msomali aliyepewa kiwanda cha Bora shoes alikichoma moto pamoja na hoteli yake pale Bagamoyo, akakusanya hela za insurance na kutokomea Ulaya. Kuna viwanda vingapi ambavyo wawekezaji waling'oa mitambo na kuipeleka kwao India, Pakistan, Kenya, huku kwetu yakibaki mago downs tu na maghofu? Na serikali haifanyi kitu.
bwana Jasusi
Tanzania kinachotusumbua ni kuwa na watu wanaopenda kitu kidogo,hii nchi hata wakipewa chadema,kama hatutakuwa na watu wanaofanya kazi kwa uzarendo itakuwa ni kila siku kuilaumu serikali itakayokuwa serikalini,unadhani ni kwanini viwanda hivyo vimekufa? je hatukuweza kusimamia visife? ni kwanini viwanda vya kurosho toka 25 mpaka hakuna kitu,je korosho hazilimwi tena? je waliopewa kazi ya kusimamia mashirika ya umma hawayaoni hayo? KITU KIDOGO
watendaji tuliowapa mamlaka ya kusimamia mali za umma hawafanyi kama inavyotakiwa,ni lazima tubadili mfumo wetu wa utendaji kazi,narudia hata chadema wakiingia madarakani,kama watu hawatatimiza wajibu wao ktk maneo yao ya kazi itakuwa ni lawama hata ktk hiyo serikali itakayo ongozwa na chama kingine.
Tanzania si masikini,ila watendaji waliopewa mamlaka ndio tatizo.
sheria zetu ni nzuri sana,mipango yetu ni mizuri sana na sera zetu ni nzuri sana,tatizo ni wanaopewa kazi ya kusimamia hayo yote niliyoyataja
 
Huku Jeshi la polisi nchini likiamua kutumika vibaya na Chama cha Mapinduzi na Serikali yake kwa kupiga marufuku maandamano kwenye mikoa yote yalikopangwa kufanyika, Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA kimeendelea kusisitiza na kulitaka jeshi la polisi kutambua hivyo kuwa maandamano yako pale pale.

Taarifa iliyotelewa kwa vyombo vya habari na jeshi la polisi kwa jiji la Dar es salaam zinadai kuwa haliwezi kuruhusu maandamano hayo kwa kuwa kuna ugeni wa rais wa China siku hiyo lakini CHADEMA wamedai kuwa Rais wa china yuko hapa nchini kwa maslahi ya nchi yake na wao CHADEMA wako kwenye shughuli zao kwa maslahi ya nchi ambazo hazina mausiano yoyote na rais huyo wa china.

Kwa upande wa Arusha Jeshi la polisi linadai kuwa haliwezi kuruhusu maandamano hayo kwa kuwa CCM nao wameomba kufanya maandamano siku hiyo kwenye barabara hizo hizo walizoomba CHADEMA kwa nia ya kuipinga CHADEMA na msimamo wao wa kumtaka waziri ajiuzulu. Taarifa zinaendela kusema kuwa CHADEMA wameliambia Jeshi la polis mkoani huo kuwa hakitatetereka katika msimamo wake na kwamba ni jukumu la jeshi la polisi kupanga barabara tofauti zitakazotumika na vyama hivyo na kwamba wao CHADEMA wataendelea na maandamano yao katika barabara zile walizozipanga na kama wanawahusudu sana CCM basi wawapangie barabara tofauti.

Jijini Mbeya hali insemekana kuwa tete kwani kila mmoja yaani polisi na CHADEMA wameonyesha misimamo mikali na tayari taarifa zinadai kuwa Mkuu wa Mkoa wa Mbeya ameamua kufanya kikao na wachungaji na maaskofu ili kuwaomba wawatangazie watu kwenye ibada za kesho kuwa wasijitokeze kwenye maandamano hayo kwani yataatarisha amani. Kwa upande wa CHADEMA wameendelea kulieleza jeshi la polisi kuwa adhma ya maandamano ya kuomngo'oa Kawambwa iko pale pale iwe mvua ama jua.

Pia taarifa kutoka makao makuu zilizosambazwa kwa vyombo vya habari leo hii na zimeeonyesha vikosi vitakavyoongza maandamano hayo ambapo kwa upande a Jiji la Dar es Salaam, Mwenyekiti wa CHADEMA Tiafa Freeman Mbowe akisindikizwa na wabunge wote wa Dar es salaam watawaongoza wananchi kuelekea kwa waziri mkuu.

Katibu Mkuu wa CHADEMA Dr Slaa, Katibu Mkuu wa BAVICHA Deogratias Munishi na Mbunge Sugu watakuwa jijini Mbeya, wakati Mwenyekiti wa BAVICHA Tifa John Heche, Tundu Lisu, na Godbless Lema watakuwa jijini Arusha na kwa upande wa Mwanza Mwenyekiti wa Wazee Taifa Nyangaki Shilungushela na Ezekeia Wenje Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA.

Hata hivyo taarifa zinasema Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Said Mwema anatarajia kukutana na uongozi wa CHADEMA Taifa ili kuwaangukia kusitisha nia yao hiyo kwa kuwa nchi iko kwenye ugeni mzito jambo ambalo linasemekana kuwa CHADEMA hawako tayari kusikia chochote juu ya hilo.​
Maandamano ya chama cha siasa yanahusiana nini na ibada ya kesho ya wakristo. Je, hiyo sio sawa na makanisa kujihusisha moja kwa moja na siasa?
Hao wachungaji na maaskofu wakitangaza kanisani kuhusu maandamano nitawaona ni wapuuzi na naweza kupuuzia kuhudhuria kanisani tena.
 
lUKOSI UMEMRITHI NAPE NNAUYE - WEWE NDIYE MSEMAJI WA CCM??????????????/
Haki ya nani Lukosi mwaka huu tenda zote utazipata wewe.Unawalinda wakubwa kwa nguvu zako zote!!

Hivi unadhania nchi inaweza kuendelea bila wawekezaji?
Tatizo lenu nyie mnataka attention sana na mnaitafuta hii attention bila kujali waathirika wa haya maandamano na vurugu zenu, Wakipoteza maisha mnachofanya ni kuzunguka na picha zao kuonyesha huko waliko wawekezaji. mnataka nchi ionekane ina machafuko. Wewe unadhani nani mjinga atawekeza kwenye nchi yenye machafuko?
Hebu tafuteni kazi za kufanya manake sasa mmeanza kuwa kero kwa jamii
 
Kamanda The Commissioner

Uko sawasawa kwa kiasi kikubwa mno. Waratibu wa maandamano na mgomo huo siku ya Jumatatu, BAVICHA kupitia kwa Katibu wa Baraza hilo taifa, Deo Munishi, wametuma taarifa kwa vyombo vya habari wakitoa tahadhari kwa Jeshi la Polisi kuacha kuwa kichocheo cha vurugu siku hiyo, badala yake litimize wajibu wake wa kulinda raia na mali zao.

Amesema kuwa uongozi wa chama katika kanda husika ambako watu wake watakutana kwenye centre moja kwa ajili ya shughuli hiyo, umeshafanya mawasiliano na Jeshi la Polisi kwa maana ya kutoa taarifa ili kuhakikisha uwepo wa ulinzi wa raia na mali zao.

Wamesisitiza siku zote CHADEMA kimekuwa kikiitisha maandamano ya amani, ambayo yamekuwa yakifanyika bila rabsha yoyote, isipokuwa pale ambapo Jeshi la Polisi linapotumwa au kutumika vibaya, kuvuruga na kusababisha fujo! Mifano iko hai.

Wamesisitiza pia kuwa, kama alivyosema Mwenyekiti wa Taifa, Freeman Mbowe, maandamano hayo ni ya Watanzania wote wanaoipenda nchi yao. Itakumbukwa Mwenyekiti alisema yatamhusu kila mtu, waendesha daladala, bodaboda, mamantilie, walimu, wanafunzi (wote kuanzia msingi hadi vyuo vikuu), wasukuma mikokoteni, madaktari na wengine wote, watu wa kada zote nchini.

Siku zote najisikia fahari kuwa Chadema kutokana na chama hiki kutumia muda wake kuhangaikia mambo yanayoligusa taifa.....sasa jiulize hao CCM wanaoandamana Arusha wanatetea nini kama sio kulaaaniwa
 
Uwekezaji haujaanza leo Tanzania.
Na hatuwezi kujidai kama vile hawa wawekezaji ni watoto wadogo eti tuwaonyeshe tuna adabu/tabia nzuri ili wasituone sisi ni watu wa hovyo (ndio maoni ya kina lukosi)

Nchi hii hatuwezi kuiachia mbwa wafanye wanavyotaka wao. Pia niseme hivi: Maisha yetu hayategemei China wanatuonaje sisi - tunapaswa tuishi tunavyotaka sisi. Serikali yetu inapaswa kutuongoza tunavyotaka sisi wenyewe. Sio viongozi kutuongoza wanavyotaka wao.

Unakurupuka.Sure we need Foreign Direct Investment

Lakini ni lazima tuwe na uwekezaji kulingana na priorities

Investment ili iwe viable ni lazima iwe consistent na public / National interest otherwise hawa makatibu wakuu wa wizara na hata Rais anaweza kuwa worse kuliko Chifu Mangungo wa Msovero

Hatuwezi kuruhusu uwekezaji wa kizuzu ambako watu wanafanya investment bila kuzingatia namna ambayo unemployed mass wanavyonufaika na kupunguza tatizo la ajira na.kuvunja vicious cycle of poverty

Leo mtu analeta capital anakuja na wafanyakazi wake.Tunahitaji kupata teknolojia mpya lakini kama hakuna transfer of technology uwekezaji huo ni kama ule wa wazungu na chifu Mangungo tu

Leo shule za kata zinazalisha. zero za kutisha ni kwa vipi hawa wataweza kunufaika na ajira zitokanazo na FDI kama hawana namna nyingine ya kujengewa capacity ili hata wawe vibarua.Is this what our youngsters deserve?

Ongea kama msomi uliyeishi nchi zilizoendelea siyo kama illiterate!
 
Maandamano ya chama cha siasa yanahusiana nini na ibada ya kesho ya wakristo. Je, hiyo sio sawa na makanisa kujihusisha moja kwa moja na siasa?
Hao wachungaji na maaskofu wakitangaza kanisani kuhusu maandamano nitawaona ni wapuuzi na naweza kupuuzia kuhudhuria kanisani tena.
RC atakuwa anajikosha tul...nakwambia mbeya magamba watumishi wa mungu wanahasira na hao watu magamba kutokana na kulihujumu kanisa
 
nani alikuambia mie nilifeli?
Sio kuandika unatokwa povu tu bila kutumia akili.
Haya ukiandamana kesho halafu....
Au unadhani baada ya kuandamana ndio watabadilisha hiyo sifuri yako kuwa division one?
Tatizo lenu mnakurupuka tu kufuata upepo bora dj kasema muandamane basi woote mnaingia mitaani kama wale wafuasi wa ponda , matokeao yake mnaishia jela. Na ukiwa jela usidhani kama chadema watakuletea ndizi huko. Muulize ludovick

tunautoa mfumo uliopo
acha ukum* wewe
 
Boss,
I hope hilo jina la Mkwawa unajua maana yake.
Pili unatakiwa ujue sababu zilizowafanya wanafunzi wafeli na baada ya hapo hata ukiandamana mie nitakuunga mkono kwani tutajua nani au nini kilisababisha wanafunzi kufeli, sio kuandamana kila kukicha kama vile hakuna kazi nyingine ya kufanya.
KESHO MVUA ZISIPONYESHA NA MAZAO YAKAHARIBIKA UTAANDAMANA WAZIRI WA KILIMO AJIUZURU?

hv huwa unalazimishwa kufikiri kwa kutumia kabaang! maana naona hata exposure uliopata huko majuu imeshindwa kabisa kuingia akilini kwako, da kweli mkubwa unaonekana km 'zuzu' fulani hv, km huko UK umeshindwa kung'amuka mtoto wa kiume basi wewe ni janga kubwa sana!
 
Safi sana makamanda, maandamano lazima yafanyike,wakiwaletea za kuleta waonyesheni ukamanda wenu, mawe kwa kwenda mbele, tafuteni jamaa mmoja ajiwashe moto kama yule mwarabu. Sasa ni wakati wa ukombozi,ni kupigana mpaka kufa.mkuu wa majeshi ya anga ndio atakua mbele na tofali lake.....wapuuzi nyie.
Mpuuzi pia!
 
Back
Top Bottom