CHADEMA na Maajabu ya Musa Leo Bungeni!!

CHADEMA na Maajabu ya Musa Leo Bungeni!!

Mimi nimekuelewa sana le mutuz kama chadema/ukawa wangesimama kuuliza kutokana na kifungu fulani,hukuruhusiwa kugombea uspika,na kutokana na muda mfupi wa uanachama wako huruhusiwi kugombea unaibu,sasa tupe kifungu kilichokuleta hapa,hapo ndo lingekuwa swali

Jamaa wanakurupuka sana.
Wanafata ushabiki wa hoja na wanaacha vitu vya muhimu.
Esther Matiko kapoteza point za muhimu sana katika swali lake.
Na ile zomea zomea iliwafanya ccm washikamane zaidi nyuma ya mgombea wao.
Badala ya kuwapima wagombea kwa uwezo wao binafsi wakajukuta wamejipiga ukuta wa zege la kambi za vyama.
 
Leo CHADEMA wanamuuliza Dr ‪#‎Tulia‬ Bungeni alijiunga CCM lini? haya ni maajabu ya Musa!!

Majibu ya DR. Tulia ni haya hapa!

KATIBA YA JAMHURI YA MUUNGANO WA
TANZANIA YA MWAKA 1977

67-(2) Mtu hatakuwa na sifa za kustahili kuchaguliwa au kuteuliwa
kuwa Mbunge-

(g) ikiwa mtu huyo ameshika madaraka ya afisa
mwandamizi katika utumishi wa Serikali ya Jamhuri ya
Muungano, isipokuwa madaraka ambayo Rais aweza
au anatakiwa kukabidhi kwa Mbunge kwa mujibu wa
Katiba hii au sheria iliyotungwa na Bunge;

72. Iwapo mtu yeyote mwenye madaraka katika utumishi wa
Serikali, madaraka ya aina iliyotajwa katika ibara ya 67(2)(g)
ataamua:-
(a) kuwa mgombea uchaguzi wa Rais au wa nafasi
nyingine yoyote chini ya Katiba hii;
(b) kugombea uongozi wa ngazi yoyote katika chama cha
siasa kinyume na masharti ya ajira,
mtu huyo atahesabiwa kuwa utumishi wake umekoma tangu
tarehe yake ya kuwa mgombea uchaguzi au ya kugombea
uongozi katika chama cha siasa.
 
Tatizo le mutuz mwili mkubwa akili kidogo! Angalia mantiki ya swali ndo uje na uharo wako hapa
 
CHADEMA wanamuogopa sana Dkt Tulia. Kitendo cha wao kumnyima nafasi kuongea ni ushahidi tosha kuwa wanamuogopa vibaya sana.

Maana Dkt Tulia naibu wetu wa spika anasema kwa vifungu...anasema kwa kutaja Ibara...bila kusoma mahali popote pale...mtu wa namna hiyo ni moto wa kuotea mbali! Jitu kama Lissu bila kuwa na katiba...haliwezi kutaja Ibara yoyote ile mpaka asome. Tofauti kabisa na Dr Tulia. Vitu vipo kichwani tu.

Asante Mungu kwa kutupa naibu spika msomi.

mkuu kwa hiyo maarifa ya MTU yanapimwa kwa kiwango gani anaweza kukariri vifungu? Au ubora wa mwanasheria unapimwa kwa uwezo wake wa kukariri vifungu? hammy Dada I salute you!
 
Kaka, kwenye mambo yanayohitaji uelewa uwe unakaa mbali. Unajidhalilisha na kujianika kama mwenye umri mkubwa lakini akili ndogo. Pale, paliulizwa suala la mgongano wa kimaslahi kwa maana ya kuwa mtumishi wa serikali kwa ngazi ya Naibu Mwanasheria Mkuu hakutarajiwa kujihusisha na siasa kwakuwa alikuwa mtumishi wa wote.

Safi sana Petro! Achana na hili kubwa jinga! HERI KIJANA MASKINI MWENYE HEKIMA KULIKO MFALME MZEE MPUMBAU-MITHALI 4:13
 
Tumia akili, Duni na Lowasa walikuwa watumishi wa Umma, au akili za kushikiwa ndo zinakusumbua

Ha ha ha..
Wewe ndo umeingia chaka jumla.
Lowassa alikubaliwa kuwa mgombea urais kwa kupitia chadema kabla hajawa mwana chadema.
Tumia akili au ndo yale mambo ya nyani haoni kundule?
 
Nafasi ya kuteuliwa sio lazima uwe mwanachama ila uwe na element ya ufuasi
 
Safi sana Petro! Achana na hili kubwa jinga! HERI KIJANA MASKINI MWENYE HEKIMA KULIKO MFALME MZEE MPUMBAU-MITHALI 4:13

Ni athari za mkorogo, akili zimebaki kiduuuuchu za kuvukia barabara tu.
 
Swala hapa tulitaka kujua aligombea uspika bila kadi ya uanachama au alikuwa tayari ni mwanachama wa ccm. Na kama alikuwa tayari ni mwanachama wa ccm kwa nini aliendelea kuwa AAG.

Si alishataja vifungu vya sheria vilivyojibu hayo maswali. Nyumbu vipi au unataka akascan akuwekee JF ?
 
mkuu kwa hiyo maarifa ya MTU yanapimwa kwa kiwango gani anaweza kukariri vifungu? Au ubora wa mwanasheria unapimwa kwa uwezo wake wa kukariri vifungu? hammy Dada I salute you!

Very few people have the ability to acquire information and detain it for a long time. Dr Tulia is among those few people. She is amazing.
 
unapotosha umma! Dr Tulia alichukua gomu ya spika wa bunge akiwa kaimu mwanasheria mkuu wa serikali., na inatakiwa kwa nafasi aliyokuwa nayo asifungamane na itikadi ya chama chochote. Hiyo ndiyo ilikuwa hoja ya wapinzani. Ila ya lowassa na duni mbona hapo hamna uhusiano na hilo la dr tulia.
uwezo wako wa kupambanua mambo ni mdogo na hii inasababishwa na muda mwingi kushinda kwenye mitandao ya kijamii na kuacha kusoma katiba ya nchi pamoja na vitabu vingi tofauti yofauti.
Nashindwa kuelewa hivi ukiwa mshabiki wa chama fulani kila wanachofanya wapinzani wako ni sumu?

Kama mnafanya pumba yes ni sumu. Vifungu vya sheria alivitaja na waelewa wakaelewa sasa ulitaka nini? tatizo manyumbu mnafata sana upepo.
 
Jamaa wanakurupuka sana.
Wanafata ushabiki wa hoja na wanaacha vitu vya muhimu.
Esther Matiko kapoteza point za muhimu sana katika swali lake.
Na ile zomea zomea iliwafanya ccm washikamane zaidi nyuma ya mgombea wao.
Badala ya kuwapima wagombea kwa uwezo wao binafsi wakajukuta wamejipiga ukuta wa zege la kambi za vyama.

Mi nafikiri wabunge wasitafute umaarufu, kwa kuongea bora kuonekana,kwn mwisho wa cku tunaopiga kura hatupo kwenye tv wala mtandaoni ni majimboni,kwa vyovyote iwe kuna kipengele cha kuwabana ccm na si kutafuta umaarufu,mi sijapenda kuzomewa kwn tulipaswa tujue hayo makundi matatu na kuondoa hayo maneno ya kubebwa wangempa nafasi,ila kwa kuwa ukawa wamezoea kutafuta kick na c kutuwakilisha kutafuta mabaya,namazuri yaonekana pia mabaya
 
‪- Lowassa‬ aliingia CHADEMA saa mbili kamili Asubuhi, ilipofika saa mbili na dakika tano akawa mgombea Urais wa# CHADEMA.....
,Babu ‪#‎Duni‬ aliingia chadema saa sita na saa sita na nusu alikua mgombea Mwenza na Wote waliingia CHADEMA Wiki Moja kabla ya Kampeni kuanza,

- Leo CHADEMA wanamuuliza Dr ‪#‎Tulia‬ Bungeni alijiunga CCM lini? haya ni maajabu ya Musa!!,

KUMBE MZEE MKAPA ANA AKILI SANA, ALISHAWAJUA SIKU NYINGI SANA!!


Le Mutuz Nation
uwezo wako wa kufikiri ndipo umeishia hapa hatuwezi kukulaumu sana tunakupuuzia kama ulivyo.
 
‪- Lowassa‬ aliingia CHADEMA saa mbili kamili Asubuhi, ilipofika saa mbili na dakika tano akawa mgombea Urais wa# CHADEMA.....
,Babu ‪#‎Duni‬ aliingia chadema saa sita na saa sita na nusu alikua mgombea Mwenza na Wote waliingia CHADEMA Wiki Moja kabla ya Kampeni kuanza,

- Leo CHADEMA wanamuuliza Dr ‪#‎Tulia‬ Bungeni alijiunga CCM lini? haya ni maajabu ya Musa!!,

KUMBE MZEE MKAPA ANA AKILI SANA, ALISHAWAJUA SIKU NYINGI SANA!!


Le Mutuz Nation

Mtu mzima ovyoooooo hata uelewa sifuri
 
‪- Lowassa‬ aliingia CHADEMA saa mbili kamili Asubuhi, ilipofika saa mbili na dakika tano akawa mgombea Urais wa# CHADEMA.....
,Babu ‪#‎Duni‬ aliingia chadema saa sita na saa sita na nusu alikua mgombea Mwenza na Wote waliingia CHADEMA Wiki Moja kabla ya Kampeni kuanza,

- Leo CHADEMA wanamuuliza Dr ‪#‎Tulia‬ Bungeni alijiunga CCM lini? haya ni maajabu ya Musa!!,

KUMBE MZEE MKAPA ANA AKILI SANA, ALISHAWAJUA SIKU NYINGI SANA!!


Le Mutuz Nation

Vipi matokeo ya Same Mashariki yaliendaje?????????
 
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 duh. Hii kali

hahahahaahah! pwagu na pwaguzi! binti anapimana nguvu na mwanasheria! matokeo yake Mwanasheria kawa makamu speaker na atamuongoza tu.
 
‪- Lowassa‬ aliingia CHADEMA saa mbili kamili Asubuhi, ilipofika saa mbili na dakika tano akawa mgombea Urais wa# CHADEMA.....
,Babu ‪#‎Duni‬ aliingia chadema saa sita na saa sita na nusu alikua mgombea Mwenza na Wote waliingia CHADEMA Wiki Moja kabla ya Kampeni kuanza,

- Leo CHADEMA wanamuuliza Dr ‪#‎Tulia‬ Bungeni alijiunga CCM lini? haya ni maajabu ya Musa!!,

KUMBE MZEE MKAPA ANA AKILI SANA, ALISHAWAJUA SIKU NYINGI SANA!!


Le Mutuz Nation

wagogo akili zenu mbovu sana.ndo maana milembe ikajengwa dodoma.yaani we ni jamii ya dinnosaurs.mwili mkubwa akili pilton
 
Back
Top Bottom