Wafuasi wa kijani katika ubora wao,lumumba imejaa wanaume wanaopakatwaChadema kama chama kikuu cha upinzani wananchi wangependa kujua msimamo wenu kuhusu swala la Ushoga na mashoga. Mpaka sasa tumeshasikia misimamo binafsi ya Makonda na Dr Kigwangalla hali kadhalika ule wa serikali.
Je, chama mbadala mna msimamo wowote tofauti?
Wenzako hao hapoMsimamo wa ufipa ni kutetea haki za hao watu wa kada maalum ... usitarajie mfipa kuunga mkono juhudi za rc
Chama chenu lumumba kimejaza wangese,uvccm nayo ndio imejaza wangese kibao ujazo wa behewa 2 za treniCDM Ni walebelari siku nyingi. Wait Ni free mind for free word. Wana udau na walebelari wa kijerumani. Mbona hii habari sio ngeni.
Msimamo wa serikali ni upi?Chadema kama chama kikuu cha upinzani wananchi wangependa kujua msimamo wenu kuhusu swala la Ushoga na mashoga. Mpaka sasa tumeshasikia misimamo binafsi ya Makonda na Dr Kigwangalla hali kadhalika ule wa serikali.
Je, chama mbadala mna msimamo wowote tofauti?
Huwa unafikiria unapotolea mikojo ehee?Ondoa uwongo wako hapa walahi
Chadema kutwa kukurupuka katika matukio, aaahh salaleeeh, vichwa uwiii!
Serikali ya ccm inatetea mashoga kupitia Wizara ya Mambo ya Nje. Kuanzia sasa wale wa Lumumba ukishatokwa mapovuuuu huku, unaenda kuchukua buku7 yako Lumumba lakini kabla ya kuchukua unatekeleza haki ya jinsia moja ndio usempe.Chadema kama chama kikuu cha upinzani wananchi wangependa kujua msimamo wenu kuhusu swala la Ushoga na mashoga. Mpaka sasa tumeshasikia misimamo binafsi ya Makonda na Dr Kigwangalla hali kadhalika ule wa serikali.
Je, chama mbadala mna msimamo wowote tofauti?
Chadema kama chama kikuu cha upinzani wananchi wangependa kujua msimamo wenu kuhusu swala la Ushoga na mashoga. Mpaka sasa tumeshasikia misimamo binafsi ya Makonda na Dr Kigwangalla hali kadhalika ule wa serikali.
Je, chama mbadala mna msimamo wowote tofauti?
Japo mnaweza mkawa mnawadharau CHADEMA labda kutokana na kuwa ni Chama tu cha Upinzani na kwa bahati mbaya kwa sasa kinapata ' misukosuko ' ya hapa na pale ya Kisiasa ila binafsi najua kuwa kama kuna Chama ambacho kina Watu ' very smart upstairs ' ambao pengine unaweza ukawahesabu na hata kuwapata wachache ndani ya Chama cha Mapinduzi ( CCM ) basi ni Chama cha Demokrasia na Maendeleo ( CHADEMA ) Na sifa yao kubwa ni kwamba huwa ' hawakurupuki ' bali hulikabili jambo kwa Kutulia na kuweka umakini mkubwa. Nawapongeza sana kwa hilo japo Mimi ni Mtani wao wa Kisiasa na nakiri kwamba bila ' Uimara ' wa CHADEMA katika Siasa zake basi huenda leo hii tusingekuwa na CCM yetu hii inayojitahidi kuwa Imara baada ya kuwa katika Kipindi cha ' Makandokando ' yake mengi kwa miaka kadhaa iliyopita.
Msimamo wa serikali ni upi?Chadema kama chama kikuu cha upinzani wananchi wangependa kujua msimamo wenu kuhusu swala la Ushoga na mashoga. Mpaka sasa tumeshasikia misimamo binafsi ya Makonda na Dr Kigwangalla hali kadhalika ule wa serikali.
Je, chama mbadala mna msimamo wowote tofauti?
Chadema ipi unayoizungumzia wewe?Chadema kama chama kikuu cha upinzani wananchi wangependa kujua msimamo wenu kuhusu swala la Ushoga na mashoga. Mpaka sasa tumeshasikia misimamo binafsi ya Makonda na Dr Kigwangalla hali kadhalika ule wa serikali.
Je, chama mbadala mna msimamo wowote tofauti?
Hii ya Lowassa!cha
Chadema ipi unayoizungumzia wewe?
Wewe punguani Bila kutaja CHADEMA hupati usingizi? Mbona hujataja msimamo wa CCM au UDP?Chadema kama chama kikuu cha upinzani wananchi wangependa kujua msimamo wenu kuhusu swala la Ushoga na mashoga. Mpaka sasa tumeshasikia misimamo binafsi ya Makonda na Dr Kigwangalla hali kadhalika ule wa serikali.
Je, chama mbadala mna msimamo wowote tofauti?
wakati wa Mo kutekwa waliitisha mkutano wa waandishi wa habari kupitia waziri kivuli wa mambo ya ndani ila hili wamekaa kimya marekani misimamo ya vyama kama republican na democratic inajulikana ila hili hawawezi kulitolea ufafanuzi watawaachia wapambe wao wakina fatma karume watoe msimamo
Msimamo wa CCM ni upi?? Msimamo wa makonda??View attachment 921569
Ondoa uwongo wako hapa walahi
Chadema kutwa kukurupuka katika matukio, aaahh salaleeeh, vichwa uwiii!
HUYO ISIS ATAKUWA TEAM JAMES DELICIOUS.Bado hujatajwa tu katika Kikosi cha ' Mashoga ' wanaotakiwa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda?