CHADEMA mnatuangusha, mnashindwaje ‘Live Streaming’ hata YouTube? This is unacceptable

Katibu Mkuu Mnyika, chukua maoni ya wananchi uje na media stratergy ASAP.

Message ya Lissu ina potential ya kufikia watu wengi zaidi lakini mkifanya the needful
 
CHADEMA si kwamba hawana uwezo wa kurusha live, lakini live ni kuwaambua . Ni tofauti na picha watazotupia.
Kuwafukuza TBC na kutokuwa live ama wakiwa live wanaonyesha pale tu mbele ni kimkakati zaidi.
 
Mbowe aliwafukuza cdm nikajua kwa jeuri ile watakua wamejipanga kumbe hovyo. Hata chadema media imeshindwa kuwa live huko YouTube.
 
Muda huu naangalia ACT wako kila sehemu Live YouTube. Chadema hakuna kitu. Clips fupi fupii na za hovyo. Na hata Jana ilikuwa hivyo hivyo Arusha. Wiki iliyopita, Mbagala na Segerea same.

Mimi CCM lakini napenda kumuona Lissu, na ntampigia Kura.

Chadema ni chama kikubwa, badilikeni. Hakuwezi kushindwa kufanya Live Broadcast YouTube na mkiendelea hivi. CCM itatumia huu mwanya kuwavuruga na hamtaamini
Kama nauli tu mnakusanya kwa kuchangisha wananchi hili nalo mtaweza?
 
Cha ajabu zaidi juzi CHADEMA imezindua program ya CHADEMA DIJITAL, lakin live stream ya youtube tu imeshindikana. Bado naamin kitengo cha habari cha chadema **** mamluki wanaokihujumu chama.
 
Muda huu naangalia ACT wako kila sehemu Live YouTube. Chadema hakuna kitu. Clips fupi fupii na za hovyo. Na hata Jana ilikuwa hivyo hivyo Arusha. Wiki iliyopita, Mbagala na Segerea same.

Mimi CCM lakini napenda kumuona Lissu, na ntampigia Kura.

Chadema ni chama kikubwa, badilikeni. Hakuwezi kushindwa kufanya Live Broadcast YouTube na mkiendelea hivi. CCM itatumia huu mwanya kuwavuruga na hamtaamini
Kwa kweli kitengo cha habari ni utopolo kabisa! Wanashindwa nini kuchukua vijana wadogo wadogo waliomaliza IT wafanye mambo?
 
Hata wakiamua kutumia kurasa za Lissu Facebook, Twitter na Instagram kuwa live yaani watawafikia watanzania wengi Sana watu tunaweka 10 GB kwenye simu kuwacheck ila wanazengua Sana
Hawafai kupewa nchi kama vitu vidogovidogo hivyo wanachemsha itakuwa nchi
 
Mbowe kachangisha wabunge hela za uchaguzi, hajazipiga kweli?
 
Muda huu naangalia ACT-Wazalendo wako kila sehemu Live YouTube. CHADEMA hakuna kitu. Clips fupi fupii na za hovyo. Na hata Jana ilikuwa hivyo hivyo Arusha. Wiki iliyopita, Mbagala na Segerea same.

Mimi CCM lakini napenda kumuona Lissu, na ntampigia Kura.

CHADEMA ni chama kikubwa, badilikeni. Hakuwezi kushindwa kufanya Live Broadcast YouTube na mkiendelea hivi. CCM itatumia huu mwanya kuwavuruga na hamtaamini
Hawataki muone live!! Wanataka watengeneze kwanza picha kabla hawajapoti humu. Unafikiri kwa nini Mwenyekiti Faru John aliwafukuza TBC1 hawataki kabisa picha za drone,, wanataka picha za migongoni na facial photo kama za passport size in Lissu's voice!!
 
Hivi humu hakuna mtu amwambie huyo Tumaini Makene hili swala?

Hawa akina Makene wamekaa sana kwenye hizi nafasi wakati hawana kabisa faida kwa chama kwa sasa, wanafaa wawapishe wengine ambao ni more active and serious.
 
Watu wa Media akina Tumaini Makeni ni bure kabisa na wanajumu chama. Wewe unajua mainstream media zote CCM wamezikamata, utawezaje kushinda kama chama kama hautaweka nguvu kubwa kwenye social media, including kurusha live matangazo youtube, Insta, Facebook, website, etc??
Kwa kweli na mimi wananikera sana.
 
Nikitaka kusikiliza hotuba za Lissu nazitafuta kama anayetafuta BANGI yaan ni adimu sana hata zinazopatikana zpo poor kabsa visually.
 
Kwa hali halisi pamoja na kufungiwa kwa magazeti yenye hoja ponzani.
CHADEMA mlipaswa kuwa na vyombo vya habari walau TV na Radio kuugikia uma wa watanzania wengi wana Mabadiliko. Wanaogopa nini kuwa live hata you tube???
Kwa kweli wengine wenu kama si wajinga wa kutupwa basi mnayo yenu. Hivi CAPO DELGADO unajua vikwazo vilivyowekwa kuzuia uoneshaji live hapa nchini! Kama hata vituo binafsi vinazuiwa, hiyo ruhusa Chadema itaitoa wapi? Hivi mnaujua udikteta ama mnausikia tu? Mnaujua ukandamizaji wa habari au mnauota tu? Kwa nini mnadhani Chadema haina hata kituo cha redio? Mbona hata kagazeti kamoja walichokategemea kamefungiwa, je TV? Mbona mnaropoka kama mazuzu!?
 
Kwa kweli wengine wenu kama si wajinga wa kutupwa basi mnayo yenu. Hivi CAPO DELGADO unajua vikwazo vilivyowekwa kuzuia uoneshaji live hapa nchini! Kama hata vituo binafsi vinazuiwa, hiyo ruhusa Chadema itaitoa wapi? Hivi mnaujua udikteta ama mnausikia tu? Mnaujua ukandamizaji wa habari au mnauota tu? Kwa nini mnadhani Chadema haina hata kituo cha redio? Mbona hata kagazeti kamoja walichokategemea kamefungiwa, je TV? Mbona mnaropoka kama mazuzu!?

Hakuna kibali cha live streaming youtube au insta au facebook, CDM walifanya livestreaming siku ya kwanza Mbagala na siku ya pili Kawe ila zile live streaming zinawaumbua wenyewe, mkutano unakuta umedoda kama kampeni za Udiwani vile, baada ya kuwazodoa hapa ndio wamekata live streaming wanakuja na picha na vi clip baada ya kuhaririwa picha nzuri za kutoka, na hizi clip mwisho ni mkutano wa Mbeya kesho kutwa baada ya hapo kwa kuwa ni aibu tu zinazofuata, hutaona clip yoyote ya maana tena.
 
Back
Top Bottom