Chelian
Senior Member
- Oct 1, 2012
- 107
- 40
Mkuu Mwanakijiji, nimekupata. Ni ukweli ulio wazi kuwa CHADEMA wamepewa penati dakika za lala salama...
lakini wanashindwa kuitumia kwa umakini!
Mkuu Mwanakijiji, nimekupata. Ni ukweli ulio wazi kuwa CHADEMA wamepewa penati dakika za lala salama...
Baada ya ripoti ya tume ya jaji Manento ambayo ndio tume halali yenye mamlaka ya kisheria yanatakiwa yafanyike maandamano ya yasiyo kuwa na kikomo mkoani Iringa kuhakikisha kuwa Kamanda Kamuhanda,Mwema, chagonja na Nchimbi wanang'oka kwenye nafasi zao. Kuna mambo viongozi wetu wa chama wanatakiwa kuongozwa na busara lakini sio hili ambalo mara baada ya tukio chama kikapakwa matope kupitia vipindi vya kupika kwenye runinga.
1. Dr slaa.
2. Mbowe
3. Lissu
4. Zitto
Popote mlipo, amkeni mhamasishe umma wa wana Iringa ili kumtendea haki marehemu Daudi Mwangosi,ally zona na wengine wengi walio uwawa mikononi mwa Polisi, ile kauli ya hakuna kulala mpaka kieleweke ndio inatakiwa kutumika hapa kuwaondoa mabaradhuri walio sababisha vifo vya watanzania wenzetu! Chama kitatuangusha kama kitanyamaza baada ya kutolewa ripoti yenye nguvu za kisheria.
Tusisubiri kesho, tuanze sasa maana ukimya wetu ni mauti kwa wengine, 'hakuna kulala mpaka haki ipatikane, na ikipatikana wahusika wawe wameshapoteza nafasi zao'
Hapo anamtahadharisha tu kwakuwa serikali yenu dhaifu inajua kuonea wananchi wanyonge, hao polisi wakipigiwa simu kwamba majambazi wamevamia sehemu hawfiki hadi wajiridhishe kwamba wameshaondoka.
Chadema si waoga na ndio maana pamoja na vitisho, mateso na mauaji bado tu tunaendelea na movement zetu.
Sijaona kosa la chadema. Kimya chao kimeleta funzo kubwa kwa jamii
Sijaona kosa la chadema. Kimya chao kimeleta funzo kubwa kwa jamii
Kama kweli wewe una uchungu anzisha maandamano yasiyo na kikomo ingia barabarani wewe familia yako makamanda watakufuata anza kesho.
Siwezi kubishana na wewe maana unafikiri kwa kutumia tumbo. Ripoti ya jaji Manento imemvua Nchimbi na kamati yake hadhi ya kuendelea kushikilia nafasi zao, leo tumia akili kidogo kwa kuisoma ile ripoti ya Manento ndio upitie Lumumba kuchukua mkate wako wa wana. Leo nikwa Mwangosi kesho ikitokea kwa nduguyo hata hicho ki-lap top ulicho pewa ili uchangie ***** humu utakivunja na kukirejesha Lumumba.
Think or sink out of Pandora box.
Naona kila mmoja anajitoa anamsukumizia mpira mwenzake kama kweli Chadema mpo na mnakubalika mnataka nini.
Wewe ambaye unafikiri vizuri anzisha maandamano Dr Slaa yeye atakuwa hoteli kapumzika nyie ndio mnatakiwa kuwa mstari wa mbele kupambana na polisi kuwakomboa watanzania au nyie maandamano yenu mnayafanyia JF.
Don't waste you're valuable time kubishana na Anonymous. wewe ni Verified user huna la kuogopa.Kwa taarifa yako hapa ni daraja tu la kupasha na kupeana taarifa (unajua kuwa hapafai maandamano, acha pumba!) nimekuwa kwenye harakati nyingi za chadema na hata maandamano ya Arusha ambayo polisi waliuwa kama walivyofanya kwa Mwangosi nilikuwepo, sina woga wa kuandamana kwa kile ninacho kiamini kama hili tunalo jadili.
Don't waste you're valuable time kubishana na Anonymous. wewe ni Verified user huna la kuogopa.
| ||
|
Mkuu Mwanakijiji, nimekupata. Ni ukweli ulio wazi kuwa CHADEMA wamepewa penati dakika za lala salama...