Pamputi
JF-Expert Member
- Apr 22, 2016
- 982
- 723
- Thread starter
- #41
Naomba upitie upya Uzi Wang naamn utanielewa kirahisi mkuuMkuu kipi ambacho hamuelewi??
2010 kikwete alipata kura 5,276,827 sawa na asilimia 62.83 ILA 2015 John Magufuli mgombea CCM alipata kura 8,882,935 sawa na 58.46. Sasa 58% na 62% ipi ni kubwa huwezi ona ccm 2015 kura zimepungua sana kulinganisha na 2010 which in turn it automatically means kura za upinzani zimeongezeka??? I hope nimeeleweka ssa