Alvin Slain
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 6,375
- 3,655
Hakika ni kweli mkono mtupu haulambwi hii ina maana gani kwa cdm? Chadema ijiandae kwa next election kwa hali na mali iweze kuchukua dola.Chadema iliweza kunadi sera zake kwa uzuri na ufasaha lakini chama cha kijani kilitumia serikali za mitaa kupata ushindi ambao hata hivyo si halali. Haingii akilini uchaguzi wa jimbo moja uchukue zaidi ya masaa 36 kukamilisha la hasha lazima kuna mchezo uliofanyika ndugu zetu wa vijijini wanatakiwa kupewa elimu zaidi ya uchaguzi kwani vijijini wanadhani ccm ndo mungu wao hivyo basi cdm kuanzia sasa ijichimbie vijijini.