- Thread starter
- #21
na hii ndo sababu kuu ya kwa nini chadema na ACT wanatakiwa wajipange na wawajulishe wananchi kuwa ni wajibu wao kulinda kura zao watakazopiga. Kupita bila kupingwa ndo nini kama siyo usanii na uanamke? hii ni moja ya dalili kuu kuwa mpinzani mkuu wa cdm hana uwezo wa kushindana uwanjani bali kuhonga tu marefa na malaizimeni ili apendelewe kwa mpinzani wake kupigiwa filimbi za uongo za ofusaidi; kufurahikia tume ya uchaguzi isiyo huru na kuwadanganya watumishi wa umma wanaolipwa kwa kodi za watanzania wote hasa polisi kuwaumiza wananchi ambao ndo waajiri wao. ndivyo hivyo ilovyokuwa uchaguzi wa serikali za mitaa, ndivyo ilivyokuwa mwaka 2015 ambapo hata mhusika mkuu nape ametangaza hadharani kuwa ccm haikushinda kihalali bali iliiba kura. na mwaka huu pia mwenyekiti wa ccm katangaza hadharani kuwa CCM hata wakishindwa watangazwe kinguvu, haya yote ni ushahidi tosha na inajenga uhalali wa wananchi kulinda kura zao.Kura kutoka wapi? Chadema haiwezi kuchukua nchi kama itashindwa kuchukua majimbo 70% jua kwamba majimbo ambayo ccm imepita bila kupingwa chadema hawana chao.
CDM ACT na wapimzani wote anzeni na hili kuitaka Tume iwarudishe wagombea wenu wote ili sanduku la kura liamue, msikubali ujinga eti wa kupita bila kupingwa, upuuzi huo, mtu unapita bila kupingwa wee nani wewe?!! umekuwa Mungu wewe? acheni uoga nyie ccm.
Mwaka huu tunataka Mshindi halali tu ndiyo atangazwe awe CCM awe chadema au ACT.