Mzalendo2015
JF-Expert Member
- Aug 14, 2012
- 6,697
- 9,048
CCM inapita kihalali, subirini aibu ya karne, tungeogopa kama chadema kungekuwa na akina Marando, Baregu, slaa, pro Kahigi.Lakini hao viongozi wenu wa sasa duu, poleni maana kipigo mtakachopata hamtasahau.By the way hadi sasa ushindi wa ccm ni 85%, tunatafuta only 10%. Round two inakuja kuanzia jana na bado zingine 4rounds.
Kwa hiyo tathmini yako Ni kulingana na GOLI LA MKONO.
GE-2015 Magufuli-CCM alipata kura 8 milioni(58%) na Lowassa-CHADEMA alipata kura 6 milioni(39.9%) baada ya NECCM kuchakachua.
Haiwezekani na haitawezekana GE-2020 ATI Magufuli apate 95% hizo ni ndoto za mwendawazimu.
Matokeo ya mwaka huu hayatatofaitiana sana na very likely Jiwe asipoangalia Lissu anaweza kupindua meza....Ni hapo 28 Okt,2020!