Gerald .M Magembe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2013
- 2,496
- 1,797
ahahaaaaaa, uzuri huko Kilimanjaro kuna uhaba mkubwa sana wa mazuzu. huko watu wameanza kukombolewa kielimu enzi za kina Rebmann "anagundua" mlima Kilimanjaro miaka ya 1800 kweusi hukooo, hivi leo uwaletee utopolo wa ccm watakuelewa? mchezo mnaochezewa hapo mazee hamtaamini kwenye sanduku la kura...sera yao huko ni "kula" ccm lakin "kura" kama kawaida...jaza mwenyewe.
wachaga bana hao mangi walishajikomboa kifikra hao, kilichobaki sasa ni wao waungane na watanzania wengine wafanye kazi ya kuwakomboa na ndugu zao watanzania pia kifkira...moja ya faida kubwa ya Dodoma kuwa mji mkuu wa nchi ni kuwa baada ya miaka 5 tu wagogo nao watakuwa kama wazaramo wa dar...sababu jamaa wa migombani washatia timu huko dom kama zoteeeeee....na hao jamaa wa migombani nawaaminia, wakishatua tu mahali ni fayaaaaaaaaa mbaya kabisa..ni maendeleo tu mchakamchaka
Vita ingekuwa nyepesi kama ama wasomi au wafanyabiashara wangeemea upande mmoja, lakini makundi yote muhimu yako upande mmoja.
Kudhani ni kitu kizuri lakini ukweli ni kuwa msaada unahitajika sana sasa kuliko wakati mwingine wowote. Kinyume na haya ni kujidanganya.
Kujitambua ni pamoja na kujua hatari inayokuja mbele na sio kubaki zuzu kwa kushabikiwa.