CHADEMA mikutano ya hadhara kila siku inakera

Siku za hivi karibuni kumejitokeza wimbi la wabunge wa cdm kufanya mikutano ya hadhara sehemu nyingi za nchi, nakubaliana na ukweli ya kwamba cdm imepata umaarufa hasa baada ya uchaguzi wa mwaka 2010.Ninachoaasi viongozi cdm na wafuasi wao ni kwamba binadamu yoyote ana hulka ya kukosa hamasa na kitu chochote hasa baada ya kuwa na mazoe na kitu husika, rai yangu ni kwamba hii mikutano ya hadhara mnayofanya imeanza kuwachosha wananchi na sitashangazwa na cdm kukosa kabisa wasikilizaji ama wahudhuriaji wa mikutano yao 2015.
hii M4C inawapeleka puta wengi sana
 
tutaikataaje CCM wakati hawatuambii wao tukiwapa nchi watafanya nini cha maana...kazi yao ni kuimiza maandamano na sio maendeleo.

Ndiyo maana wanazunguka kuelemisha wananchi juu ya Wizi ulio kubuhu unaofanywa na CCM, Mfano EPA,KAGODA,TICS,GREEN DEEP,RICHMOND,SYMBION,WIZI WA SERIKALI YA CCM kwa uthibitisho wa Mkaguzi Mkuu wa hesabu wa serikali,uzembe wa viongozi wa serikali ya CCM,Kujilundikia mali kwa viongozi wa CCM,Upendeleo wa watu kama wewe mnaofaidika na wizi wa CCM hamtaki Bibi zetu walio vijijini waelimishwe na CDM juu ya wizi wenu na utapeli manaofanya.

Chadema waendelee kuelimisha wananchi maana nchi inaliwa kama haina wenyewe na CCM ilikufa na Nyerere Wewe na wengine manaotetea uozo na hamtaki watu waelimishwe mko kwenye Genge la kuimaliza nchi yetu kwasabu ya Matumbo yenu na Ubinafsi,huna hata huruma kwa Ndugu zako waliotapeliwa na kauli za Uongo za kilimo kwanza huko vijijini wanaishi maisha ya umskini na kutumia jembe la mkono kwenye nchi tajiri yenye Rasilimali nyingi zinazo polwa na matapeli wa kikoloni kwa kuwahonga watawala walafi.Leo hii huna hata aibu hutaki watanzania walionyimwa Elimu bora na afya bora wajue ili muendelee kunyonya Umefilisika kichwani sababu ya ulafi na ubinafsi.


Wanchi tunafuarahi maana kwa kupitia mikutano na maandamano tunajua tukiwapa nchi Chadema wata shughulikia walafi na wezi waliotufikisha hapa na siyo porojo tu. watu wengine Mkasilisha sana ni Bora ungenyamaza kimya.
 
Siku za hivi karibuni kumejitokeza wimbi la wabunge wa cdm kufanya mikutano ya hadhara sehemu nyingi za nchi, nakubaliana na ukweli ya kwamba cdm imepata umaarufa hasa baada ya uchaguzi wa mwaka 2010. Ninachoaasi viongozi cdm na wafuasi wao ni kwamba binadamu yoyote ana hulka ya kukosa hamasa na kitu chochote hasa baada ya kuwa na mazoe na kitu husika, rai yangu ni kwamba hii mikutano ya hadhara mnayofanya imeanza kuwachosha wananchi na sitashangazwa na cdm kukosa kabisa wasikilizaji ama wahudhuriaji wa mikutano yao 2015.
Never seen silly creature like this!!! Kazi ya chama cha siasa nini kama si kukutana na wananchi mara kwa mara tena kama ikiwezekana 24/7 consultation ili kujadiliana, kuelezana nini matatizo yaliyopo na nini kifanyike kwenda mbele na pia kupeana mrisho wa nyuma kuhusu maendeleo ya mipango mbalimbali.Kwa akili hizi du!! Ndio maana mnavuana MAGAMBA yasiyovuka yakiwakwama na kuwaniga shingo, hayavuki hayo mpaka yawanyonge nyote na upofu uliowapiga. Period!! Wajanja na werevu wameshashutuka na ndio maana haoo wanachanja mbuga, mtaisoma!!
 
Siku za hivi karibuni kumejitokeza wimbi la wabunge wa cdm kufanya mikutano ya hadhara sehemu nyingi za nchi, nakubaliana na ukweli ya kwamba cdm imepata umaarufa hasa baada ya uchaguzi wa mwaka 2010.

Ninachoaasi viongozi cdm na wafuasi wao ni kwamba binadamu yoyote ana hulka ya kukosa hamasa na kitu chochote hasa baada ya kuwa na mazoe na kitu husika, rai yangu ni kwamba hii mikutano ya hadhara mnayofanya imeanza kuwachosha wananchi na sitashangazwa na cdm kukosa kabisa wasikilizaji ama wahudhuriaji wa mikutano yao 2015.

yaan ww uliyeanzisha hi thread uwezo wako wa kufikiri ninamashaka nawo
 
Siku za hivi karibuni kumejitokeza wimbi la wabunge wa cdm kufanya mikutano ya hadhara sehemu nyingi za nchi, nakubaliana na ukweli ya kwamba cdm imepata umaarufa hasa baada ya uchaguzi wa mwaka 2010.

Ninachoaasi viongozi cdm na wafuasi wao ni kwamba binadamu yoyote ana hulka ya kukosa hamasa na kitu chochote hasa baada ya kuwa na mazoe na kitu husika, rai yangu ni kwamba hii mikutano ya hadhara mnayofanya imeanza kuwachosha wananchi na sitashangazwa na cdm kukosa kabisa wasikilizaji ama wahudhuriaji wa mikutano yao 2015.

hata ufisadi, ufujaji, safari za nje kukagua nyanya na ushirikina kila siku vinakera zaidi
 
Ripoti za CAG kama nyingine ni za Ukaguzi zinabainisha maeneo ambayo Afisa Mhasibu hajamtosheleza Mkaguzi sio kila hoja ni ufisadi. Kwa Ufisadi uliodhahiri Fraud Maafisa wa CAG wanaruhusiwa kuwafikisha Culprits Mahakamani kushirikiana sasa na DPP. Wengi sijui kama walisoma taarifa ya CAG kwenye Mtandao wao na kutoa hukumu. Uamuzi na hukumu za pupa huumiza jamii na sio utawala bora. Naafiki Serikali haiwezi kuendeshwa kwa shinikizo. Usomi na uana harakati hauna m
aana uwe Anti Govt kwa kila jambo. Jamii Forum laonekana lipo pale kwa mlengo wa kupinga Serikali iliyopo kitu ambacho Great Thinkers hawapaswi kuwa Biased & Myopic.
 
Siku za hivi karibuni kumejitokeza wimbi la wabunge wa cdm kufanya mikutano ya hadhara sehemu nyingi za nchi, nakubaliana na ukweli ya kwamba cdm imepata umaarufa hasa baada ya uchaguzi wa mwaka 2010.

Ninachoaasi viongozi cdm na wafuasi wao ni kwamba binadamu yoyote ana hulka ya kukosa hamasa na kitu chochote hasa baada ya kuwa na mazoe na kitu husika, rai yangu ni kwamba hii mikutano ya hadhara mnayofanya imeanza kuwachosha wananchi na sitashangazwa na cdm kukosa kabisa wasikilizaji ama wahudhuriaji wa mikutano yao 2015.

Hata shetani hapendi Injili Inapohubiriwa kwa Watu, huwa anapitapita huko akiwaambia watumishi wa Mungu kwamba Kuhubiri Injili Mara kwa mara kunakera na kutaipotezea Mvuto Injili.
 
Mheshimiwa Judi wa Kishua,

Nakuomba usome tena mchango wangu juu ya Tume ya Katiba. Hakuna mahala popote nimesema CDM wapinge na tuendelee na maandamano, eti kwa vile Tume ina Waislamu wengi.

Nilisisitiza kuwa J.K. alizingatia Katiba ktk kuteua Wajumbe. Katika conclusion nilishauri kuwa hata baada ya kupata Katiba Mpya, itabidi Tanzania iendelee na mjadala ili demokrasia ya kweli iweze kupatikana nchini mwetu. Kuna rafiki yangu mmoja amenipigia simu akisema kwa sasa tutaendelea kuwa na mfumo ambao "The tail wags the dog, rather than the dog wagging the tail".

nmekusoma,nashukuru kwa majibu Mzee wetu.
 
Mbona unanihukumu aise
Wapi nimesupport ujinga au kuusema
Na nimesema wazi Mods wangekuwa wanaelewa jamaa alichoandika wangempiga BAn
Je hilo ni kosa au kusupport ujinga
ulitakiwa kukemea mkuu
 
Safari ya huyu mvivu wa kuona mbali na kufikiri hapa uwanja wa JF ni hii -Join Date : 11th April 2011
Hii inaonyesha namna ulivyo mchanga katika ulimwengu wa wana-JF. Chadema hawafanyi mikutano ili kutafuta umaarufu bali kutetea maslahi ya taifa. Hivyo hata watu wakikosekana ingawa sitaki kuamini CHADEMA watayaambia mawe na miti na hata wanyama wanaosafiririshwa wakiwa hai na makada wenzako namna uozo uliopo kwenye hii serikali. Hivyo acha kuota ndoto za mchana.
 
Khe, yaani hujui hata hii ni haki ya kikatiba. Huo utafiti kwamba watu wamechoka uliufanyia jikoni au kijiweni??? Mbona una-jicontradict--wangepataje ummaarufu kama watu wamewachoka?? Hebu Invincible futa hii agenda. Mijitu mingine bwana
 
Najua hata umri wako ni mdogo hujui harakati za mapinduzi ok hata TANU ilifanya mikutano mingi sana na sasa wewe unajiona upo huru
 
Siku za hivi karibuni kumejitokeza wimbi la wabunge wa cdm kufanya mikutano ya hadhara sehemu nyingi za nchi, nakubaliana na ukweli ya kwamba cdm imepata umaarufa hasa baada ya uchaguzi wa mwaka 2010.

Ninachoaasi viongozi cdm na wafuasi wao ni kwamba binadamu yoyote ana hulka ya kukosa hamasa na kitu chochote hasa baada ya kuwa na mazoe na kitu husika, rai yangu ni kwamba hii mikutano ya hadhara mnayofanya imeanza kuwachosha wananchi na sitashangazwa na cdm kukosa kabisa wasikilizaji ama wahudhuriaji wa mikutano yao 2015.

Labda umesahau nini kazi ya vyama vya siasa,si kukaa tu na kubweteka kisa una mtaji wa kura za wananchi.Watu wanataka kujua unakabiliana nao vipi hususani katika hali ya nchi kuwa tete kwa mali za nchi kuamishwa tu kama hazina mwenyewe na kusababishwa wannchi wake kuishi chini ya dola moja kwa siku ilihali wmawaziri wanafisidi nchi kwa kujenga mahekalu kama vile hakuna tene kufa hapa duniani.Isitoshe hatukuwa na elimu ya uraia,kwa kupitia mikutano hii tunafumbuka macho nakujua upi mchele na ipi chuya
 
Siku za hivi karibuni kumejitokeza wimbi la wabunge wa cdm kufanya mikutano ya hadhara sehemu nyingi za nchi, nakubaliana na ukweli ya kwamba cdm imepata umaarufa hasa baada ya uchaguzi wa mwaka 2010.

Ninachoaasi viongozi cdm na wafuasi wao ni kwamba binadamu yoyote ana hulka ya kukosa hamasa na kitu chochote hasa baada ya kuwa na mazoe na kitu husika, rai yangu ni kwamba hii mikutano ya hadhara mnayofanya imeanza kuwachosha wananchi na sitashangazwa na cdm kukosa kabisa wasikilizaji ama wahudhuriaji wa mikutano yao 2015.

Mijitu mingine bwana ..hili ndo tatizo la kuto fuata ushauri wa Daktari ..Nenda kamalizie dozi huko kwanza
 
Back
Top Bottom