Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,788
- 218,415
Mbunge wa Zamani wa Jimbo la Mikumi Mkoani Morogoro , Joseph Haule , leo amemuomba Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama chake , Mcha Mungu Godbless Lema kuandaa na kuvurumisha Mikutano ya hadhara Jimboni humo kwa niaba yake
Hayo yamebainika wakati Mh Lema alipofika nyumbani kwa Profesa J kumjulia Hali kutokana na Kuugua kwa muda mrefu .
Mtu wa Mungu Godbless Lema amekubali kupiga mikutano ya hadhara kwenye kata zote za Jimbo la Mikumi , na kwamba shughuli hiyo itaanza mara moja .
Usiondoke JF ili usikose Ratiba Kamili ya Mikutano hii .
Hayo yamebainika wakati Mh Lema alipofika nyumbani kwa Profesa J kumjulia Hali kutokana na Kuugua kwa muda mrefu .
Mtu wa Mungu Godbless Lema amekubali kupiga mikutano ya hadhara kwenye kata zote za Jimbo la Mikumi , na kwamba shughuli hiyo itaanza mara moja .
Usiondoke JF ili usikose Ratiba Kamili ya Mikutano hii .