CHADEMA mikutano ya hadhara kila siku inakera

Magamba at work. Huu ni umbeya, wananchi wapi hao wakati kila kuchao watu wanahamia cdm. M4C NI ZAIDI YA TSUNAMI.
 
Siku za hivi karibuni kumejitokeza wimbi la wabunge wa cdm kufanya mikutano ya hadhara sehemu nyingi za nchi, nakubaliana na ukweli ya kwamba cdm imepata umaarufa hasa baada ya uchaguzi wa mwaka 2010.Ninachoaasi viongozi cdm na wafuasi wao ni kwamba binadamu yoyote ana hulka ya kukosa hamasa na kitu chochote hasa baada ya kuwa na mazoe na kitu husika, rai yangu ni kwamba hii mikutano ya hadhara mnayofanya imeanza kuwachosha wananchi na sitashangazwa na cdm kukosa kabisa wasikilizaji ama wahudhuriaji wa mikutano yao 2015.

Yaani wewe bogasi mwanzo mwisho. Kama watu wanakosa hamasa na walichokizoea basi Mkeo ungekosa hamasa nae kwani umemzoea. Hata mkeo angekosa hamasa na wewe kwani amekuzoea sana. UNATEGEMEA WATU WAT AFAHAMU KWA NJIA IPI JINSI MAGAMBA MNAVYOTUNYONYA? ACHA CDM WAFANYE MAMBO ILI KILA MWANANCHI AJUE UJINGA WENU JINSI MLIVYOWEKEZA KATIKA UJINGA KWA MASKINI. CDM WANAGAWA ELIMU BURE AMBAYO KAMA CCM MNGEPENDA KILA MWANANCHI ALIPE ILI MMPATIE. ACHA KABISA. CDM KEEP IT UP BROTHERS AND SISTHREN
 
word..kila siku mnakalia politics tu kuwalemaza watu badala ya kuwahamasisha kufanya kazi..nchi haijengwi kwa satilili hii ya mikutano kila siku...hili swala lilikuwa linaniumiza kichwa sana..nashagazwa na utaratibu wa msajili wa vyama pamoja na sheria inayosimamia mambo ya vyama vya siasa kuwa weak kiasi kwamba inaipa vyama loop hole ya matumizi mabaya ya uhuru wa vyama kufanya kazi za kisiasa..mbona uchaguzi ulishakwisha kitambo ndugu zanguni?? let us be realistic..lini tutafocus kujenga taifa letu..ghafla tu..zimeashaanza vugu vugu za uchaguzi wa 2015 wakati bado miaka mitatu kufikia huko.. kwahiyo mnataka kuniambia tutaendelea na porojo hizi kwa miaka mingine mitatu mfululizo?? tuache ujinga na tufanye kazi period!!! anaenuna na anune..na ataenuna ni mmoja wapo wa wavivu wanaotuletea umaskini..

Haya ni madhara ya bange za kuvutia msal*ni
 
Siku za hivi karibuni kumejitokeza wimbi la wabunge wa cdm kufanya mikutano ya hadhara sehemu nyingi za nchi, nakubaliana na ukweli ya kwamba cdm imepata
umaarufa hasa baada ya uchaguzi wa mwaka 2010.Ninachoaasi viongozi cdm na wafuasi wao ni kwamba binadamu yoyote ana hulka ya kukosa hamasa na kitu chochote hasa baada ya kuwa na mazoe na kitu husika, rai yangu ni kwamba hii mikutano ya hadhara mnayofanya imeanza kuwachosha wananchi na sitashangazwa na cdm kukosa kabisa wasikilizaji ama wahudhuriaji wa mikutano yao 2015.
Kilaza wewe kaa kimya
 
Sasa siasa ni kufanyia uvunguni? Ww unachokerekwa nacho ni nn wanalo lisema au umati wa watu wanao wasikiliza? Vumilia ndugu yangu ni upepo tu nao utapita si ni chama cha msimu?
 
Mikutano yenyewe haina jipya kila siku wanazungumza yaleyale ufisadi ufisadi ufisadi mpaka watu wamewachoka...hawana sera nyingine,hawasemi tukiwapa nchi watatusaidia vipi 2pate maendeleo...
Ndio maana mikutano yao inajaa Arusha na Moshi pekee,kwingine huwa wanakosa watu kabisa.


Mkuu huku ni kuishi kwa matumaini lakini majibu ya vipimo vyenu yatatoka si muda mrefu ujao! Hamtakaa muamini hayo majibu ya vipimo vyenu yatakapotoka!
 
Siku za hivi karibuni kumejitokeza wimbi la wabunge wa cdm kufanya mikutano ya hadhara sehemu nyingi za nchi, nakubaliana na ukweli ya kwamba cdm imepata umaarufa hasa baada ya uchaguzi wa mwaka 2010.Ninachoaasi viongozi cdm na wafuasi wao ni kwamba binadamu yoyote ana hulka ya kukosa hamasa na kitu chochote hasa baada ya kuwa na mazoe na kitu husika, rai yangu ni kwamba hii mikutano ya hadhara mnayofanya imeanza kuwachosha wananchi na sitashangazwa na cdm kukosa kabisa wasikilizaji ama wahudhuriaji wa mikutano yao 2015.

usiwe unaenda mkuu. hakuna anayekulazimisha.
 
watu wa chadema mnapenda sana vurugu.....sasa nazidi kuamini ile alama ya V ni kweli inamaanisha manati.

Sisi ni wapole lakini ni majasiri,hatuwezi kukaa kimya huku watu Kama wewe unaandika upotoshaji Kama huu Wa kijinga pamoja na makupa wako.
 
Wapi bora kati ya Mfisadi n'a wanaokutanisha WAtanzania kusikiliza kilio n'a kutujuza madudu ya serikali kwa sisi ambao tunaishi vijijini, atukuwachagua kwa ajili ya kukaa maofisini, kwaiyo ni njia mojawapo ya kusikiliza kero za watanzania na kuzitafutia ufumbuzi. Wanakaribisha kijijini kwetu kwani tunaitaji ukombozi kuna magamba wanataka kufa kwa njia ya kifo cha Kijerumani,,, ahaaaa
 
Mikutano yenyewe haina jipya kila siku wanazungumza yaleyale ufisadi ufisadi ufisadi mpaka watu wamewachoka...hawana sera nyingine,hawasemi tukiwapa nchi watatusaidia vipi 2pate maendeleo...
Ndio maana mikutano yao inajaa Arusha na Moshi pekee,kwingine huwa wanakosa watu kabisa.

Kirumba uliona? Sengerema uliona? Mbeya uliona? songea uliona?
 
Siku za hivi karibuni kumejitokeza wimbi la wabunge wa cdm kufanya mikutano ya hadhara sehemu nyingi za nchi, nakubaliana na ukweli ya kwamba cdm imepata umaarufa hasa baada ya uchaguzi wa mwaka 2010.Ninachoaasi viongozi cdm na wafuasi wao ni kwamba binadamu yoyote ana hulka ya kukosa hamasa na kitu chochote hasa baada ya kuwa na mazoe na kitu husika, rai yangu ni kwamba hii mikutano ya hadhara mnayofanya imeanza kuwachosha wananchi na sitashangazwa na cdm kukosa kabisa wasikilizaji ama wahudhuriaji wa mikutano yao 2015.

Sio mzima wewe... Tena matatizo uliyonayo hata maombi yanadunda.. yaani matatizo kroniki.. Nenda Samunge kwa Babu upate Kikombe then uje hapa jamvini.. Hivi hujatambua kwamba CDM Ndiyo Serikali na Slaa ni RAIS? JK Mchina ni Rais wa TUME ..
 
word..kila siku mnakalia politics tu kuwalemaza watu badala ya kuwahamasisha kufanya kazi..nchi haijengwi kwa satilili hii ya mikutano kila siku...hili swala lilikuwa linaniumiza kichwa sana..nashagazwa na utaratibu wa msajili wa vyama pamoja na sheria inayosimamia mambo ya vyama vya siasa kuwa weak kiasi kwamba inaipa vyama loop hole ya matumizi mabaya ya uhuru wa vyama kufanya kazi za kisiasa..mbona uchaguzi ulishakwisha kitambo ndugu zanguni?? let us be realistic..lini tutafocus kujenga taifa letu..ghafla tu..zimeashaanza vugu vugu za uchaguzi wa 2015 wakati bado miaka mitatu kufikia huko.. kwahiyo mnataka kuniambia tutaendelea na porojo hizi kwa miaka mingine mitatu mfululizo?? tuache ujinga na tufanye kazi period!!! anaenuna na anune..na ataenuna ni mmoja wapo wa wavivu wanaotuletea umaskini..


unataka hela za ruzuku wagawane? Unajua maana ya chama cha siasa?
 
Siku za hivi karibuni kumejitokeza wimbi la wabunge wa cdm kufanya mikutano ya hadhara sehemu nyingi za nchi, nakubaliana na ukweli ya kwamba cdm imepata umaarufa hasa baada ya uchaguzi wa mwaka 2010.Ninachoaasi viongozi cdm na wafuasi wao ni kwamba binadamu yoyote ana hulka ya kukosa hamasa na kitu chochote hasa baada ya kuwa na mazoe na kitu husika, rai yangu ni kwamba hii mikutano ya hadhara mnayofanya imeanza kuwachosha wananchi na sitashangazwa na cdm kukosa kabisa wasikilizaji ama wahudhuriaji wa mikutano yao 2015.


Nadhani uelewa wako mdogo unakutesa, bahati mbaya wengine mmeumbwa nao sio wakujitakia. Wakati huu tunataka mikutano kila siku ile kutoa elimu kwa wenyenchi, wapiga kura etc wewe unasema inakuchosa. Kuna kitu umeshindwa kufahamu, kuwa mikutano hiyo haifanyiki sehemu moja kila siku, hatuna hela hiyo. Kumbe leo hapa kesho pale ili kuwafikia wapiga kura, sasa uwezo wako wa kwenda kila mkutano wa CDM tanzania, usifanye jamii husika ikakosa elimu hutaji.

Nashauri na kupongeza kila siku mkutano sehemu moja hadi nyingine kwa nchi nzima. Ikiwezana mikutano miwili kwa siku, ili tufahamike nini hasa tunasimamia na kwa masilahi ya wenyenchi. Hongereni, ongezeni kasi, muda ni mdogo na tz ni kubwa kuliko kenya na uganda combined.
 
Siku za hivi karibuni kumejitokeza wimbi la wabunge wa cdm kufanya mikutano ya hadhara sehemu nyingi za nchi, nakubaliana na ukweli ya kwamba cdm imepata umaarufa hasa baada ya uchaguzi wa mwaka 2010.Ninachoaasi viongozi cdm na wafuasi wao ni kwamba binadamu yoyote ana hulka ya kukosa hamasa na kitu chochote hasa baada ya kuwa na mazoe na kitu husika, rai yangu ni kwamba hii mikutano ya hadhara mnayofanya imeanza kuwachosha wananchi na sitashangazwa na cdm kukosa kabisa wasikilizaji ama wahudhuriaji wa mikutano yao 2015.
mbwa koko mkubwa,hamia rwandaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
chadema muda wote ipo karibu na wananchi,mikutano ya ccm ni wakati wa kuomba kura na kutoa rushwa tuu!
 
Back
Top Bottom