- Thread starter
- #21
Akihama sawa,lakini kwa vyovyote vile ataacha cdm imeeleweka znz na hivyo atatuacha na wanachama wa kutosha.mi sioni huyu jamaa kama anafaa sana kwa cdm because huyu jamaa ana uchu sana wa madaraka so asipochaguliwa atahama sio mtu mzuri kwa msimamo wa chama