Mimi nadhani hapa ukumbini tunapaswa kuwa tunaleta mada na kuzijadili kwa misingi ya facts na sio ushabiki.
Sijaona tatizo la ujumbe wa Mbowe maana tangu mwanzo walisema "raisi ni raisi maana ameshawekwa madarakani na hawana njia ya kupinga hilo" ila "wanakataa matokeo yaliyomuingiza madarakani" hili ndilo hata Dr Slaa alilisema wazi....njia pekee ya kumkataa "mteule wa CCM na NEC ni kwa stail ya PEPOPLE POWER.
Hivyo basi, sijaona mbowe anapoomba samahani na sitatarajia waombe samahani. Messege is already sent and delivered ndani na nje ya nchi na kwa watu woteeee....
Their walk out was very strategic, i salute them.
LONG LIVE PEOPLEs POWER
Walatini na waroma wansema "Vox pupul vox dei =sauti ya watu sauti ya Mungu!
Ila CCM ni geniuses saints, sio ..nilidhani tatizo la watz ni ujinga, sasa nimeamini na upumbavu vilevile ni tatizo kubwa.Jamani watu mtakuja kuwa heart broken... CHADEMA is a Farce..
Madai ya CDM hayajawahi kubadilika tangu mwanzo, ila nadhani tunasumbuliwa na uelewa na Tafsiri za maneno. They said from the beginning kuwa
Hawana mahali pa ku challenge matokeo ya Rais akishatangazwa na hiyo ni katiba ya nchi and therefore wanataka yafutayo
Tume huru ya uchungzu wa uchaguzi wa 2010
Katiba Mpya ya Nchi
Tume huru ya uchaguzi ili makosa haya yasijirudie 2015
Tangu mwanzo haya mambo wameyasimamia nami nawaunga mkono
ila sisi tunahangaika na tafsiri za maneno kila siku na kuupotosha Umma
Mimi nimesoma magazeti mwananchi, the guardian na daily news nimeshtushwa na kauli ya Mbowe. Mimi nilihisi lazima atakuja kuilemba lemba kitendo cha kutoka nje ya bunge, moja wapo ni maslahi bainafsi na kupenda vya dezo ambayo ni kila nmwanasiasa hata kwa wale wasiona wanasiasa na wale ambao wanajifanya kuwa na misismamo mikali hata pata JF hasa wale wachadema.
Mbowe baada ya kupata habari kuwa CCM itapeleka hoja ya kuwatoa katika uongozi wa upinzani,
Vyote hiyo kwa gharama ya mlipa kodi na marupurupu kibao yanayoendana na nafasi hiyo. Kama ambavyo mawaziri wanavyotanua. Pamoja na kwamba yeye kama F. Mbowe anapesa za kumtosha lakini hana tofauti na wanasiasa wengine wanaopenda ukubwa na marupurupu yake.
- ameogopa kukosa gari ambalo halina namba limeandika KUB ambalo ni ishara ya 'ukubwa' kila takapo pita
- pamoja na dereva
- atakosa ofisi kubwa tu aliyopewa na
- wafanyakazi na stationaries
Nilijua na niliona ni kiini macho kumkataaa rais wakati unaendelea kutumikia bunge ambalo rais ni mmoja wa wabunge kulingana na katiba ya jamhuri ya muungani wa tanzania,
Unamkataa rais wakati unaendelea kula posho na kuchukua magari ya ubunge. Kweli ilikuwa danganya toto, sasa Mbowe anasema hawamkatai rais ila walitaka tu kupeleka ujumbe basi hivyo wanataka waongee na serikali ya Dr. Jakaya Kikwete wayamalize mapema ili CCM wasije kuwaondoa kwenye uongozi wa upinzani maana tayari mbowe ameunda baraza la mawaziri kivuli anasuburi tu Rais JK atangaze la kwake nayeye afanye mabadiliko kidogo kulingana na Rais JK alivyounda wizara zake.
Ama kweli siasa ni kiini macho kikubwa, wakereketwa wa chadema wenye kupinga kila kitu ambacho hakiendani na chadema ama kinaelekea upande wa ccm baadhi yao hawaamini na watakuja na kauli kali na wale wa kutukana kwa kukosa ustaarabu watatukana ila ukweli ubaki pale pale "never trust a politician" they always change and refine statments to justify their interests and keep on saying " we do not have permanent enemy or friend, "your big enemy in the morning will turn to be a big friend in the afternoon."
na bado mambo hayajanoga.
Dr wa kweli kashasema bado anajipanga na akija, basi atakuwa kamilikamili.
Atawaonyesha watu wa mataifa yote duniani jinsi wizi ulivyofanyika na sababu hasa ya wao kutoka nje.
Hapo ndiyo itakuwa ni kulia na kusaga meno. Watu watakuwa hawagusi ulaya maana huko sasa ni moto.
Waandishi wa habari huko si kama tanzania ndiyo hawa akina selemani.....
![]()
Thank you Dr. Huyu Selemani anapenda kukurupuka kuonyesha kuwa viongozi wa CHADEMA ni a joke, kama alivyowahi kusema elsewhere hapa JF.Selemani,
Facts please. Slaa was not in Dodoma. Are u sure Slaa na Mbowe pushed for it? Wabunge wana maamuzi katika mambo yanayohusu utendaji ndani ya Bunge kwa kufuata msimamo wa Chama. Nadhani kuna contradiction mahali,kama walipiga kura, walio wengi wakashinda, kuna swala la fulani ku "push".
Ni vema tukajadili kukiwa na facts lakini kwa kuzingatia misingi ya demokrasia yenyewe.
The backlash of Michezo ya kuigiza. We told you so. Mnataka kumfariji Dr. Slaa on expense of WaTanzania wote. Here is Mbowe.
Imeandikwa na: THE GUARDIAN
Dominic Nkolimwa
Chadema yesterday clarified that it recognised the elected president and blamed the public for misinterpreting its MPs walkout when the head of state was about to address the parliament.
"There is misinterpretation of facts regarding our stand...people did not understand what we meant when we staged a walkout as the President was delivering his speech in the Parliament," said Chadema National Chairman, Freeman Mbowe, in an exclusive interview with The Guardian yesterday.
"The actions by Chadema MPs to walk out of the House did not mean we don't recognise the president and his government," added Mbowe.
The walkout that sparked off a public debate last week, according to the opposition leader, aimed to express their displeasures over presidential results announced by the National Electoral Commission (NEC).
He explained that the party has no intention of boycotting parliamentary proceedings, as MPs were elected by the people who expect a lot from them.
"We only wanted to express our dissatisfaction with the presidential results, which announced Kikwete as the winner. But we have no plans to snub subsequent parliamentary sessions. We continue attending sessions as per the procedures," said Mbowe.
He blamed the general public for misinterpreting their position, saying it was not true the party does not recognise the president and the present government.
"I am wondering where this myth came from. If we don't recognise the president and the government, we would have not participated in the election of the Speaker of the National Assembly and the endorsement of the Prime Minister, Mizengo Pinda," said Mbowe.
He said people confused Chadema's stance of not recognising the presidential results announced by NEC as not recognising the head of state.
" We can't reject the president and his government while Tanzanians have accepted him to be their president. To show respect and recognition, Chadema legislators stood up when the president was entering the house, and later on walked out when he started reading his speech," said Mbowe, insisting: "the walkout did not violate any law."
He dismissed claims that Chadema legislators were pressed by their top leaders to walk out, insisting that it was a decision which was endorsed by the party and not an individual leader.
"MP Philemon Ndesamburo was not in Dodoma, Halima Mdee and John Mnyika (Huu ni uongo) were sick when the party was discussing the walkout strategy. It's not true that Chadema MPs were pressed by top leaders to stage the walkout...it's not true that some MPs rejected the decision," said Mbowe.
"In short, it was a decision reached by consensus of all people who attended the planning meeting," noted Chadema leader. (Kwa hiyo Zitto muongo au?)
Mbowe, reaffirmed the party's stand to continue pushing for constitutional reforms to allow the presidential results to be challenged in courts, establishment of an independent electoral body and the formation of a probe committee to investigate irregularities and related incidents that marred in the 2010 general election.
Recently, Chadema issued in a statement saying it does not recognize the presidential election results by NEC.
The party national chairman and official leader of Opposition in the parliament, Freeman Mbowe told journalists in Dodoma, that's the only way Chadema can react to the situation because of the bad laws instituted by the constitution.
"You will remember that before election results were officially announced, we told NEC to stop announcing the presidential results due to irregularities that had taken place during the whole process of election," local media quoted Mbowe.
MAONI YANGU:
I said it before, and I will say it again. Chadema hamko serious. Young bloods like Zitto and Mdee are feeling the incompetence of their leadership.