Chadema (Mbowe): We recognise the president

Chadema (Mbowe): We recognise the president

Punguza ushabiki.

Mlituambia hamuikubali serikali. Kweli au sio kweli?

Leo Mbowe quoted on The Guardian anasema anaikubali serikali. Kweli au sio kweli?

And kulikuwa na msuguano mkali baina ya wabunge wa Chadema kuhusu hili suala (refer Zitto akiwa TBC1). Iweje Mbowe atudanganye waTanzania kwamba hakukuwa na msuguano wowote chamani kuhusu hili suala la kususa ubunge? Wewe kama mwanaChadema mtiifu, huoni kama mwenyekiti wako anakushushia heshima kukudanganya live?

The lesson. Mmekurupuka. Its okay to make mistakes. Jipangeni mje 2015, kama mkiwa makini tutawapa (waTanzanania) nchi. Kama mkija hivi tena, kalas. I have been saying all along kwamba hamko serious.

For me, the demand of CHADEMA is very short and clear - ''They do not recognise the presidential votes results that were announced by NEC''
 
haya ni maneno yangu wanangu '' kila mutu anakula kwa urefu wa kamba yake'' kama wewe huna kisu kikali huwezi kula nyama .. Believe me haya yanayotokea yanamaanisha hatuna wapiganaji wa kweli, we're all loosers poor tanzanians

Mi nakwambia bongo mwisho, watu wanachakachua mpaka kuchakachuliwa, can you believe that homie ?
 
Mbona mnapenda kujadili maada kiperception zaidi! Naona kuna watu wamwzamia tu JF
 
Jamaa wameshindwa kutikisa kibiriti kilichojaa.... na sasa wamefyata!
 
Mimi nimesoma magazeti mwananchi, the guardian na daily news nimeshtushwa na kauli ya Mbowe. Mimi nilihisi lazima atakuja kuilemba lemba kitendo cha kutoka nje ya bunge, moja wapo ni maslahi bainafsi na kupenda vya dezo ambayo ni kila nmwanasiasa hata kwa wale wasiona wanasiasa na wale ambao wanajifanya kuwa na misismamo mikali hata pata JF hasa wale wachadema.
Mbowe baada ya kupata habari kuwa CCM itapeleka hoja ya kuwatoa katika uongozi wa upinzani,

  • ameogopa kukosa gari ambalo halina namba limeandika KUB ambalo ni ishara ya 'ukubwa' kila takapo pita
  • pamoja na dereva
  • atakosa ofisi kubwa tu aliyopewa na
  • wafanyakazi na stationaries
Vyote hiyo kwa gharama ya mlipa kodi na marupurupu kibao yanayoendana na nafasi hiyo. Kama ambavyo mawaziri wanavyotanua. Pamoja na kwamba yeye kama F. Mbowe anapesa za kumtosha lakini hana tofauti na wanasiasa wengine wanaopenda ukubwa na marupurupu yake.

Nilijua na niliona ni kiini macho kumkataaa rais wakati unaendelea kutumikia bunge ambalo rais ni mmoja wa wabunge kulingana na katiba ya jamhuri ya muungani wa tanzania,
Unamkataa rais wakati unaendelea kula posho na kuchukua magari ya ubunge. Kweli ilikuwa danganya toto, sasa Mbowe anasema hawamkatai rais ila walitaka tu kupeleka ujumbe basi hivyo wanataka waongee na serikali ya Dr. Jakaya Kikwete wayamalize mapema ili CCM wasije kuwaondoa kwenye uongozi wa upinzani maana tayari mbowe ameunda baraza la mawaziri kivuli anasuburi tu Rais JK atangaze la kwake nayeye afanye mabadiliko kidogo kulingana na Rais JK alivyounda wizara zake.

Ama kweli siasa ni kiini macho kikubwa, wakereketwa wa chadema wenye kupinga kila kitu ambacho hakiendani na chadema ama kinaelekea upande wa ccm baadhi yao hawaamini na watakuja na kauli kali na wale wa kutukana kwa kukosa ustaarabu watatukana ila ukweli ubaki pale pale "never trust a politician" they always change and refine statments to justify their interests and keep on saying " we do not have permanent enemy or friend, "your big enemy in the morning will turn to be a big friend in the afternoon."

Mbowe baada ya kupata habari kuwa CCM itapeleka hoja ya kuwatoa katika uongozi wa upinzani, NAOMBA UTFAFANULIE CCM WATALETA HOJA KAMA HIYO KW AKIFUNGUN GANI?

kumkataaa rais wakati unaendelea kutumikia bunge ambalo rais ni mmoja wa wabunge-TATIZO LA WENGI WETU HATUWEZI KUINITIATE CHANGES ZOZOTE TUNANGOJA WENGINE WAFANYE TUTOE MAKOSA. TAYARI MBOWE KAMA MWENYEKITI WA CHADEMA NA KUB KASUKUMA AJENDA YA KUDAI KATIBA MPYA NA TUME HURU YA UCHAGUZI. NA ILI KUSUKUMA AJEND HIYO ILIHITAJIKA KIONGOZI JASIRI KAMA MBOWE NA SI WENGINE AMBAO BADO HAWAJAKOMAA. UNAONA HATA MAJAJI MBALI MBALI BAADA YA KITENDO HICHO WANAJITOKEZA KUONGEZEA NGUVU HOJA YA KATIBA MPYA.

Unamkataa rais wakati unaendelea kula posho na kuchukua magari ya ubunge-KUMKATAA RAIS NA KULA POSHO NA KUTUMIA MAGARI YA BUNGE HAVINA UHUSIANO WOWOTE. POSHO NA MAGARI YA BUNGE NI MATOKEO YA KODI ZETU WATANZANIA AMBAO IDADI YA TUNAOUNGA MKONO NA JITIHADA ZA MBOWE BUNGENI KUDAI KATIBA MPYA NA TUME HURU YA UCHAGUZI PIA NI WALIPA KODI. HII INAONYESHA KUW HOJA ZAKO NI ZA CHUKI ZAIDI.
 
Mbowe baada ya kupata habari kuwa CCM itapeleka hoja ya kuwatoa katika uongozi wa upinzani, NAOMBA UTFAFANULIE CCM WATALETA HOJA KAMA HIYO KW AKIFUNGUN GANI?

kumkataaa rais wakati unaendelea kutumikia bunge ambalo rais ni mmoja wa wabunge-TATIZO LA WENGI WETU HATUWEZI KUINITIATE CHANGES ZOZOTE TUNANGOJA WENGINE WAFANYE TUTOE MAKOSA. TAYARI MBOWE KAMA MWENYEKITI WA CHADEMA NA KUB KASUKUMA AJENDA YA KUDAI KATIBA MPYA NA TUME HURU YA UCHAGUZI. NA ILI KUSUKUMA AJEND HIYO ILIHITAJIKA KIONGOZI JASIRI KAMA MBOWE NA SI WENGINE AMBAO BADO HAWAJAKOMAA. UNAONA HATA MAJAJI MBALI MBALI BAADA YA KITENDO HICHO WANAJITOKEZA KUONGEZEA NGUVU HOJA YA KATIBA MPYA.

Unamkataa rais wakati unaendelea kula posho na kuchukua magari ya ubunge-KUMKATAA RAIS NA KULA POSHO NA KUTUMIA MAGARI YA BUNGE HAVINA UHUSIANO WOWOTE. POSHO NA MAGARI YA BUNGE NI MATOKEO YA KODI ZETU WATANZANIA AMBAO IDADI YA TUNAOUNGA MKONO NA JITIHADA ZA MBOWE BUNGENI KUDAI KATIBA MPYA NA TUME HURU YA UCHAGUZI PIA NI WALIPA KODI. HII INAONYESHA KUW HOJA ZAKO NI ZA CHUKI ZAIDI.

Just admit it, the whole thing was myopic and on the fly.
 
umeliweka vizuri.
Uongozi wa juu chadema wanaonekana kutoa kauli zinazokinzana.
Hali kama hii inafanya chama kionekane cha kisanii, hakiko makini.

Members wa chadema, mna roho ngumu kiasi cha kukubali upuuzi huu?....

One day you will wake up.

sisi kinachotufurahisha nini kitendo cha mwizi wa kura zetu naye kuumbuliwa, hakuna kingine tena.
 
Najua watanzania tuko makini kuangalia nani kakosea nini na nani kauli yake imeitilafiana na nani. Kumbuka hotuba ya rais hairudiwi tena. so hata kama chadema wangeomba msamaha haiwezi kufuuta ukweli kua walitoka nje wakamwacha mkubwa na watu wake. Something to know, serekali ilipata pigo kubwa sana kwa tendo kile kitendo. Ulikua ukomavu wa kisiasa.
 
just admit it, the whole thing was myopic and on the fly.

tatizo letu wengi ni kuwa hatufanyi chochote kuleta mabadiliko, ila tunangoja wengine wakifanya kukosoa. Big upp mbowe at least you quenhed our thirst of vote rigging, majaji kibao wanajitokeza kushinikiza mabadiliko ya katiba. Without mbowe's efforts tungekuwa bado katika giza lile lile kikatiba.
 
tatizo letu wengi ni kuwa hatufanyi chochote kuleta mabadiliko, ila tunangoja wengine wakifanya kukosoa. Big upp mbowe at least you quenhed our thirst of vote rigging, majaji kibao wanajitokeza kushinikiza mabadiliko ya katiba. Without mbowe's efforts tungekuwa bado katika giza lile lile kikatiba.


Hii ni assumption, hujui watu wanafanya kazi gani na asasi gani behind the scenes.
 
nyau anatishiaaaa...... ..... a hapa ni JF .... asasi ni huko NEC
 
Mbona mnapenda kujadili maada kiperception zaidi! Naona kuna watu wamwzamia tu JF
Suala la Msingi hapa ni kwamba hatima ya yote
1. Ujumbe umefika, kwamba pamoja na matumizi ya dola na vyombo husika, CDM na jamii ya watanzania walio wengi hawakukubaliana na taratibu, hata kama JK alitangazwa mshindi
2. Uwepo wa fursa wa KUHOJI matokeo ya urais, na hasa pale ambapo mchakato mzima unaonekana kuwa na mshikeli. Suala la CDM kutokubaliana kwenye baadhi ya maamuzi ni suala la kawaida, vinginevyo binafsi ningetilia mashaka uwezo wa viongozi nawabunge wa CDM kufikiri. ISIPOKUWA, katika misimamo ya pamoja hata kama hukubaliani na jambo fulani, kawaida huwa ni vema kukaa kimya hii ndio maana ya kuwajibika kwa pamoja.
3. CUF, wanaweza kutufundisha nini kwa chaguzi za pale mwanzo ambazo walikataa kumtambua rais wa Znz? Sipendi kusema kuwa CUF ni mwalimu wa CDM....lakini naweza yapo mengi tunajifunza hapa!
4. Bila kujali kama Mbowe amenukuriwa vibaya, sidhani kwenye lugha yake kuna eneo amesema kuwa sasa zana zinawekwa chini! Kwamba CDM wanakubaliana na matokeo, na kuwa imeridhika na utaratibu mzima wa uchaguzi! Kwa hiyo sionni mantiki kwa nini baadhi yetu humu jamvini wanasema kuwa sasa kwisha kazi!
 
Je roho ya m2 si bora kuliko Mwili?
Na mwili je si bora kuliko Nguo?
Mbona nguo zinakuwa bora kuliko mwili?
Mbona mwili unakuwa bora kuliko roho?

Mbivu Mbichi Zinajulikana Ndani ya Roho Zetu! 2Wache Kujidanganya na Kuchezewa Kama Mpira wa Kona.
 
haya ni maneno yangu wanangu '' kila mutu anakula kwa urefu wa kamba yake'' kama wewe huna kisu kikali huwezi kula nyama .. Believe me haya yanayotokea yanamaanisha hatuna wapiganaji wa kweli, we're all loosers poor tanzanians
mkulu wa nchitu ivuga umenena point tupu,hawa chadema wengiwao matapeli,wanatamaa yaposho nakutaka ukubwatu,hali hii wamepata mawazir vivuli tumewaona uzaifu wao,je wangeshinda urais si wangeiuza hata nchi hawa?mungu apishe mbali kutawaliwa na mafisi hawa.
 
chadema hatumtambui mkwere!! msijiridhisheee ccm km ni kura mliiba, wezi wakubwa nyie.
 
Jamaa wameshindwa kutikisa kibiriti kilichojaa.... na sasa wamefyata!
kibunango we acha tu,hawa jamaa nisawa na povu la bia katika glass ukiweka linafurumia sekunde 10 tu linapoa,hawana msimamo yote urohowaposho za mjengoni,au walizan ccm na jk watawaita waongeenao wafanye muafaka wapate vyeo ktk dola,wameula wa chuya kwa uvivu wakuchagua.
 
Mimi nimesoma magazeti mwananchi, the guardian na daily news nimeshtushwa na kauli ya Mbowe. Mimi nilihisi lazima atakuja kuilemba lemba kitendo cha kutoka nje ya bunge, moja wapo ni maslahi bainafsi na kupenda vya dezo ambayo ni kila nmwanasiasa hata kwa wale wasiona wanasiasa na wale ambao wanajifanya kuwa na misismamo mikali hata pata JF hasa wale wachadema.
Mbowe baada ya kupata habari kuwa CCM itapeleka hoja ya kuwatoa katika uongozi wa upinzani,
  • ameogopa kukosa gari ambalo halina namba limeandika KUB ambalo ni ishara ya 'ukubwa' kila takapo pita
  • pamoja na dereva
  • atakosa ofisi kubwa tu aliyopewa na
  • wafanyakazi na stationaries
Vyote hiyo kwa gharama ya mlipa kodi na marupurupu kibao yanayoendana na nafasi hiyo. Kama ambavyo mawaziri wanavyotanua. Pamoja na kwamba yeye kama F. Mbowe anapesa za kumtosha lakini hana tofauti na wanasiasa wengine wanaopenda ukubwa na marupurupu yake.

Nilijua na niliona ni kiini macho kumkataaa rais wakati unaendelea kutumikia bunge ambalo rais ni mmoja wa wabunge kulingana na katiba ya jamhuri ya muungani wa tanzania,
Unamkataa rais wakati unaendelea kula posho na kuchukua magari ya ubunge. Kweli ilikuwa danganya toto, sasa Mbowe anasema hawamkatai rais ila walitaka tu kupeleka ujumbe basi hivyo wanataka waongee na serikali ya Dr. Jakaya Kikwete wayamalize mapema ili CCM wasije kuwaondoa kwenye uongozi wa upinzani maana tayari mbowe ameunda baraza la mawaziri kivuli anasuburi tu Rais JK atangaze la kwake nayeye afanye mabadiliko kidogo kulingana na Rais JK alivyounda wizara zake.

Ama kweli siasa ni kiini macho kikubwa, wakereketwa wa chadema wenye kupinga kila kitu ambacho hakiendani na chadema ama kinaelekea upande wa ccm baadhi yao hawaamini na watakuja na kauli kali na wale wa kutukana kwa kukosa ustaarabu watatukana ila ukweli ubaki pale pale "never trust a politician" they always change and refine statments to justify their interests and keep on saying " we do not have permanent enemy or friend, "your big enemy in the morning will turn to be a big friend in the afternoon."

Kama hujui kinacholalamikiwa, ni bora hata usithubutu kuchangia. Kuna vielelezo lukuki vinavyoonyesha kuwa kulikuwa na Mpango Mkubwa wa Wizi wa Kura. Tafuta hata kimoja Usome harafu ndo uchangie hoja ukiwa mawazo yako yamefahamu hata Upande wa Pili wa Shilingi.

Nafikiri akina Mbowe watakapoanza kuvitoa utashangaa.
 
Lets be real for a moment jamani. Slaa alisema hawamtambui Kikwete kama Rais halali. Leo Mbowe anasema wanamtambua raisi.

Halafu Mbowe anasema kwamba Mdee, Zitto na wengineo walikuwa wagonjwa. Wakati wote tunajua kwamba walipinga suala la ku-walk out, lakini wakashindwa kwa kura--ikabidi wao waamue kutokuja kabisa bungeni. Mbowe anatudanganya kama sisi watoto wadogo.

Mwisho anasema kwamba the decision was endorsed by a party, wakati tunajua kabisa kina Mzee Ndesamburo, Mdee, Zitto, Lucy Owenya--wote walipinga hilo suala. But Slaa na Mbowe pushed for it. Sasa mbona anatudanganya live.
Hapana. Hakumtaja Zitto kwenye kundi la wagonjwa. Stop spinning. Mzee Ndesamburo alikupigia simu? Unajuaje kuwa alipinga huo uamuzi?
 
Wewe dar es salaam tena acha kufufua yaliyopita, usijudge uwezo wa mtu kwa kashfa tu unazozisikia mtaani. Unaleta suala la mke wa mtu mara sijui nini hapa si mahala pake coz kama huyo mwenye mke angekuwa mwanaume kamili angenyang'anywa mke? Ni aibu kwa mwanaume mzima kusimama hadharani eti 'nimenyang'anywa mke', wala sio sifa, jiulize mkeo kaondoka kwako una kasoro gani hadi akaenda kwa mwingine. Pole kama wewe ndio umenyang'anywa mke. Hapa tunaongelea mambo ya kitaifa zaidi, ya kifamilia tafutia mahala pake.
 
yaani wewe ndio huna akili kabisa, watu wanaongea vitu vya msingi wewe unazungumzia business hapa! Umeelewa lakini alichoongea mbowe? Au unawaza bia tu na madada poa unaokutana nao club, kwani amekwambia bilicanas inahamishiwa dodoma au amezungumzia kumtambua raisi na kupinga mchakato wa kumweka madarakani! Yaani wengine mnaudhi sana, ningekuwa na kiboko halafu uko mbele yangu ningekutandika viboko kama mtoto.

Wewe ndio hamnazo kweli kweli, bado unamtetea? DJ, mdau wa madada poa, anawapelekesha halafu mnasema ni kiongozi, ajabu hii.
 
Back
Top Bottom