JFK wabongo
JF-Expert Member
- Aug 11, 2015
- 3,887
- 3,201
Fumbo mfumbie mjingaumeandika nini sasa?
Fumbo mfumbie mjingaumeandika nini sasa?
Bado hajachaguliwa Rahisi wa kupambana na mizimu kama IPTL, EPA, ESCROW, LIGUMI n.k
Sina hamu na chadema walisema lowassa wa richimond fisadi kwa miaka nane baadaye wakasema lowassa kaonewa si ajabu kesho wakasema lugumi naye ameonewa yaani tabu tupu.
Ni mabigwa flani hivi wa kubadilisha uongo kuwa ukweli na ukweli kuwa uongo.
Ndio maana wote mebaki nao ccmchadema hatuwaamini tena, maana lugumi akija kwenu hamchelewi kusema hakuna udhahidi wa huo ufisadi!!
Mkuu sukari imewashinda Lugumi watamuezaAcha kurukaruka na kutaka kubadili mjadala husika. Magufuli anayejinadi kama mtumbua majipu hili jipu la Lugumi mbona amekuwa na kigugumizi kizito? Kulikoni? Au naye anaogopa kuwakamata mafisadi wa Lugumi ili nchi isiwake moto?
CHADEMA wangenyamaza kimya tu kwa sasa. Walishindwa kutumia influence yao ya 2010-2015, hawana tena ushawishi kipindi hiki.
Wananchi wepi? Hao walioshusha kura za ccm mpaka 58% ndio unasema hawawaamini chadema? Wale zaidi ya 6m tume iliyosema wamemchagua Lowssa na Magu kapata 8m? Wangekuwa hawawazmini wangewapa kura zote hizi? Ccm ndio mlioshuka, wapinzani wakapanda sana. Leo unssema wananchi hawawaamini? You are really myopic!Wananchi wanashindwa kuwaamini tena sababu mmekua vinyonga , sisi tupo na uncle magu tuna imani nae 150% piga kazi.
nani mtego mzuri kwa Magufuli!nahisi ndio maana yuko kimya kwa sasa!Wapinzani waendelee kukandamizaAcha kurukaruka na kutaka kubadili mjadala husika. Magufuli anayejinadi kama mtumbua majipu hili jipu la Lugumi mbona amekuwa na kigugumizi kizito? Kulikoni? Au naye anaogopa kuwakamata mafisadi wa Lugumi ili nchi isiwake moto?
mkuu,hao achana nao!Type ya Akina Agness Marwa!Wananchi wepi? Hao walioshusha kura za ccm mpaka 58% ndio unasema hawawaamini chadema? Wale zaidi ya 6m tume iliyosema wamemchagua Lowssa na Magu kapata 8m? Wangekuwa hawawazmini wangewapa kura zote hizi? Ccm ndio mlioshuka, wapinzani wakapanda sana. Leo unssema wananchi hawawaamini? You are really myopic!
Mtambo wakuzalisha ufisadi si upo ccm sasa atahamajeNaomba mungu lugumi atangaze kuhamia chadema,
Kwahiyo mna ushawishi?Duh! CHADEMA inyamaze tu kwa sasa huku udikteta ukizidi kushamiri nchini kwa Serkali kuminya uhuru wa Wabunge, ufisadi wa akina Lugumi, Wakwapuzi wa UDA, pride n.k. wakifanya ufisadi mchana mweupe bila woga. Simama kupinga maovu dhidi ya Tanzania na Watanzania. Huu utafiti wa kwamba CHADEMA haina ushawishi uliufanya lini na wapi? Na ukubwa wa sample yako iliyokuwezesha kuhitimisha ulichoandika ni upi?
Kwahiyo mna ushawishi?
hata boss wake anajua Lowassa siyo fisadiSina hamu na chadema walisema lowassa wa richimond fisadi kwa miaka nane baadaye wakasema lowassa kaonewa si ajabu kesho wakasema lugumi naye ameonewa yaani tabu tupu.
Ni mabigwa flani hivi wa kubadilisha uongo kuwa ukweli na ukweli kuwa uongo.
Mkuu tafuta sukari kwanza maigizo nishidaYaani CDM mmeona lugumi ndiyo kick ya kutokea nyinyi si ndiyo siku zote mlalamikia utumbuaji wa majipu na mnasema Rais anaingilia mhimili wa bunge,si nyinyi kupitia wabunge wenu ndiyo mlishinikiza kuundwa kwa kamati maalumu ya kuchunguza mkataba wa Lugumi .Sasa inakuaje leo muanze kulialia kumtaka Rais achukue hatua.Hata Rais akichukuwa hatua hamtachelewa kusema kachukuwa hatua ili kuficha ukweli wa mambo.
Barare Limited[edit]Mbowe anayo siri ya RICHMOND ya lowasa
Mwenye richmond ni Lowasa