CHADEMA: Magufuli anayo siri LUGUMI

CHADEMA: Magufuli anayo siri LUGUMI

Halmashauri tatu zilizo chini ya CHADEMA zimekutwa na hati chafu, mojawapo ni ya Hai anapotoka mwenyewe aliyetengeneza fedha wakati ule wa kampeni maarufu kama FM. Sasa mkipewa nchi hamuwezi kufanya madudu haya haya ya CCM?. Ni rahisi sana kupinga kila kitu ukiwa nje ya uongozi, ukipewa uongozi unafanya madudu yale yale kama ya yule uliyekuwa ukimnyooshea kidole wakati ule ukiitwa mpinzani.

Kupinga ufisadi ni wajibu wa kila raia mwema, unless you are idiot.
 
Kupinga ufisadi ni wajibu wa kila raia mwema, unless you are idiot.
Nyinyi ndio wale idiot wenyewe. Mtu mliyemtukana kwamba ni fisadi kwa miaka minane mkaanza kazi ngumu ya kumsafisha kwa muda wa miezi minne. Mliyemuita fisadi kiasi cha kusema anayemuunga mkono anafaa kupimwa akili ndiye huyo huyo mliyekuja kumdekia barabara. Hiyo maana ya neno idiot inafanana sana na upeo wenu mdogo mlioudhihirisha pasipo shaka katika muda wote wa kampeni.
 
Wewe Msororo69 wewe....eti unasemaje?

Kichaa na mwendawazimu siku zote hujiona yeye ndiye yuko mentally perfect na wazima ndiyo vichaa. Ndiyo wewe!!

Unataka nijibu hoja gani kutoka kwako? Niimbe nyimbo mnazoimba ninyi na kushangilia yaleyale ya miaka 50+ ya watu hawahawa kwa staili ileile nitegemee matokeo tofauti??

I am not stupid to the extent of your level dude!!


Wengine tulishatoka kuamini ktk hadaa za kipuuzi kutoka ktk watu wa chama kilichochoka na kuzeeka, Chama cha Majipu a.k.a CCM hata wakija na rangi gani.......tutawatambua tu!!
Tatizo mnashindwa kutambua kwamba nchi hii inatuunganisha hata nyinyi magugu na ambao mpo kufifisha maendeleo ya nchi hii. Hamuiungi mkono mipango mizuri ya ccm mpo kushabikia juhudi za kufifisha maendeleo. Mipango mingi iliyoitia hasara serikali kizembe mliishabikia kumbe unafiki mtupu. Lowasa fisadi sasa mnaye nyie wakosa akili serikali inalipa bilioni 120 za kuvunja mkataba.
Tatizo tu huna akili, laiti ungelikuwa na akili ningekupa mifano mingi ambayo ingekufanya ukatambuwa kweli wewe na wanachadema wenzako ni magugu yanayoathiri maendeleo ya Tanzania.
 
Yale yale ya ujuaji, si imeundwa kamati maalum ya bunge kushughulikia suala hili?. Wapo watu wanalishughulikia suala hilo ndio maana hata Lema aliambiwa usiongelee suala ambalo bunge limeliundia kamati. Sasa haraka za nini?. Huyo mwanahabari hushindwa kujenga hoja ndio maana nikatumia neno cheap politics. Punguza ujuaji.

Mkuu, kapumzike. Umeishiwa hoja. Kwa hiyo unataka kila mtu akubaliane na wewe hata kama unasema upupu.
 
Lugumi haija
Ikiwa Rais ataendeshwa kwa hoja za kutengenezwa na watu wenye upeo mdogo kama lema, mbowe na lissu unadhani hili linaitwa taifa kweli??

Yaani mbowe na Ma DJs wenzake wakae waseme Flan ni fisadi then Rais amuwajibishe on the spot unadhani tutafka kwel mkuu

We did kw lowassa bahat nzuri uongo haunaga maisha marefu wakaja geuka kwamba Lowassa was innocent kwa hyo mkuu Rais ataendelea kusimamia kile kilicho na mashiko na sio kwa mizukA ya ma DJs

Lugumi haijatengenezwa na Lissu wala Mbowe, ni CAG. Jiongeze kidogo.
 
Nyinyi ndio wale idiot wenyewe. Mtu mliyemtukana kwamba ni fisadi kwa miaka minane mkaanza kazi ngumu ya kumsafisha kwa muda wa miezi minne. Mliyemuita fisadi kiasi cha kusema anayemuunga mkono anafaa kupimwa akili ndiye huyo huyo mliyekuja kumdekia barabara. Hiyo maana ya neno idiot inafanana sana na upeo wenu mdogo mlioudhihirisha pasipo shaka katika muda wote wa kampeni.

Sasa unarudi kwenye hoja yangu ya awali Mkuu. Kwa hiyo haya ya Lugumi yametoka wapi tena? nayo yanamhusi yule fisadi wenu EL au hii mtampa mtu mwingine?
 
Mkuu, kapumzike. Umeishiwa hoja. Kwa hiyo unataka kila mtu akubaliane na wewe hata kama unasema upupu.
Mimi naongea na wewe unaongea, hakuna wa kumlazimisha mwenzake aamini kile anachokiamini, ndio maana ya jamii forum. Bunge limeshaunda kamati ya kushughulika na suala la lugumi, na huyo mbunge Lema anayo taarifa. Hapo hakuna suala la mtu kutaka mawazo yake yawe ndio alpha na omega.
 
Sasa unarudi kwenye hoja yangu ya awali Mkuu. Kwa hiyo haya ya Lugumi yametoka wapi tena? nayo yanamhusi yule fisadi wenu EL au hii mtampa mtu mwingine?
You are trying to be sarcastic, hilo la Lugumi tulia tu utakuja kujua mhusika mkuu ni nani, ila this time akija huko kwenu msije mkasafisha na kusema ni msafi sana kama huyo mzee EL. Maana nyinyi ni wapiga dili wazuri sana.
 
Tatizo mnashindwa kutambua kwamba nchi hii inatuunganisha hata nyinyi magugu na ambao mpo kufifisha maendeleo ya nchi hii. Hamuiungi mkono mipango mizuri ya ccm mpo kushabikia juhudi za kufifisha maendeleo. Mipango mingi iliyoitia hasara serikali kizembe mliishabikia kumbe unafiki mtupu. Lowasa fisadi sasa mnaye nyie wakosa akili serikali inalipa bilioni 120 za kuvunja mkataba.
Tatizo tu huna akili, laiti ungelikuwa na akili ningekupa mifano mingi ambayo ingekufanya ukatambuwa kweli wewe na wanachadema wenzako ni magugu yanayoathiri maendeleo ya Tanzania.

Mimi nilikuwa nadhani umeelewa, akili yako inekaa sawa lakini kumbe bado upo tu umeng'ang'ania tela la lori linakuburuza!

Wewe and the likes ndiyo "hamna akili" na ndiyo mnafifisha maendeleo ya nchi hii...siyo mimi, siyo sisi. Nisome/tusome vizuri.

Na hii ni kwa sababu ya uongo na unafiki wenu wa kulamba viatu vya watawala in return ya kukunbukwa ktk ufalme wao...nothing more, nothing less!!

Huwezi kunifundisha haya unayoyasema hapa kwamba sijui kuwa hii ni nchi yangu na ningependa tufanikiwe, tuendelee kama wenzetu ktk nchi zingine.

Lakini swali kubwa ni, how...how exactly???..... Ni hivi ktk mipango iliyojaa usanii na upotoshaji na ninyi matarumbeta mkiwa mnashangilia tu kama mazuzu??.

Aisee, no way sisi tutakosoa na tutazidi kukosoa until watawala wakubali makosa yao. Na hii ndiyo akili iliyo sawa sawa siyo hii kama ya kwako ya kuimba nyimbo usizoelewa hata maana yake na kushangilia tu kila kitu kama vile zuzu.....Acha wewe uwe hivyo, lakini siyo sisi wengine tunaojitambua!!

Tutapongeza inapobidi na kukosoa kwa nguvu zote pasipo kuogopa chochote palipo na ulazima kukosoa!!

Unamsema sema Mzee Lowassa kana kwamba Lowassa ni Mungu mtu kwamba hawezi kuguswa wala kuchukuliwa hatua za kiaheria iwapo kweli alitenda makosa. Na hapa ndipo ambapo unadhihirisha kuwa wewe ndiye "huna akili" na hujui hata unachokiongelea. Yaani wewe ni ili mradi umemtaja Lowassa, baaaasi. Lol uzuzu 100%!!

Nifunge majibu yangu haya kwako na kama utarudi tena kunijibu basi uje na jibu la swali hili;

1. Kwamba, hivi Edward Lowassa ni kikwazo cha serikali hii kutekeleza mipango yake ya maendeleo mathalani ktk scandal inayoendekea sasa ya sukari?

2. Well, suppose sasa Edward Lowassa hayupo duniani, Mungu amchukue leo au kesho. Do you think there will be any difference to what is happening now??...na kwa nini hii difference shouldn't have happened 10 or 20 years past??

3. Edward Lowassa is not in the government for almost ten years now. Hivi huyu mtu anawezaje kuwa kikwazo kiasi hiki hata serikali na CCM kuifanya Tanzania kuwa paradiso ya mbinguni? Fisadi? Mafisadi sehemu yao wapi kwani? Hivi ni kwa nini wewe hujiulizi maswali haya kweli au upo hapa kupiga siasa uchwara tu??.....I don't get you completely!!

Aisee ukijibu "ndiyo" swali la pili utadhihirisha moja kwa moja kwamba wewe si mtu mwenye kichwa kinachojitegemea!!
 
nafikiri hii issue lugumi haitawatoa mafichoni baada ya kukumbatia mafisadi sijui mtaeleza nini mueleweke sasa hivi
Mungu tulidhani tumepata kumbe bado tupo kifungoni!! tumepatikana Huyu Magu naye ni kuwadi wa mafisadi kama waliopita!?? Mungu tusaidie tunakuachia wewe kila kitu. Uchaguzi wanaiba, polisi wanaiba, nyara wanaiba!! wanatumbuliwa marafiki za JK tu eti ndio mafisadi. Mtandao mwingine mchafu na mbaya kuliko yote kwa vile umejivika USAFI na UDIKTETA
 
Hakuna mtu aliewahi kusemwa vibaya kuwa ni FISADI kama EL,huyu sijui LUGUMII sijui chamtoto lakini mwisho wa siku?

NB,"kama una ushahidi nenda mahakamani,kama huna JUST SHUT UP"
 
Magufuri kahubiri kila kashfa na ufisadi lakini kwa nini hajawahi hata siku moja kutaja neno LUGUMI, na kashfa yake dhidi ya POLISI wakati ni sakata lililoiburiwa ndani ya uongozi wake.

hivi ni kweli kuwa hajawahi kusikia wala kuambiwa kuhusu hii kitu??
 
HANA JEURI HIYO YA KUIGUSA LUGUMI ATABAKIAA WAGUSA ANAOTAKA KUWAKOMOAA......TU
ALAFU UZI HUU KUNA WALE BUKU7 WATAUPITAA KWA MBALI TU HAWATO UGUSAAA

OVA
 
Magufuri kahubiri kila kashfa na ufisadi lakini kwa nini hajawahi hata siku moja kutaja neno LUGUMI, na kashfa yake dhidi ya POLISI wakati ni sakata lililoiburiwa ndani ya uongozi wake.

hivi ni kweli kuwa hajawahi kusikia wala kuambiwa kuhusu hii kitu??
Bado uchunguzi unaendelea chief!!
 
Ukihoji hivyo basi jua umeshaelewa kinachoendelea, yaani ni kama wanafunzi wa kwanza kabisa kwenye shule za wamishenari ambapo wengine walikuja kushtuka kupata elimu miaka 70 baadae!
 
Bado uchunguzi unaendelea chief!!
mbona tuliambiwa ile kamati ya uchunguzi ilishakabidhi report mkuu, lakinin pia mbona hii ya milioni saba kwa dakika iko mahakamani lakini anaizungumzia, iweje lugumi
 
Back
Top Bottom