Ningekueleweni kama mngesema kamati ya PAC imekaa kimya kwa nini? Kama kamati yenu ya Bunge inayoongozwa na upinzani imeshindwa kazi otoe taarifa bungeni, rais hawezi ingilia kazi mfupa mlioanza kuufonza wenyewe. msimlazimishe aingilie kazi ambayo mhimili wenu hamjaimaliza. Toeni taarifa bungeni mumeona madudu gani na mnaiagiza serikali ifanye nini. Chadema hii hoja ya Lugumi haitawatoa itawadharirisha achaneni nayo. Kitwanga ameshawamaliza, "Mbunge anayetaka mkataba upo wazi fuateni utaratibu unaotakiwa ishu ya usalama Wa taifa haijadiliwi Sokoni"