CHADEMA, Ludovick Rwezahula anaangamia mahabusu, utu uko wapi?

CHADEMA, Ludovick Rwezahula anaangamia mahabusu, utu uko wapi?

Status
Not open for further replies.
Umesahau alichokifanya eeh... Hilo ni fundisho kwa vijana wote wanaokubali kutumiwa ki urahisi pasipo kufikiria madhara yanayoweza kutokea,hao wanaowatumia wala hawawahitaji. Ni kama toilet paper tu....
 
lumumba imeongea saana! Mlipoteana pale mawasiliano yenu ya kuhujumu cdm na kumuhujumu kibanda yapowekwa wazi na marando iatusikii tena kauli za "jinuaini bonafide" mwajili wa mwisho wa Ludo ni mwigulu na mpaka anaingia ktk misukosuko alikuwa akifanya kazi ya mwigulu!
Tatizo lenu ni ujinga na umbumbumbu mkubwa mlionao magaidi wa chadema.
unamuongelea mabere marando na kesi ya LWAX NA LUDOVIC??? hivi una hata chembe ya sheria hata kama hujaenda shule hata siku moja??? labda nikupe tu ufunuo(revelation ) ya kile mnachofanyiwa na marando'
''wakati akiwa kama wakili wa LWAX, angetakiwa atumie uwezo wake wooote kumtoa mteja wake(LWAX) katika tuhuma zile!! yeye anahangaika kutafuta mlolongo wa watuhumiwa wengine ili waunganishwe kwenye kesi ya LWAX. kwa hiyo anachotaka yeye mahakama itambue, sio kwamba mteja wake(LWAX) hajashiriki, laa bali ni kwamba alishiriki lakini hakushiriki peke yake.mpaka sasa hajafanya jitihada zozote(za wazi na za siri) za kujaribu kumtenganisha LWAX na tuhuma bali anacement ushiriki wa LWAX katika tuhuma husika.
mbona kesi ya LWAX mwisho wake uko wazi!!! hata muweke wakili SHETANI na hakimu awe MALAIKA WA SHETANI
 
Tatizo lenu ni ujinga na umbumbumbu mkubwa mlionao magaidi wa chadema.
unamuongelea mabere marando na kesi ya LWAX NA LUDOVIC??? hivi una hata chembe ya sheria hata kama hujaenda shule hata siku moja??? labda nikupe tu ufunuo(revelation ) ya kile mnachofanyiwa na marando'
''wakati akiwa kama wakili wa LWAX, angetakiwa atumie uwezo wake wooote kumtoa mteja wake(LWAX) katika tuhuma zile!! yeye anahangaika kutafuta mlolongo wa watuhumiwa wengine ili waunganishwe kwenye kesi ya LWAX. kwa hiyo anachotaka yeye mahakama itambue, sio kwamba mteja wake(LWAX) hajashiriki, laa bali ni kwamba alishiriki lakini hakushiriki peke yake.mpaka sasa hajafanya jitihada zozote(za wazi na za siri) za kujaribu kumtenganisha LWAX na tuhuma bali anacement ushiriki wa LWAX katika tuhuma husika.
mbona kesi ya LWAX mwisho wake uko wazi!!! hata muweke wakili SHETANI na hakimu awe MALAIKA WA SHETANI
Mkuu wape shule hao itafika mahala wataelewa tu.
 
Hoja ambazo hazina uthibitisho unachukua maneno ya lisu ndiyo udanganye nayo lisu mwenyewe yawezekana siku hiyo ulikuwa mwezi mchanga kwake.
Kuhusu kudanganya utakuwa unamsema Mwigulu alietaka kumshirikisha hadi Mungu kwenye single yake,mwez mchanga unawakimbiza mahakamani na mitungi yenu ya oxygen,mwigulu hakwenda hata kutoa ushahidi mahakamani kweli mnaakili za maiti,mwambie mjomba Bw.Chemba yule dogo anaomba amkumbuke maisha magumu magereza..
 
Ludo ni rafiki ake na lwakatare na ni private secretary wa slaa

Mtaweweseka sana!! Rafiki yako akikuchukulia mkeo ataendelea kuwa rafiki yako? Ludovick is now attached to Mwigulu Nchemba as well as CCM, so you help the guy!!
 
Kuhusu kudanganya utakuwa unamsema Mwigulu alietaka kumshirikisha hadi Mungu kwenye single yake,mwez mchanga unawakimbiza mahakamani na mitungi yenu ya oxygen,mwigulu hakwenda hata kutoa ushahidi mahakamani kweli mnaakili za maiti,mwambie mjomba Bw.Chemba yule dogo anaomba amkumbuke maisha magumu magereza..
Kwani kesi imefika mahala pa kuhitajika mashahidi au unaandika kitu ambacho hukijui au unajua lakini unajifanya hujui.
 
Mkuu, unataka kusema muda wote huo bado tu hajajua kuwa kijana yuko mahabusu, tena amekongoroka vibaya! CHADEMA imuangalie jamani, kiubinadamu tu.

Chadema imuangaliaje ndugu yangu ,labda ungeweka wazi masharti ya zamana . mwenye uwezo wa kumsaidia amsaidie .charity begins with you ndugu yangu .Mwijuluuuu atamtoa tu ili apate mtaji wa kuzunguuka nae majukwaaani akidai katumiwa kisiasa then katelekezwa .
 
Tatizo lenu ni ujinga na umbumbumbu mkubwa mlionao magaidi wa chadema.
unamuongelea mabere marando na kesi ya LWAX NA LUDOVIC??? hivi una hata chembe ya sheria hata kama hujaenda shule hata siku moja??? labda nikupe tu ufunuo(revelation ) ya kile mnachofanyiwa na marando'
''wakati akiwa kama wakili wa LWAX, angetakiwa atumie uwezo wake wooote kumtoa mteja wake(LWAX) katika tuhuma zile!! yeye anahangaika kutafuta mlolongo wa watuhumiwa wengine ili waunganishwe kwenye kesi ya LWAX. kwa hiyo anachotaka yeye mahakama itambue, sio kwamba mteja wake(LWAX) hajashiriki, laa bali ni kwamba alishiriki lakini hakushiriki peke yake.mpaka sasa hajafanya jitihada zozote(za wazi na za siri) za kujaribu kumtenganisha LWAX na tuhuma bali anacement ushiriki wa LWAX katika tuhuma husika.
mbona kesi ya LWAX mwisho wake uko wazi!!! hata muweke wakili SHETANI na hakimu awe MALAIKA WA SHETANI

Mkuu,

Nikushukuru kwa kutoa ufafanuzi wa kina, na kwa ufafanuzi huu wana CDM walio jitoa ufahamu na kuvaa UMBUMBUMBU wa makusudi wataanza kufunguka.

Mimi nilikuwa nawashangaa wanavyo ruka ruka kuwa Lwax kaachiwa kwa dhamana, wanadhani dhamana maana yake kesi zote zimetupiliwa mbali? bado ana kesi nzito ya kujibu, sasa badala haya mambo wayafanye kwa kushirikiana na bwana Ludo, wao wamemuwekea chuki, huyu Ludo ndiye msaada mkubwa kwa CDM, na ndio maana bado kamanda Lwax pamoja yeye yuko nje, lakini ana mthamini sana kijana Ludo.
 
Tatizo lenu ni ujinga na umbumbumbu mkubwa mlionao magaidi wa chadema.
unamuongelea mabere marando na kesi ya LWAX NA LUDOVIC??? hivi una hata chembe ya sheria hata kama hujaenda shule hata siku moja??? labda nikupe tu ufunuo(revelation ) ya kile mnachofanyiwa na marando'
''wakati akiwa kama wakili wa LWAX, angetakiwa atumie uwezo wake wooote kumtoa mteja wake(LWAX) katika tuhuma zile!! yeye anahangaika kutafuta mlolongo wa watuhumiwa wengine ili waunganishwe kwenye kesi ya LWAX. kwa hiyo anachotaka yeye mahakama itambue, sio kwamba mteja wake(LWAX) hajashiriki, laa bali ni kwamba alishiriki lakini hakushiriki peke yake.mpaka sasa hajafanya jitihada zozote(za wazi na za siri) za kujaribu kumtenganisha LWAX na tuhuma bali anacement ushiriki wa LWAX katika tuhuma husika.
mbona kesi ya LWAX mwisho wake uko wazi!!! hata muweke wakili SHETANI na hakimu awe MALAIKA WA SHETANI

Akili yako imekaa ki-PIMBI huna lolote!! Ludo ameshakuwa mtu wenu so it's you who have help him! Au huwa mnajua kurubuni tu??
 
Kwani kesi imefika mahala pa kuhitajika mashahidi au unaandika kitu ambacho hukijui au unajua lakini unajifanya hujui.
Kwani dpp alipoifungua kama kesi ya ugaidi na mwigulu kupigilia msumari ni magaidi walishindwa vp kuidhibitishia mahakama kuwa yale ni makosa ya ugaidi..
 
WanaJF!

Leo ni siku ya kesi ya bwana Lwakatare kusikilizwa kwenye mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, lakini kesi imehairishwa mpaka July 22, 2013.

Pamoja na hayo, mshitakiwa na.2 bwana Ludovick Rwezaura ameshindwa kupata dhamana kwa sababu ya kutokamilika kwa nyaraka za dhamana, ingawa dhamana yake iko wazi kabisa.

Bwana Ludovick akiwa nje ya mahakama, ameonekana akiwa mnyonge na alikuwa akilia sana kwa uchungu huku akilalamika ndugu zake (ambao hawakufika mahakamani) hawafatilii dhamana yake.

Kwa hali kama hiyo, kijana Ludovick anaendelea kusota gerezani na kuzidi kuangamia, kwani wote sisi ni wanaadamu na tunajua makali ya maisha ya gerezani.

Rai yangu kwa CHADEMA; haijarishi kijana Ludovick kama alikuwa mwajiriwa wa CHADEMA kimkataba ama alikuwa volunteer, jambo la msingi ni kwamba alikuwa ana kitumikia CHADEMA kwa moyo wake wote na nguvu zake zote. Ludovick alijitoa kwa CHADEMA kwa namna ya pekee, ni kijana ambae alikuwa bega kwa bega na Dr Slaa kiutendaji na vile vile alikuwa kama mtoto kwa Dr Slaa.

Katika hali kama hiyo sikutarajia kama CHADEMA kinaweza kumtema na kumkataa kabisa bwana Ludovick Rwezaura. Kwani wote tunafahamu kuwa, kosa aliadhibiwi kwa ubaya, bali kosa dawa yake kukosolewa. Sasa kwanini CHADEMA wana muadhibu kijana Ludovick kwa ubaya? kwanini wasimsaidie hata kwa dhamana ili aweze kutoka kwenye 'jehanamu' ya duniani?

Maamuzi haya ya kumtupa mkono kijana Ludovick katika hali hii mbaya inayo mkabili, inajenga wasiwasi mkubwa kwa vijana wengi walio CHADEMA juu ya hatma yao endapo wakikosea jambo. Je, chama kitawasaidia kwa lolote? Ni wakati vijana wakawa makini sana na namna ambavyo CHADEMA na viongozi wake wana shughulikia nidhamu na makosa ya wanachama wao, hiki anacho fanyiwa Ludovick, hakina tofauti sana na walicho fanyiwa Juliana Shonza na Mtela Mwampamba.

View attachment 101283Kijana Ludovick akionekana amenyong'onyea leo mahakamani, pembeni yake ni bwana Lwakatare wakiwa na askari magereza.

siku zote unavuna ulichopanda. wamemtumia kama yale maputo ya gesti sasa anajuta na atajuta sana.
 
Huu ndio wakati wa vijana wanaotumika na CCM kuchanganya na za kwao. Mwigulu kamuacha Ludo anateseka,amemtumia lakini kwakuwa mission haukuzaa matunda ndio kamtosa. Pole Ludo hii ndio dhambi ya Usaliti.
 
Mkuu, unataka kusema muda wote huo bado tu hajajua kuwa kijana yuko mahabusu, tena amekongoroka vibaya! CHADEMA imuangalie jamani, kiubinadamu tu.
labda akifa maana wanapendo promo za misibani.
 
Mkuu yeye hakupenda uharifu uliokuwa unafanywa na chadema.

kitendo cha kudhuru watu hakikubariki kijana ni mzalendo anateswa na uzalendo wake lakini haya yanamwisho mungu atamwinua tu.

Kwenye hili sakata la Lwaka huyu ndiye shahidi no1. atakaye muangamiza au kumokoa Lwaka. Sijui mtazamo wa CDM lakini kama wameamua kumtosa basi asikubali kutoka korokoroni kwa usalama wake.

Mtu aliyekuwa jirani sana na viongozi wa wajuu wa chama (kama kweli) anaweza kutoa ushahidi wa kisasi (tuhaibikiwe wote)
 
Ni sawa na kuwaomba Chadema wawadhamini Juliana Shonza na Mwampamba; je hiyo itakuwa sawa?
 
Bwashee kumbe una huruma!?

Simply wasiliana na Mwigulu Nchemba ataachiwa bila makaratasi yoyote yale ya dhamana. malipo ni hapahapa Duniani hizi ni sheria za karma.

Ndugu Hujamuelewa Hamdy, Ukiisoma vizuri Thread yake, utaona anachosema, ni kuwa hapa anaye uzwa kwa bei ya Mhanga ni Lwakatare, Kwa CDM kumterekeza Ludovich ni kusema kuwa kweli alifanya kile kibarua cha kumreckodi Ludovic, na kuwa ana hatiya, kwa hivyo ndio adhabu anyopewa LUDOVICH kwa kumwanga mtama penye kukuwengi. Na pia ni kama CDM ina watishia wana CDM wengine kuwa mkishawishika na Adui basi nasi tutamitosa.

OLE Wake Lwakatare, anaenda na maji asijione yuko njee tuu, Kipigoa atakachokipata sio kidogo, hawa Ndugu zetu wa CCM wanafanya mipango yako kisayansi sio ki Mangi.

 
WanaJF!

Leo ni siku ya kesi ya bwana Lwakatare kusikilizwa kwenye mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, lakini kesi imehairishwa mpaka July 22, 2013.

Pamoja na hayo, mshitakiwa na.2 bwana Ludovick Rwezahula ameshindwa kupata dhamana kwa sababu ya kutokamilika kwa nyaraka za dhamana, ingawa dhamana yake iko wazi kabisa.

Bwana Ludovick akiwa nje ya mahakama, ameonekana akiwa mnyonge na alikuwa akilia sana kwa uchungu huku akilalamika ndugu zake (ambao hawakufika mahakamani) hawafatilii dhamana yake.

Kwa hali kama hiyo, kijana Ludovick anaendelea kusota gerezani na kuzidi kuangamia, kwani wote sisi ni wanaadamu na tunajua makali ya maisha ya gerezani.

Rai yangu kwa CHADEMA; haijarishi kijana Ludovick kama alikuwa mwajiriwa wa CHADEMA kimkataba ama alikuwa volunteer, jambo la msingi ni kwamba alikuwa ana kitumikia CHADEMA kwa moyo wake wote na nguvu zake zote. Ludovick alijitoa kwa CHADEMA kwa namna ya pekee, ni kijana ambae alikuwa bega kwa bega na Dr Slaa kiutendaji na vile vile alikuwa kama mtoto kwa Dr Slaa.

Katika hali kama hiyo sikutarajia kama CHADEMA kinaweza kumtema na kumkataa kabisa bwana Ludovick Rwezaura. Kwani wote tunafahamu kuwa, kosa aliadhibiwi kwa ubaya, bali kosa dawa yake kukosolewa. Sasa kwanini CHADEMA wana muadhibu kijana Ludovick kwa ubaya? kwanini wasimsaidie hata kwa dhamana ili aweze kutoka kwenye 'jehanamu' ya duniani?

Maamuzi haya ya kumtupa mkono kijana Ludovick katika hali hii mbaya inayo mkabili, inajenga wasiwasi mkubwa kwa vijana wengi walio CHADEMA juu ya hatma yao endapo wakikosea jambo. Je, chama kitawasaidia kwa lolote? Ni wakati vijana wakawa makini sana na namna ambavyo CHADEMA na viongozi wake wana shughulikia nidhamu na makosa ya wanachama wao, hiki anacho fanyiwa Ludovick, hakina tofauti sana na walicho fanyiwa Juliana Shonza na Mtela Mwampamba.

View attachment 101283Kijana Ludovick akionekana amenyong'onyea leo mahakamani, pembeni yake ni bwana Lwakatare wakiwa na askari magereza.

Alikuwa sometimes ana-update MJENGWA BLOG... Kwanini MJENGWA asimsaidie? alikuwa ana-update free of charge
Peleka Maoni yako kwa MJENGWA
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom