Watarudishaje moyo nyuma wakati unakaa kifuani upande wa kushoto..Mkuu, ukiona mtu mzima anatoa chozi hadharani ujue kuna jambo, ni kheli CDM warudishe moyo wao nyuma na wamfikilie kijana Ludo.
Ok, Ludo kipindi yuko UDSM-DUCE alikuwa ni miongoni mwa vijana wana harakati wa kukijenga CDM, hasa kupitia jumuiya ya CHASO ambayo Mwampamba ni mwasisi wake.
Kijana huyu alivyo maliza masomo yake akaacha vyote, na kwenda kukitumikia CDM makao makuu, hii sacrifice sio ndogo mkuu.
Pale makao makuu, alikuwa chini ya uangalizi wa Lwakatare katika majukumu yake, pia alikuwa mtu wa muhimu sana kwa Dr Slaa hasa katika masuala ya intelligence.
Mkuu, hapa bado ujaona nafasi ya huyu kijana ilivyo nyeti na muhimu kwa chama?
Am serious, huyu anapata hukumu yake hapa hapa Duniani, kwanza ashukuru hata hiyo dhamana kuwa wazi ni kazi ya timu ya Mawakili wa Chadema.Sasa mkuu utafananisha shughuli za blog na chama?
You can't be serious!
WanaJF!
Leo ni siku ya kesi ya bwana Lwakatare kusikilizwa kwenye mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, lakini kesi imehairishwa mpaka July 22, 2013.
Pamoja na hayo, mshitakiwa na.2 bwana Ludovick Rwezaura ameshindwa kupata dhamana kwa sababu ya kutokamilika kwa nyaraka za dhamana, ingawa dhamana yake iko wazi kabisa.
Bwana Ludovick akiwa nje ya mahakama, ameonekana akiwa mnyonge na alikuwa akilia sana kwa uchungu huku akilalamika ndugu zake (ambao hawakufika mahakamani) hawafatilii dhamana yake.
Kwa hali kama hiyo, kijana Ludovick anaendelea kusota gerezani na kuzidi kuangamia, kwani wote sisi ni wanaadamu na tunajua makali ya maisha ya gerezani.
Rai yangu kwa CHADEMA; haijarishi kijana Ludovick kama alikuwa mwajiriwa wa CHADEMA kimkataba ama alikuwa volunteer, jambo la msingi ni kwamba alikuwa ana kitumikia CHADEMA kwa moyo wake wote na nguvu zake zote. Ludovick alijitoa kwa CHADEMA kwa namna yake, ni kijana ambae alikuwa bega kwa bega na Dr Slaa kiutendaji na vile vile alikuwa kama mtoto kwa Dr Slaa.
Katika hali kama hiyo sikutarajia kama CHADEMA kinaweza kumtema na kumkataa kabisa bwana Ludovick Rwezaura. Kwani wote tunafahamu kuwa, kosa aliadhibiwi kwa ubaya, bali kosa dawa yake kukosolewa. Sasa kwanini CHADEMA wana muadhibu kijana Ludovick kwa ubaya? kwanini wasimsaidie hata kwa dhamana ili aweze kutoka kwenye 'jehanamu' ya duniani?
Maamuzi haya ya kumtupa mkono kijana Ludovick katika hali hii mbaya inayo mkabili, inajenga wasiwasi mkubwa kwa vijana wengi walio CHADEMA juu ya hatma yao endapo wakikosea jambo. Je, chama kitawasaidia kwa lolote? Ni wakati vijana wakawa makini sana na namna ambavyo CHADEMA na viongozi wake wana shughulikia nidhamu na makosa ya wanachama wao, hiki anacho fanyiwa Ludovick, hakina tofauti sana na walicho fanyiwa Juliana Shonza na Mtela Mwampamba.
View attachment 101283Kijana Ludovick akionekana amenyong'onyea leo mahakamani, pembeni yake ni bwana Lwakatare wakiwa na askari magereza.
Kwani ndoo lumumba zimeisha,mpelekeeni hata zild rangi ya blue na njanoSi kweli mkuu, kijana yuko gerezani ananyea debe tu. Inasikitisha sana kwa hatua aliyofikia.
Ilikuwaje akamuuza msimamizi wake? Kumbe CCM ni wabaya sana!Ok, Ludo kipindi yuko UDSM-DUCE alikuwa ni miongoni mwa vijana wana harakati wa kukijenga CDM, hasa kupitia jumuiya ya CHASO ambayo Mwampamba ni mwasisi wake.
Kijana huyu alivyo maliza masomo yake akaacha vyote, na kwenda kukitumikia CDM makao makuu, hii sacrifice sio ndogo mkuu.
Pale makao makuu, alikuwa chini ya uangalizi wa Lwakatare katika majukumu yake, pia alikuwa mtu wa muhimu sana kwa Dr Slaa hasa katika masuala ya intelligence.
Mkuu, hapa bado ujaona nafasi ya huyu kijana ilivyo nyeti na muhimu kwa chama?
Kwani ile 50000 aliyotuma Mwigulu kupitia M-pesa kwenda kwa Ludo ilikuwa ya nin vile,mwambie bi shoza na mwampamba Nchemba anatafuta choo cha kuwaweka,Ludo keshapata..Mkuu, hiyo iwe fundisho kwa vijana wengine walio bega kwa bega na CDM, kwani hawawezi kujua hamta yao wenda yaweza kuwakuta haya haya Ludo.
duh!!!!! do i sound like MWINGULU NCHEMBA???? hebu nitake radhi dada yangu.Usijifanye kutia watu woga wewe Mwigulu, wala usijali Chadema wanataka hiyo kesi iende mahakamani na mkileta majaji wenu wa kupandikiza tunawakataa kisha anateuliwa ambaye hajui kupindisha sheria na hapo ndio tutakuona kama utakuja kuleta ule ushahidi unaojifanya kuwa unao huko bungeni na kwenye media. Kwanza tunaona kama siku zinachelewa za hiyo kesi. Mbona watanzania wanaojitambua wameshawashtukia wanangoja tu muuingie kwenye anga zao
Kama swala la dhamana ni la kifamilia mbona lwakatare ambaye walipanga pamoja na lwakatare yeye lwakatare kahangaikiwa na chadema.Am serious, huyu anapata hukumu yake hapa hapa Duniani, kwanza ashukuru hata hiyo dhamana kuwa wazi ni kazi ya timu ya Mawakili wa Chadema.
Swala la mtu kuwekewa dhamana ni la kifamilia zaidi na kirafiki, ndio maana nimekuuliza swali rahisi sana j kina Maggid Mjengwa wako wapi?
Tuasume kwamba Chadema imetelekeza what is plan B kwake? mtu mwenye Connection na watu wakubwa na wazito kama Mwigulu ni kwa nini akae jela wakati dhamana iko wazi? shirikisha ubongo wako kuna kitu marafiki zake wanakijuwa na Maggid Mjengwa atakuwa anajuwa zaidi.
Usilete siasa uchwara kwenye fact kama hizi, changudoa tu Lulu baada ya kukubaliwa dhamana amedhaminiwa mara moja why not Ludovic?
Watarudishaje moyo nyuma wakati unakaa kifuani upande wa kushoto..
Ludo ametumiwa sana na chadema km mpelelezi hususan kujua ukubalikaji wa viongozi wao kwa jamii
Hoja ambazo hazina uthibitisho unachukua maneno ya lisu ndiyo udanganye nayo lisu mwenyewe yawezekana siku hiyo ulikuwa mwezi mchanga kwake.Kwani ile 50000 aliyotuma Mwigulu kupitia M-pesa kwenda kwa Ludo ilikuwa ya nin vile,mwambie bi shoza na mwampamba Nchemba anatafuta choo cha kuwaweka,Ludo keshapata..
View attachment 101293View attachment 101294Kama swala la dhamana ni la kifamilia mbona lwakatare ambaye walipanga pamoja na lwakatare yeye lwakatare kahangaikiwa na chadema.
Anyefaa hukumu hapa duniani ni lwaka kwa unyama aliotaka kufanya kwa msack lakini ludo hana dhambi.
HAMMY-D, CCM ndio walivyo, ukishawafanyia kazi yao wanakutosa, subiri zamu yako wewe na wenzako hasa yule jamaa anayeongozana na Mwigulu kuonesha majeraha ya tindikali!
Kwani ile 50000 aliyotuma Mwigulu kupitia M-pesa kwenda kwa Ludo ilikuwa ya nin vile,mwambie bi shoza na mwampamba Nchemba anatafuta choo cha kuwaweka,Ludo keshapata..Mkuu, hiyo iwe fundisho kwa vijana wengine walio bega kwa bega na CDM, kwani hawawezi kujua hamta yao wenda yaweza kuwakuta haya haya Ludo.