CHADEMA, Ludovick Rwezahula anaangamia mahabusu, utu uko wapi?

CHADEMA, Ludovick Rwezahula anaangamia mahabusu, utu uko wapi?

Status
Not open for further replies.
JokaKuu,

...Kwa mujibu wa maelezo yako, ni dhahiri kuwa CHADEMA haina mbadala na CCM. Kwa kuwa yale maovu yaliyo fanywa na CCM ndio hayo hayo yanayo rudiwa na CHADEMA, mantiki ipo wapi ya kusema hivi vyama ni tofauti?

...Nilitarajia kwenye maeneo ambayo CHADEMA ina mapungufu, wapenzi wa CHADEMA wawe makini kuyabaini ili waweze kushauri viongozi wa CHADEMA namna bora ya kuweza kurekebisha mapungufu hayo.

..hivi unaona kumtelekeza mtu kama Gen.Ernest Mwita Kiaro ni jambo dogo??

..CCM mmekuwa kama hamuelewi role yenu kama chama kilichoshika serikali.

..badala ya kuhangaika na CDM mngejielekeza ktk kutatua matatizo ya wananchi.
 
chama,

..hawa walitoswa na CCM na serikali yeke wakati wakiwa wagonjwa kwa namna hiyohiyo ambayo Chris Lukosi anadai CDM imewatosa makada wake.
JokaKuu
Bado hujasema wametoswa vipi; hujaonyesha ni wapi hawakuhudumiwa; au mtu ukiwa mbunge na kiongozi wa serikali huugui wala kufa? Kama serikali CCM ya ilimpeleka Zitto kwa matibabu India ni wazi imewasaidia wahusika vinginevyo niwekee ushahidi wa jinsi walivyotekelezwa; kuna wakati hizi habari zavilinge vya kahawa jaribuni kutozileta jamvini
 
Last edited by a moderator:
JokaKuu
Bado hujasema wametoswa vipi; hujaonyesha ni wapi hawakuhudumiwa; au mtu ukiwa mbunge na kiongozi wa serikali huugui wala kufa? Kama serikali CCM ya ilimpeleka Zitto kwa matibabu India ni wazi imewasaidia wahusika vinginevyo niwekee ushahidi wa jinsi walivyotekelezwa; kuna wakati hizi habari zavilinge vya kahawa jaribuni kutozileta jamvini


..habari ya Zitto inatoka wapi?

..au, unataka kumlinganisha Zitto na Generali Ernest Mwita Kiaro, na wenzake niliowataja??

..Makweta,Mgonja, na Kiaro, walitoswa, and that is very sad kulingana na mchango wao ktk taifa letu.

cc: Mchambuzi, Nguruvi3



.
 
Last edited by a moderator:
..habari ya Zitto inatoka wapi?

..au, unataka kumlinganisha Zitto na Generali Ernest Mwita Kiaro, na wenzake niliowataja??

..Makweta,Mgonja, na Kiaro, walitoswa, and that is very sad kulingana na mchango wao ktk taifa letu.

cc: Mchambuzi, Nguruvi3



.
JokaKuu
Nipe mifano halisi walivyotoswa walinyimwa kitu gani? naona unazunguka mbuyu tu hizi hadithi za vilinge vya kahawa utaacha lini? Nimekupa mfano wa Zitto ili uone jinsi serikali unavyowajali viongozi wake; mkuu nipe mifano halisia kama huna kubali hizi hadithi za kwenye madanguro hapa sio mahali pake
 
Last edited by a moderator:
Nasikia leo Ludovick kapewa dhamana baada ya Chadema kumtosa.
 
JokaKuu
Nipe mifano halisi walivyotoswa walinyimwa kitu gani? naona unazunguka mbuyu tu hizi hadithi za vilinge vya kahawa utaacha lini? Nimekupa mfano wa Zitto ili uone jinsi serikali unavyowajali viongozi wake; mkuu nipe mifano halisia kama huna kubali hizi hadithi za kwenye madanguro hapa sio mahali pake
chama,

..kwanza,hapo nilipo-highlight with red.

..don't bother kunitukana. i never over react mtu anapotumia lugha za matusi dhidi yangu.

..kwamba Zitto alitibiwa na bunge, au serikali kama unavyopenda tuamini, haithibitishi kwamba Makweta, Mgonja, na Gen.Mwita Kiaro hawakutoswa na serikali.
 
Last edited by a moderator:
magwanda ndivyo walivyo, hawana uhusiano na mtu wao wapo kimaslahi zaidi, hususan viongozi. Nawaonea huruma wanojiita wapiganaji, yakiwakuta wanatoswa.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom