Tindo
Platinum Member
- Sep 28, 2011
- 69,594
- 123,097
dr SLAA ni mtu aliyelelewa na kukulia seminary. amesoma dini huyu mtu na mwishowe imani ikamshinda kwa tamaa za kidunia.
nilidhani labda kuna mabaki ya ubinadamu ndani ya moyo wake yalyotokana na malezi mema ya kanisa lakini kumbe nilikosea kudhani hivyo!!. hakumbuki jinsi alivyomtumia huyu kijana katika mambo yake binafsi(machafu na masafi), amesahau jinsi alivyokuwa anayaweka rehani maisha ya huyu kijana kwa kumpa maagizo ya utekelezaji wa mambo ya hatari yaliyokuwa yanapangwa na kuratibiwa na makao makuu. amesahau jinsi alivyokuwa msiri wao na kufanikiwa kuficha siri nyingine ambazo hata mwenyekiti mbowe alikuwa hajui!!!!!
kma kosa lake lilikuwa ni kuibua siri ya mikakati ya kishetani ya CHADEMA dhidi ya waandishi wa habari, basi nadhani kuna siku mwanga wa mungu utamuangazia kwa sababu alifanya vile kwa maslahi mapana ya taifa.
kinachonifurahisha kuhusu hili sakata la lwakatare ni jinsi wana chadema wanavyojiumauma na kujikanganya kuhusu ile video. naona sasa wamehama kutoka kwenye'' VIDEO FAKE'' mpaka kwenye 'LUDOVIC MSALITI'''.
Mwisho wa hili sakata uko wazi.. LWAKATARE ATAFIA JELA KAMA MFUNGWA na LUDOVIC atasalimika.
just stay tuned
Usijifanye kutia watu woga wewe Mwigulu, wala usijali Chadema wanataka hiyo kesi iende mahakamani na mkileta majaji wenu wa kupandikiza tunawakataa kisha anateuliwa ambaye hajui kupindisha sheria na hapo ndio tutakuona kama utakuja kuleta ule ushahidi unaojifanya kuwa unao huko bungeni na kwenye media. Kwanza tunaona kama siku zinachelewa za hiyo kesi. Mbona watanzania wanaojitambua wameshawashtukia wanangoja tu muuingie kwenye anga zao