Zack Abdul
JF-Expert Member
- Mar 9, 2026
- 715
- 646
Katika hili suala linaloendelea nadhani wanaharakati na wafuasi wa CHADEMA wanakosea target, Mtu anayepaswa kushambuliwa ni Lissu kwa kuwa yeye ndo ametoa salamu za pole, Lema yeye ni Amplifier tu. Jambo jingine CHADEMA Katika kitu kitawapa shida ni hii kuingia kwenye mfumo wa wanaharakati, Taasisi ina visions zake, na wanaharakati wana visions zao ila wao ndo wanajikuta wapo sahihi zaidi na wanataka wasikilizwe wao wanasahsu Taasisi ina viongozi. Na mbaya zaidi haya wafuasi wa Chadema mitandaoni wanaogopa kusimama na viongozi wao ili tu wasipuuzwe na wanaharakati mwisho wa siku wakose likes. Leo hii Gobless Lema anaitwa MATAKO waChadema wanashangilia.....Taasisi imevamiwa