laki si pesa.
JF-Expert Member
- Jul 14, 2015
- 10,003
- 9,732
kibaraka wa wazungu huyoyeye anakupenda?
kibaraka wa wazungu huyoyeye anakupenda?
unamuunga mkono kibaraka wa wazungu?Wewe peke yako mwana Lumumba usiyemtaka Lissu.....
Lakini Umma wa watanzania umamuunga mkono.
Amen!Mungu hatutaacha kukutukuza na kuliinua jina lako. Asante Mungu kwa ukuu wako....... Asante Yesu jina lako ni kuu na ukuu wako hautamaliki............. eee Mungu uliyemfufua Lazaro aliyekufa asante kwa ulinzi wa Tundu Anitipas Lissu......... wewe ndio unaejua hata kuwapo uzima wake.. Madaktari ni njia unayoionyesha tuu ili ukuu wako uonekane.............. Asante Mungu wewe ni Mungu jana, leo kesho na hata milele.. Jina lako lihimidiwe... Amen
nipo mkuu, nakushukuru sana kwa compliment yako mkuu. barikiwa.Mkuu upo?japo tupo tafaut kiitikadi ila uwaga unanimaliza sana kwa comments zako alaf nikionaga dp yako ndo hoiiiiii
Imetimu Jumatano saa tisa usiku saa za Afrika Mashariki.
Jana, Jummanne, MWENYEKITI MBOWE alisema "kuanzia leo mtaanza kuona picha za Tundu Lissu" kwenye mitandao.
CHADEMA mmeshindwa kutimiza ahadi hiyo. Kitu hiki kinasikitisha.
Chama makini cha upinzani kina wajibu wa kuwa mfano wa utauwa na ahadi za ukweli.[/QUOTE
we mlinzi? 2.56 am unahoji picha za lisu? au ndio ndio kuweweseka kwenyewe huko
Embu nukuu hapo mkuu Wapi pana uongo wa wazi ?Degedege inakumbua wewee....! Sitaongeza mishahara mpaka uzalishaji uongezeke........Kuanzia mwezi ujao tutaanza kuongeza mishahara,
Imetimu Jumatano saa tisa usiku saa za Afrika Mashariki.
Jana, Jummanne, MWENYEKITI MBOWE alisema "kuanzia leo mtaanza kuona picha za Tundu Lissu" kwenye mitandao.
CHADEMA mmeshindwa kutimiza ahadi hiyo. Kitu hiki kinasikitisha.
Chama makini cha upinzani kina wajibu wa kuwa mfano wa utauwa na ahadi za ukweli.
Tukisema chadema ni wasanii mnabisha.Imetimu Jumatano saa tisa usiku saa za Afrika Mashariki.
Jana, Jummanne, MWENYEKITI MBOWE alisema "kuanzia leo mtaanza kuona picha za Tundu Lissu" kwenye mitandao.
CHADEMA mmeshindwa kutimiza ahadi hiyo. Kitu hiki kinasikitisha.
Chama makini cha upinzani kina wajibu wa kuwa mfano wa utauwa na ahadi za ukweli.
Kama walikosa huruma siku yupo mahututi ndio wapate leo?kuwa makini usije ukapakwa mafuta kwa kutafuta kikiTukisema chadema ni wasanii mnabisha.
Wanafanya editing kwanza,ukweli ni kuwa lissu hana hali nzuri bado,ila kwa kuwa kama kawaida yao kupenda kutumia matukio kama haya kisiasa,wanataka kumwaga picha za mgonjwa aliekondeana ambae miguu haifanyi kazi ili wapate huruma ya kisiasa
Risasi zako zilikugomea sasa unataka picha upeleke kwa sangoma!Imetimu Jumatano saa tisa usiku saa za Afrika Mashariki.
Jana, Jummanne, MWENYEKITI MBOWE alisema "kuanzia leo mtaanza kuona picha za Tundu Lissu" kwenye mitandao.
CHADEMA mmeshindwa kutimiza ahadi hiyo. Kitu hiki kinasikitisha.
Chama makini cha upinzani kina wajibu wa kuwa mfano wa utauwa na ahadi za ukweli.
mwenyekiti amehemkaRisasi 38 lazima wangesikia tukio
Swissme
kwa Znz ikibuma usishangae wale hawawezi kukubali kijana wa kiislam awaimbie halelujah huku amevaa msalabaMara ya mwisho alionekana Zanzibar...naona alienda kwa show ya Diamond akapeleka gundu lake show ya kijana wetu ikabuma....
Wewe jamaa hembu acha undezi, mbona raisi wako kipindi cha kampeni alituahidi ataongeza mishahara mpaka leo hajaongeza.