Adolph Sendeu
JF-Expert Member
- Apr 21, 2009
- 269
- 123
Mpaka leo napiga hesabu. Zile milion kumi kila siku nna hakika mpaka akiponA naona bilion kadhaa zimemtibu lisu inaweza akawa ni mtanzania aliyevunja rekod kwa matiababu ya gharama get well soon bro we all love inspite of having different views in our future
Sikuelewi, Tueseme atavunja rekodi ya gharama za Matibabu, Je umeshazungumzia kuvunja rekodi ya kumiminiwa riasasi zaidi ya 30 na bado akawa hai? Hebu jifafanue tukuelewe? Watz Hatupendi kuwa na Records Zetu wenyewe ndi maana hata majitu mengine yakiambiwa Mwl. Nyerere ametangazwa kuwa mwenye heri hayataki kwa chuki ya mioyo yaoooooo!!!!!