Wana JF, P/se sisi wana Shy/Kahama twaomba mpe nafasi asikilizwe Mbunge Wetu, sisi yanayoendelea huku Shy kwa maana ya majimbo yetu ya Khma, Msalaa, Solwa na mengineyo tunayajuwa pamoja na Mambo aliyofanyiwa Mbuge wetu Maige. Sisi vijana kwa Wazee tunamwamini Mbunge wetu, na tumempa instructions kwamba ahamie CDM na yeye amekubali na siku itafika tu atatangaza na tumrudishe huyohuyo kwa CDM na wala si CCM maana tunamwamini. Sasa tunaomba sisi wananchi wa Msalala tusikatishwe tamaa ya ushauri tuliompa. Tunaomba apokelwe CDM bila mashariti yoyote, yeye ataanika wazi wale aliowagusa maovu yao. Amezunguka sana vijiji vikubwa vya msalala lakini kila anakopita wanamtaka ahame kwenda CDM. Jamani tusimhukumu kwamba yeye mwizi atawaambia. Nyumba kama nyumba lazima ya dola $ 700 mil mbona hata JK, Mkapa, na mawaziri wengi tu wanazo? tumpokeeni jamani, ni mchapa kazi kwetu na bado tunamwitaji
Wana JF, P/se sisi wana Shy/Kahama twaomba mpe nafasi asikilizwe Mbunge Wetu, sisi yanayoendelea huku Shy kwa maana ya majimbo yetu ya Khma, Msalaa, Solwa na mengineyo tunayajuwa pamoja na Mambo aliyofanyiwa Mbuge wetu Maige. Sisi vijana kwa Wazee tunamwamini Mbunge wetu, na tumempa instructions kwamba ahamie CDM na yeye amekubali na siku itafika tu atatangaza na tumrudishe huyohuyo kwa CDM na wala si CCM maana tunamwamini. Sasa tunaomba sisi wananchi wa Msalala tusikatishwe tamaa ya ushauri tuliompa. Tunaomba apokelwe CDM bila mashariti yoyote, yeye ataanika wazi wale aliowagusa maovu yao. Amezunguka sana vijiji vikubwa vya msalala lakini kila anakopita wanamtaka ahame kwenda CDM. Jamani tusimhukumu kwamba yeye mwizi atawaambia. Nyumba kama nyumba lazima ya dola $ 700 mil mbona hata JK, Mkapa, na mawaziri wengi tu wanazo? tumpokeeni jamani, ni mchapa kazi kwetu na bado tunamwitaji
Katika hali isiyo ya kawaida waziri huyu aliyetemwa ambae anaonekana kama kondoo wa kuchinjwa kinyuma na walipigwa chini wengine ameonekana akiwa anasononeka sana na kuvuliwa kwake kwa uuzaji wa TWIGA na Wanyamapori ambao yeye anakiri akipata muda atasema wale wanyama walikuwa wa nani liwalo na liwe, Akiendelea kukinyamba chama chake kwa kutanabaisha kuwa safari imefika kikomo na sikio la kufa halisikii dawa.....akiwa kama abiria ndani ya basi ajualo linaenda kupinduka sasa Maige kufanya uamuzi wa busara kuamua kushuka kwenye basi hilo......ntawajuza lini na wapi ngojea niendelee kupelemba habari hizi kwakina baadae ni dadavue humuhumu jamvini.....JF reporter Geita
Mara nyingi watu hawajui siasa za Tanzania zilipofikia sasa! Unajua mimi ninaanza kuwa na wasiwasi kama huyu Mh alitendewa haki kuondolewa kwenye Uwaziri! Nimejiunga facebook yake kuangalia malalamiko yake na kusema ukweli naanza kupata picha halisi na si muda tunaweza kuona jinsi mikono ya Ufisadi ilivyojikita kufanya lolote kama ukiingilia maslahi yao! haswa kwa kupitia media yetu uchwara! Wajameni mumpe nafasi ajieleze tusimhukumu wkati tunajua tunaongozwa na Mbayuwayu anayefaidia na kukirimiwa na ufisadi huu unaoutafuna nchi!
Kwa muda aliokuwa waziri tayari ameshaweka vitega uchumi vya kutosha. Ana apartments, logistics and transport anayodai ina lori mbili, na kila mwezi anakamata net profit ya dola 20,000 kwa mwezi.
Net Profit = Gross profit + Income - Operating Expenses.
Kwa muda aliokuwa waziri tayari ameshaweka vitega uchumi vya kutosha. Ana apartments, logistics and transport anayodai ina lori mbili, na kila mwezi anakamata net profit ya dola 20,000 kwa mwezi.
Net Profit = Gross profit + Income - Operating Expenses.