Wana JF, P/se sisi wana Shy/Kahama twaomba mpe nafasi asikilizwe Mbunge Wetu, sisi yanayoendelea huku Shy kwa maana ya majimbo yetu ya Khma, Msalaa, Solwa na mengineyo tunayajuwa pamoja na Mambo aliyofanyiwa Mbuge wetu Maige. Sisi vijana kwa Wazee tunamwamini Mbunge wetu, na tumempa instructions kwamba ahamie CDM na yeye amekubali na siku itafika tu atatangaza na tumrudishe huyohuyo kwa CDM na wala si CCM maana tunamwamini. Sasa tunaomba sisi wananchi wa Msalala tusikatishwe tamaa ya ushauri tuliompa. Tunaomba apokelwe CDM bila mashariti yoyote, yeye ataanika wazi wale aliowagusa maovu yao. Amezunguka sana vijiji vikubwa vya msalala lakini kila anakopita wanamtaka ahame kwenda CDM. Jamani tusimhukumu kwamba yeye mwizi atawaambia. Nyumba kama nyumba lazima ya dola $ 700 mil mbona hata JK, Mkapa, na mawaziri wengi tu wanazo? tumpokeeni jamani, ni mchapa kazi kwetu na bado tunamwitaji