CHADEMA lazima itashinda uchaguzi 2015 - Maige

CHADEMA lazima itashinda uchaguzi 2015 - Maige

CCM itashindwa, lakini kushindwa kwake hakusababishwi na makundi. Kitakachowatoa ni kushindwa kutimiza wajibu wao wa kuitumikia jamii badala yake wanatumikia matumbo yao akiwemo huyuhuyu zezeta Maige.
 
Mbunge wa Msalala CCM Ezekiel Maige amekitabiria ushindi mkubwa chama cha Demokrasia na Maendeleo-CDM katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2015.

Maige amesema hiyo inatokana na vita ya makundi ndani ya chama hicho ambacho baadhi ya wanachama wananyooshea vidole wanachama wenzao kwamba ni mafisadi.

Ametoa mfano katika jimbo lake mwenyewe la Msalala kwamba ana uhakika jimbo hilo litachukuliwa na CDM kutokana na chuki na fitina za wanaCCM wenyewe.


SOURCE: NIPASHE JUMAPILI

Well done. Nakuomba baki huko huko SSM utusaidie kutundika kamba ya kunyoga magamba halafu 2015 karibu tukupe jimbo hilo hilo tu. Usiogope kufukuzwa, hilo Gamba si wazazi wako na CDM watakupokea tu.
 
Sasa yeye anangoja nini CCM? Si ajivue gamba, na ku-confess mbele ya Watanzania wote uzembe alioufanya maliasili hata kupelekea twiga wetu kuibiwa wakiwa hai? Anaendeleaje kubaki kwenye chama ambacho ni dhahiri kinaelekea kufa?

Hapana mkuu ngoja abaki kule kule atusaidia kuwamaliza. Halafu wale wanyama hai huyu Maige hahusiki moja kwa moja. Alifanikisha maagizo!!! Nafikiri alipokamatwa hotel ya Kibo Palace akipokea lile briefcase la mihela ambayo ilipitia kwake halafu alipobwana akawataja hadharani na kwa uzito wake ikabidi wamwachie ndo aliharibu!!! Maliasili kuna mambo mazito na pagumu sana maana ndiko utajiri wa mafisadi wengi ulipo!!!
 
​Anasema hata CCM wakilipitisha jina lake 2015 hatashinda
 
Kwa hiyo kajiandaa kuwa mfanyabiashara maana siasa itakuwa imeshamshinda.

Kwa muda aliokuwa waziri tayari ameshaweka vitega uchumi vya kutosha. Ana apartments, logistics and transport anayodai ina lori mbili, na kila mwezi anakamata net profit ya dola 20,000 kwa mwezi.
Net Profit = Gross profit + Income - Operating Expenses.
 
Well done. Nakuomba baki huko huko SSM utusaidie kutundika kamba ya kunyoga magamba halafu 2015 karibu tukupe jimbo hilo hilo tu. Usiogope kufukuzwa, hilo Gamba si wazazi wako na CDM watakupokea tu.
no! Hatumtaki ajipange tu kuwa mmojawapo wa watakaolala jela,.akija cdm kunamsafisha na wiz wa twiga?
 
Safi maige kumbe uwaziri waliokupa walikua wanakufunga mdomo sababu walijua ungekua mbunge wa kawaida ungewakaba koo eeh!?sasa ushakua mbunge na upo huru kusema lolote,kumbe wewe ni jembe endlea kufunguka na wakikutimua karibu chadema sababu kwetu hakuna adui wakudumu kama alivyosema mbowe.safi sana maige najua una mengi sana!
 
no! Hatumtaki ajipange tu kuwa mmojawapo wa watakaolala jela,.akija cdm kunamsafisha na wiz wa twiga?

Mkuu hata akija kuungama hatutampati kitubio arudi kundini? Tumpe nafasi ya kuungama wazi wazi jinsi walikuwa anafacilitate kazi za wakubwa na mafisadi!!!
 
Nape alishaliona hilo na ameahidi hata ccm ikiwa ni chama cha upinzani bado yeye hatahama, na ataendelea kupiga majungu hadi abaki pekeyake.
Ni kweli silaha pekee waliyobaki nayo CCM dhidi ya CDM ni kupiga majungu, na kupenyeza fitina. Hoja zilishawaishia siku nyingi! ndo maana utasikia ukabila, udini, ukanda nk. Uzuri wananchi wameshawashtukia.
 
no! Hatumtaki ajipange tu kuwa mmojawapo wa watakaolala jela,.akija cdm kunamsafisha na wiz wa twiga?

Mkuu hata akija kuungama hatutampati kitubio arudi kundini? Tumpe nafasi ya kuungama wazi wazi jinsi walikuwa anafacilitate kazi za wakubwa na mafisadi!!!E]
 
Mi nataka majibu ya nape tu, juu ya hil alilosema maige!
Nape hana majibu, majibu yake yatakuja muda si mrefu kwa Maige kufunguliwa mashtaka ya kutorosha nyara za serikali, kugawa vitalu kwa kutofuata taratibu, Kupunguza tozo katika mahoteli ya kitalii (Ingawa hili la Mwangunga),
TRA kukamata magari yake kwa kukwepa kulipa kodi ya mapato

 
Back
Top Bottom