Bome-e
JF-Expert Member
- Jan 3, 2014
- 17,104
- 26,070
Mbowe anawakosesha sana usingizi!Maumivu yakizidi,pateni ushauri wa daktari!Tumuongelee dj zero ambaye yupo hai
Mbowe anawakosesha sana usingizi!Maumivu yakizidi,pateni ushauri wa daktari!Tumuongelee dj zero ambaye yupo hai
Uwezo wa Mwenye SACCOSS yake ndio umeishia hapo. Na washauri wake ni wale Wasaga unga wawili wa kaskazini, huku Katibu Mkuu akiona marue rue tu!Kila mtu anajua mpango wa kuivuruga Chadema unavyokwenda.
Sasa why Chadema Wana play na mchezo huo? Kwanini wasijifunze kucheza tofauti?
Kama mpango ni kuwavuruga mfukuzane ..why msiamue 'hafukuzwi' mtu Kwa sasa?
Muache anaetaka kutoka atoke Tu mwenyewe?
Why kumjibu mtu kama Makonda?
Kwanini Chadema wasicheze mchezo wa wa kukataa Ku react wanapokuwa provoked?
After all imebaki miezi Tu uchaguzi uje .na wanafiki wote watahamia NCCR na kubaki kujipanga upya?Why uwape Kiki kuwa uliwafukuza?Why usiwaache kama huwaoni ..huku unachukua tahadhari kimyakimya?
Mtaa wa ufipaMuda ni mwalimu mzuri!Halafu misukuke huwa ipo lumumba!
Vp tutatembeza bakuli tena kurudisha posho?Ubongo wako ndiyo ulisha ganda lkn cdm bado inazidi kuimarika kuliko jana
In God we Trust
Sacco's yake mwenyewe Ina mshinda ni vurugu mtindo mmojaMakengeza anajua kuongoza kuliko mpiga tumba wenu
In God we Trust
Hoja yako nzuri sana ila jibu lake ndio linalosababisha Mhe. Mbowe aonekane uwezo wake wa kuwaza umekomea hapo na jibu ni DOUBLE STANDARD ndio kwamba wengine wakichamba sawaMbona Wabunge 2 wametangaza watajiunga NCCR baada ya Bunge kuvunjwa na hawajafukuzwa au hawa walioingia Bungeni zaman wangewafukuza Uanachama
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana mkuu.Mbowe anawakosesha sana usingizi!Maumivu yakizidi,pateni ushauri wa daktari!
Sasa CHADEMA ife mara ngapi jamaa?Utakufa wewe na watoto wako kabla ya CDM kufa!
rais alishasema watz sio wajingaUmenena ya kweli kiongozi
In God we Trust
Kama imekufa mbona haikauki vinywani mwenu?Angalia vyama vilivyokufa kama vinatajwa tajwa!JPM mwenyewe akiwa anaongelea CDM mpaka mshipa wa ngiri unamkaba halafu unaleta porojo hapa!
Acha waondoke... tulishawajua. Mbowe is smart.Kila mtu anajua mpango wa kuivuruga Chadema unavyokwenda.
Sasa why Chadema Wana play na mchezo huo? Kwanini wasijifunze kucheza tofauti?
Kama mpango ni kuwavuruga mfukuzane ..why msiamue 'hafukuzwi' mtu Kwa sasa?
Muache anaetaka kutoka atoke Tu mwenyewe?
Why kumjibu mtu kama Makonda?
Kwanini Chadema wasicheze mchezo wa wa kukataa Ku react wanapokuwa provoked?
After all imebaki miezi Tu uchaguzi uje .na wanafiki wote watahamia NCCR na kubaki kujipanga upya?Why uwape Kiki kuwa uliwafukuza?Why usiwaache kama huwaoni ..huku unachukua tahadhari kimyakimya?
that's not how politics should be played out my friend.Kila mtu anajua mpango wa kuivuruga Chadema unavyokwenda.
Sasa why Chadema Wana play na mchezo huo? Kwanini wasijifunze kucheza tofauti?
Kama mpango ni kuwavuruga mfukuzane ..why msiamue 'hafukuzwi' mtu Kwa sasa?
Muache anaetaka kutoka atoke Tu mwenyewe?
Why kumjibu mtu kama Makonda?
Kwanini Chadema wasicheze mchezo wa wa kukataa Ku react wanapokuwa provoked?
After all imebaki miezi Tu uchaguzi uje .na wanafiki wote watahamia NCCR na kubaki kujipanga upya?Why uwape Kiki kuwa uliwafukuza?Why usiwaache kama huwaoni ..huku unachukua tahadhari kimyakimya?
Kweli kabisa kama ilivyokufa CCM na kuzikwa na mafisi yote,sababu ukiona serikali za nchi nyingine zinavyoangaika na Corona lkn bado Mafisi yanaangaika na Chadema ujue ni maiti
Kwa sasa chadema haiongozwi na mawazo ya watu kama Baregu,chama kwa sasa kinaongozwa kwa mawazo ya mdee na Bulaya,unategemea niniKwanini Chadema wasicheze mchezo wa wa kukataa Ku rea
Maziko yake wala hayako mbali STAY TUNEKama imekufa mbona haikauki vinywani mwenu?Angalia vyama vilivyokufa kama vinatajwa tajwa!JPM mwenyewe akiwa anaongelea CDM mpaka mshipa wa ngiri unamkaba halafu unaleta porojo hapa!
Umepaniki?junya wee!Mkora na mharamia ni babako na mamako
In God we Trust