Bome-e
JF-Expert Member
- Jan 3, 2014
- 17,104
- 26,070
Mifano hapo uliyoweka ni marais walioondoka madarakani kwa aibu na fedheha kubwa!Naona Jiwe akipitia humo humo kwani yuko kama hao!Mbowe ajawahi kuongoza nchi lakini ameongoza chama kwa muda gani hadi sasa?
Nyerere aliongoza TANU na baadaye CCM kwa miaka mingapi vile?