chadema tabora kesho tutaendelea na operation sangara zindua tabora iliyoanza mwezi wa nne mwaka huu wa 2012,makamanda wote tuombeeni na harakati ili 2pate taifa lililo la kweli.na kesho tupo kata ya isevya hapa tabora mjini.
Unahutubiwa na akina nani? opration inaongzwa na nani? ratiba ikoje?
nimefurahi, kwani hapo ndio nyumbani kabisa...
Wapeni elimu Wana Tabora, wamekata tamaa sana...
Mbulula ni wewe mwenyewe mshika mikoba ya mafisadiChadema hakuna kamanda,wote ni njaa tu,ndiyo maana zitto anawafanya msilale.Nyie ni mburula tu,na hamtaingia ikulu kamwe,labda mjenge ikulu yenu moshi
Chadema hakuna kamanda,wote ni njaa tu,ndiyo maana zitto anawafanya msilale.Nyie ni mburula tu,na hamtaingia ikulu kamwe,labda mjenge ikulu yenu moshi
Mkuu kwa CHADEMA huhitaji kuuliza anahutubia nani, CDM kila mtu ni kamanda hata mwenyekiti wa Kitongoji anaweza fanya M4C
nimefurahi, kwani hapo ndio nyumbani kabisa...
Wapeni elimu Wana Tabora, wamekata tamaa sana...
EE bwana tafadhali usishushe hadhi ya jamvi bwana, hili jamvi ni kitovu cha elimu ,la watu waelewa na wanaofikiri sawasawa, usituletee akili ya mbayuwayu chadema haitaingia ikulu,,unataka kutuambia IKULU ni mama yako au ya wananchi ,wa kuamua kuingia ikulu ni wewe au baba yako , acha uchizi wewe umma ukiamua hakuna atakaye zuiaChadema hakuna kamanda,wote ni njaa tu,ndiyo maana zitto anawafanya msilale.Nyie ni mburula tu,na hamtaingia ikulu kamwe,labda mjenge ikulu yenu moshi
Keep it up wanangu kwani Tabora nayo ni moja ya sehemu inayotuangusha. Tunasubiri matokeo ya operation hiyo.chadema tabora kesho tutaendelea na operation sangara zindua tabora iliyoanza mwezi wa nne mwaka huu wa 2012,makamanda wote tuombeeni na harakati ili 2pate taifa lililo la kweli.na kesho tupo kata ya isevya hapa tabora mjini.
Historia inataka kujirudia siyo!mnakumbuka mareale alivyoendaUN,kudai uhuru wa watu wa kilimanjaro.Watu wa kaskazini nyie ni wabinafsi,ndiyo maana cdm kuna wachaga wengi