Subiri kesho,utashangaa. Mwana mfalme hana chake pale Chalinze. Baba mwenyewe hakuweza kutimiza aliyowaahidia,pamoja na kuwa yuko ofisi kuu;huyu mtoto atawezaje? Wana-Chalinze so majuha. Kesho ndiyo kesho.
haya ndio matahira yaliyobakia ccm ndio makampeni meneja
Achilia mbali CDM kushinda Chalinze, ikipata kura 1,000 nitatembea Uchi WA mnyama mitaani!
watu wakiongea ukweli mnawatukana kama chadema wanatengeneza website kwa mamilioni ya hela tukiwapa nchi hii tutauzwa watu kama ndizi halafu mbona kinaongozwa na watu wa ukanda fulani mbona wasukuma hamna wagogo hawapo ccm ndio chama makini sana na chama cha ukombozi wa watanzania kukisaliti ccm ni sawa na kujitukana wewe mwenyewe mfano huoni raisi wetu ni kijana na ana familia niambie kiongozi nani wa chadema ana familia
Unahitaji akili ya kawaida tu kutambua kwamba huwezi kutumia mbinu zilezile kwa jambo lile kila mahali halafu utegemee kupata matokeo tofauti!!! Sasa hivi wanamkimbiza mwizi kimya kimya!
watu wakiongea ukweli mnawatukana kama chadema wanatengeneza website kwa mamilioni ya hela tukiwapa nchi hii tutauzwa watu kama ndizi halafu mbona kinaongozwa na watu wa ukanda fulani mbona wasukuma hamna wagogo hawapo ccm ndio chama makini sana na chama cha ukombozi wa watanzania kukisaliti ccm ni sawa na kujitukana wewe mwenyewe mfano huoni raisi wetu ni kijana na ana familia niambie kiongozi nani wa chadema ana familia
Sijasikia mpango wa kulinda kura? Sijasikia mpango wa kurusha chopa ili kuhakikisha kura haziibiwi? Au inaelekea jimbo la chalinze ni dogo sana na haliitaji chopa? Au watu wa pwani wanauwezo wa kulinda kura zao kuliko watu wa lringa? Au ndo kauli ya Mwigulu imetimia kuwa itafika wakati "TUTAHESHIMIANA TU"?
Hivi mgombea alietelekezwa anashindaje?hahaha,,akipata kura 200 mi naacha bia
Ndiyo nini hicho?
Utapotezaje muda kwa watu wasioenda shule, ukiwapa pilau umemaliza, elimu zero wanaoana kwa mitungo, elimu sifuri wanakesha kucheza ngoma, asante Mungu sikutokea mikoa ya pwani, hopeless kabisa
Tuombe mungu.maana ccm ni majangaWakuu kuna mtu kanitonya kua mathayo torongey uweza akapata ushindi kwa kishindo kwasababu kuna wamasai asilimia 70% wanamuunga mkono kesho ni kesho wacha tusubili
Achilia mbali CDM kushinda Chalinze, ikipata kura 1,000 nitatembea Uchi WA mnyama mitaani!
Siku zako ktk tarehe hii!
Kichwa cha habari hapo juu chahusika... Sikutegemea ya matokeo ya kalenga...
Wana-chalinze tafadhali tusishindwe sana angalau mtutie moyo kidogo....