Subiri kesho,utashangaa. Mwana mfalme hana chake pale Chalinze. Baba mwenyewe hakuweza kutimiza aliyowaahidia,pamoja na kuwa yuko ofisi kuu;huyu mtoto atawezaje? Wana-Chalinze so majuha. Kesho ndiyo kesho.
Wakuu kuna mtu kanitonya kua mathayo torongey uweza akapata ushindi kwa kishindo kwasababu kuna wamasai asilimia 70% wanamuunga mkono kesho ni kesho wacha tusubili
Itakua miujiza,mimi ni CHADEMA Lakini kwa hapo nahisi hata management ya CHADEMA Imeliona hilo ndio maana haijatumia nguvu nyingi za Kipesa kwenye kampaini kama ilivyokuwa KALENGA,walichokifanya ni kuonyesha chama kina uhai na kama marketing tools ya kukitangaza chama eneo hilo ambalo dorminant wake ni MACCM
Utapotezaje muda kwa watu wasioenda shule, ukiwapa pilau umemaliza, elimu zero wanaoana kwa mitungo, elimu sifuri wanakesha kucheza ngoma, asante Mungu sikutokea mikoa ya pwani, hopeless kabisa
Utapotezaje muda kwa watu wasioenda shule, ukiwapa pilau umemaliza, elimu zero wanaoana kwa mitungo, elimu sifuri wanakesha kucheza ngoma, asante Mungu sikutokea mikoa ya pwani, hopeless kabisa
Wakuu kuna mtu kanitonya kua mathayo torongey uweza akapata ushindi kwa kishindo kwasababu kuna wamasai asilimia 70% wanamuunga mkono kesho ni kesho wacha tusubili
Utapotezaje muda kwa watu wasioenda shule, ukiwapa pilau umemaliza, elimu zero wanaoana kwa mitungo, elimu sifuri wanakesha kucheza ngoma, asante Mungu sikutokea mikoa ya pwani, hopeless kabisa
Sijasikia mpango wa kulinda kura? Sijasikia mpango wa kurusha chopa ili kuhakikisha kura haziibiwi? Au inaelekea jimbo la chalinze ni dogo sana na haliitaji chopa? Au watu wa pwani wanauwezo wa kulinda kura zao kuliko watu wa lringa? Au ndo kauli ya Mwigulu imetimia kuwa itafika wakati "TUTAHESHIMIANA TU"?