Rasrimali zipi za chama zimetumiwa vibaya...?
Nani kazitumia vibaya na kwa namna gani..?
Unajua nini
Mmawia...?
Wewe na wenzako mu wajinga. Hivi ndivyo ninavoweza kuwa - describe. I am sorry ukihisi nimekutukana. Hata hivyo, hivi ndivyo mlivyo...!
Kwa sbb mtu anayekubali kuhongwa vipesa ili akamseme mtu mwingine kwa uongo, obviously huyo mtu ni mjinga tu kwa kuwa anakuwa hajui afanyalo na athari zake..!
Mnatengeneza ujinga na upumbavu wenu huku na kuuita "kashfa dhidi ya John Heche" mkidhani kuwa Watanganyika wa Leo wanaweza kununua ujinga wenu. NO WAY...!!
Binafsi, nafahamu kuwa John Heche (Makamu Mwenyekiti CHADEMA - Tanganyika), Makamu Mwenyekiti CHADEMA - Zanzibar na Katibu Mkuu John Mnyika ndio nguzo kuu za CHADEMA kwa sasa wakati Mwenyekiti wa chama hiki Tundu Lissu akiwa gerezani...
Nafahamu pia kuwa ili CHADEMA isambaratike na iwe rahisi kukubali matakwa ya watawala hayawani wa serikali haramu chini ya CCM na Samia ni lazima itafutwe njia yoyote kuwafarakanisha hawa watatu ndipo mlango ufunguke...
Tunamfahamu fika kuwa mmeshakwenda kwao na mabilioni ya fedha za hongo ili wamsaliti Mwenyekiti wao aliyeko gerezani, wamekataa na hivyo mpango mzima kubuma...!
Sasa mnakuja na propaganda za kijinga, kitoto na upumbavu mtupu ambao kila aliye timamu wa akili akisoma au kusikiliza, anatambua mara Moja kuwa hakuna kitu hapa, ni matango pori tu...
Kuanzia fahamuni kuwa, waliochaguliwa kuongozwa chama hiki (CHADEMA) katika uchaguzi halali, huru, wazi na wa haki ni Tundu Lissu (M/Kiti), John Heche (M/M/Kiti - Tanganyika) na Said Issa (M/M/Kiti - Zanzibar) sambamba na utendaji uliotukuka wa secretariat makini chini ya Katibu Mkuu John Mnyika...
There's no way unaweza kuihonga timu hii na wasalitiane na kukirudisha matopeni tena chama hiki muhimu kwa mustakabali wa nchi na taifa la Tanganyika..
Ujasiriamali wa kisiasa wa Freeman Mbowe na chawa wake ulifikia ukomo wake 21/1/2025. Tunawahakikishia kuwa, there's no turning back...!!