CHADEMA kuna tatizo kama ni kweli

CHADEMA kuna tatizo kama ni kweli

Upo sahihi sana ila ni vyema sana kuanza kulijadili hilo maana hata mbuyu ulianza kama mchicha
unataka watu wajadili udaku.
leo hii mtu x atajirekodi huko uchochoroni na kusema Mmawia ni choko, unataka ndugu zako waichukulie habari hiyo seriously?
haujui kwamba watu wanaweza kuandika au kuongea chochote wanachojisikia hata kama ni cha uongo.
 
Kumekuwa na shutuma nyingi sana juu ya uongozi wa juu wa chama.

Shutuma za ubadhilifu wa rasilimali fedha ndani ya chama.

Huu ni ushuhuda kutoka kwa mmoja wa viongozi wa chama mkoa wa Kilimanjaro.


Tujadili wana Jf
View attachment 3624857
Mmawia na wewe uwe na akili japo kidogo. Hii si habari ya kuleta hapa. Kwanza huyo jamaa ni nani?
 
Mmawia na wewe uwe na akili japo kidogo. Hii si habari ya kuleta hapa. Kwanza huyo jamaa ni nani?
Mkuu kwako habari inayotakiwa kujadiliwa ni ipi?
Hujui kuwa kwa kuanzisha mijadala kama hii inawafanya hao wanaotuhumiwa kujirekebisha?

Tunahitaji kujipambanua chama nje na ndani ya chama
 
Shutuma zimekuwa nyingi sana kuhusu matumizi ya rasilimali za chama
kuna kipindi heche aliwahi kulalamika gharama kubwa TRA za kulipia Crown kutoka ng'ambo.

wengi walifikiri anawatetea wao kumbe ni yeye kashindwa kuikomboa Crown yake TRA kutokana na ukata wa pesa aliokua akiupitia.

wakimchunguza,
watagundua baadhi ya pesa kalipia Crown na mikopo yake ya kausha damu mitaani.

kwasababu pesa alizopewa na wafaddhili wa chadema ni nyingi, hata msiba wa mfanyakazi wake majuzi watu hawajui tu uhusika wa heche ila malipo ni hapa hapa duniani 🐒
 
Kila mwana ccm anaweza kukaimu nafasi ya mzee wasira?
heche ni fisadi,
hawezi kudumu kwenye nafasi aliyonayo hivi sasa kwa zaidi ya miezi miwili ijayo, atabanduliwa na Joseph Selasini anakwenda kua kaimu mwenyekiti wa chadema taifa 🐒
 
Kumekuwa na shutuma nyingi sana juu ya uongozi wa juu wa chama.

Shutuma za ubadhilifu wa rasilimali fedha ndani ya chama.

Huu ni ushuhuda kutoka kwa mmoja wa viongozi wa chama mkoa wa Kilimanjaro.

Tujadili wana Jf

View attachment 3624857

---------------

Mwenyekiti wa Chadema Jimbo la Mwanga, Mkoani Kilimanjaro Lembrus Mchome ametoa tuhuma dhidi ya Makamu Mwenyekiti wa Chadema Bara, John Heche, akidai kuwa amekuwa akikusanya fedha kutoka kwa wadau, wafanyabiashara na mashirika mbalimbali kwaajili ya shughuli za chama lakini fedha hizo hazijafikishwa kwenye mifuko rasmi ya chama.

Akizungumza na waandishi wa habari, Mchome amedai kuwa suala hilo lilijadiliwa katika kikao cha Kamati Kuu ya Chadema na kusababisha mvutano miongoni mwa viongozi, akimpongeza Godbless Lema kwa kile alichodai kuwa ni alisimama kidete kutaka fedha hizo ziwekwe wazi na kuwajibishwa kwa waliohusika.

"Tumekuwa na Makamu Mwenyekiti ambaye amekuwa akichukua fedha kutoka kwa wadau mbalimbali lakini zimekuwa hazifiki ndani ya chama. Ndio maana juzi kwenye Kamati Kuu wamegombana. Nimpongeze sana Godbless Lema kwani alisimama kidete kutaka fedha hizi zirudi, lakini haikuwezekana kwani Makamu Mwenyekiti alidai kuwa ameshazitumia na nyingine amenununulia vyombo vya muziki vya chama," alisema Mchome.

Mchome amebainisha kuwa baadhi ya wafanyabiashara waliowasiliana na Uongozi wa Chadema kupitia Kamati kuu iliyoketi Mkoani Kigoma walithibitisha kuwa walitoa michango kwa Heche kwaajili ya kukisaidia chama. Pia alidai Heche alisafiri hadi Afrika Kusini kwa lengo la kupokea fedha kutoka kwa wadau, akitoa rai ya wanachadema kumshinikiza Heche kujiondoa kwenye uongozi ili kupisha uchunguzi wa tuhuma hizo.

"Sasa niwaombe wanachama wa Chadema tushikamane kumtaka John Heche atupishe kwanza kwaajili ya uchunguzi. Chama hiki kinaamini katika misingi ya haki na kupinga ufisadi, kwa hiyo kwanini leo tumfumbie macho Heche?" alisema Mchome.

Katika hatua nyingine Mchome amemtuhumu Heche kunufaika kisiasa na hali ya Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu kuwa gerezani, akisema amekuwa akijijenga kisiasa pamoja na kutumia mwanya huo kuweza kufanya ubadhirifu kwa


Chanzo: Michuzi TV
Huyo alishatimuliwa Chadema
 
Kumekuwa na shutuma nyingi sana juu ya uongozi wa juu wa chama.

Shutuma za ubadhilifu wa rasilimali fedha ndani ya chama.

Huu ni ushuhuda kutoka kwa mmoja wa viongozi wa chama mkoa wa Kilimanjaro.

Tujadili wana Jf

View attachment 3624857

---------------

Mwenyekiti wa Chadema Jimbo la Mwanga, Mkoani Kilimanjaro Lembrus Mchome ametoa tuhuma dhidi ya Makamu Mwenyekiti wa Chadema Bara, John Heche, akidai kuwa amekuwa akikusanya fedha kutoka kwa wadau, wafanyabiashara na mashirika mbalimbali kwaajili ya shughuli za chama lakini fedha hizo hazijafikishwa kwenye mifuko rasmi ya chama.

Akizungumza na waandishi wa habari, Mchome amedai kuwa suala hilo lilijadiliwa katika kikao cha Kamati Kuu ya Chadema na kusababisha mvutano miongoni mwa viongozi, akimpongeza Godbless Lema kwa kile alichodai kuwa ni alisimama kidete kutaka fedha hizo ziwekwe wazi na kuwajibishwa kwa waliohusika.

"Tumekuwa na Makamu Mwenyekiti ambaye amekuwa akichukua fedha kutoka kwa wadau mbalimbali lakini zimekuwa hazifiki ndani ya chama. Ndio maana juzi kwenye Kamati Kuu wamegombana. Nimpongeze sana Godbless Lema kwani alisimama kidete kutaka fedha hizi zirudi, lakini haikuwezekana kwani Makamu Mwenyekiti alidai kuwa ameshazitumia na nyingine amenununulia vyombo vya muziki vya chama," alisema Mchome.

Mchome amebainisha kuwa baadhi ya wafanyabiashara waliowasiliana na Uongozi wa Chadema kupitia Kamati kuu iliyoketi Mkoani Kigoma walithibitisha kuwa walitoa michango kwa Heche kwaajili ya kukisaidia chama. Pia alidai Heche alisafiri hadi Afrika Kusini kwa lengo la kupokea fedha kutoka kwa wadau, akitoa rai ya wanachadema kumshinikiza Heche kujiondoa kwenye uongozi ili kupisha uchunguzi wa tuhuma hizo.

"Sasa niwaombe wanachama wa Chadema tushikamane kumtaka John Heche atupishe kwanza kwaajili ya uchunguzi. Chama hiki kinaamini katika misingi ya haki na kupinga ufisadi, kwa hiyo kwanini leo tumfumbie macho Heche?" alisema Mchome.

Katika hatua nyingine Mchome amemtuhumu Heche kunufaika kisiasa na hali ya Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu kuwa gerezani, akisema amekuwa akijijenga kisiasa pamoja na kutumia mwanya huo kuweza kufanya ubadhirifu kwa


Chanzo: Michuzi TV
Wewe unamwamini mtu aliyeenda kushitaki chama kwa Msajili kifungiwe ?
 
Kumekuwa na shutuma nyingi sana juu ya uongozi wa juu wa chama.

Shutuma za ubadhilifu wa rasilimali fedha ndani ya chama.

Huu ni ushuhuda kutoka kwa mmoja wa viongozi wa chama mkoa wa Kilimanjaro.

Tujadili wana Jf

View attachment 3624857

---------------

Mwenyekiti wa Chadema Jimbo la Mwanga, Mkoani Kilimanjaro Lembrus Mchome ametoa tuhuma dhidi ya Makamu Mwenyekiti wa Chadema Bara, John Heche, akidai kuwa amekuwa akikusanya fedha kutoka kwa wadau, wafanyabiashara na mashirika mbalimbali kwaajili ya shughuli za chama lakini fedha hizo hazijafikishwa kwenye mifuko rasmi ya chama.

Akizungumza na waandishi wa habari, Mchome amedai kuwa suala hilo lilijadiliwa katika kikao cha Kamati Kuu ya Chadema na kusababisha mvutano miongoni mwa viongozi, akimpongeza Godbless Lema kwa kile alichodai kuwa ni alisimama kidete kutaka fedha hizo ziwekwe wazi na kuwajibishwa kwa waliohusika.

"Tumekuwa na Makamu Mwenyekiti ambaye amekuwa akichukua fedha kutoka kwa wadau mbalimbali lakini zimekuwa hazifiki ndani ya chama. Ndio maana juzi kwenye Kamati Kuu wamegombana. Nimpongeze sana Godbless Lema kwani alisimama kidete kutaka fedha hizi zirudi, lakini haikuwezekana kwani Makamu Mwenyekiti alidai kuwa ameshazitumia na nyingine amenununulia vyombo vya muziki vya chama," alisema Mchome.

Mchome amebainisha kuwa baadhi ya wafanyabiashara waliowasiliana na Uongozi wa Chadema kupitia Kamati kuu iliyoketi Mkoani Kigoma walithibitisha kuwa walitoa michango kwa Heche kwaajili ya kukisaidia chama. Pia alidai Heche alisafiri hadi Afrika Kusini kwa lengo la kupokea fedha kutoka kwa wadau, akitoa rai ya wanachadema kumshinikiza Heche kujiondoa kwenye uongozi ili kupisha uchunguzi wa tuhuma hizo.

"Sasa niwaombe wanachama wa Chadema tushikamane kumtaka John Heche atupishe kwanza kwaajili ya uchunguzi. Chama hiki kinaamini katika misingi ya haki na kupinga ufisadi, kwa hiyo kwanini leo tumfumbie macho Heche?" alisema Mchome.

Katika hatua nyingine Mchome amemtuhumu Heche kunufaika kisiasa na hali ya Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu kuwa gerezani, akisema amekuwa akijijenga kisiasa pamoja na kutumia mwanya huo kuweza kufanya ubadhirifu kwa


Chanzo: Michuzi TV
Wahi buku 7 yako Lumumba
 
heche ni fisadi,
hawezi kudumu kwenye nafasi aliyonayo hivi sasa kwa zaidi ya miezi miwili ijayo, atabanduliwa na Joseph Selasini anakwenda kua kaimu mwenyekiti wa chadema taifa 🐒

Fisadi kwa ela gani? Ela wanapata wapi? Njia zote ziko blocked,

Au hizo mia tano mia tano? Ruzuku hawana, ela za ufisadi ni zipi sasa?

Mwacheni jamaa apige kazi

Huyo selasini ni agent wenu ameenda kuleta vurugu tu pale, alitumwa nccr kamtoa mbatia now anaenda chadema amtoe heche
 
Fisadi kwa ela gani? Ela wanapata wapi? Njia zote ziko blocked,

Au hizo mia tano mia tano? Ruzuku hawana, ela za ufisadi ni zipi sasa?

Mwacheni jamaa apige kazi

Huyo selasini ni agent wenu ameenda kuleta vurugu tu pale, alitumwa nccr kamtoa mbatia now anaenda chadema amtoe heche
hapo ndiko penyewe gentleman 🤣
 
Kwa nini wamemtimua? Nakumbuka Msigwa alipotoa shutma zake kuhusu ubadhirifu katika CDM ya Mbowe, Lissu alisema shutma zake zijibiwe. Na Msigwa hakufukuzwa kwenye chama. Sasa kwa nini badala ya kufuata ushauri wa Lissu na kujibu shutma za Mchome CDM wanamfukuza? Hawaoni kuwa kwa kufanya hivyo wanampa credibility ambayo pengine hastahili?

Amandla...
 
Fisadi kwa ela gani? Ela wanapata wapi? Njia zote ziko blocked,

Au hizo mia tano mia tano? Ruzuku hawana, ela za ufisadi ni zipi sasa?

Mwacheni jamaa apige kazi

Huyo selasini ni agent wenu ameenda kuleta vurugu tu pale, alitumwa nccr kamtoa mbatia now anaenda chadema amtoe heche
Hana ubavu wa kuleta migogoro ndani ya cdm
 
Back
Top Bottom