Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 123,228
- 98,188
- Thread starter
- #161
Imenibidi nikupe like kwanza ili utilize akili zako.Namjua vizuri sana huyu Mmawia si tu kwa hii nickname yake bali kwa jina lake halisi, anapoishi, shughuli yake na role yake ndani ya CHADEMA
Huyu ni TEAM FREEMAN MBOWE 100% na mpaka sasa hawaamini kuwa walishindwa kwenye uchaguzi wa 21/1/2025
Ni wazi kuwa harakati za kisheria kupitia mahakama kwa usaidizi wa serikali haramu chini ya Samia Suluhu Hassan na CCM yake kuifanya CHADEMA a toothless dog zimeshagonga mwamba. Sasa wanajaribu kuisambaratisha from outside kwenda inside...
Hii kizungu inaitwa Sabotage. Wanafikiri wanaweza kuu - sabotage uongozi wa Mwenyekiti Tundu Lissu na hivyo kukirudisha chama mikononi mwao ili waanze kupiga hela toka kwa watawala waovu...
Tundu Lissu, John Heche na John Mnyika wameshategeshewa mabilioni ya shilingi ili wasalitiane. Tundu Lissu awasaliti wenzake na John Mnyika na Heche wamsaliti Mwenyekiti wao, IMESHINDIKANA...!!
Kiongozi wa kizazi hiki kilichojaa tamaa na ulafi wa pesa kukataa pesa chafu za damu nyingi kiasi hicho ambazo angekula miaka na miaka na familia yake, ni kiongozi muhimu na anayestahili Kulindwa sana na ofcoz hawa tayari wako chini ya ulinzi dhabiti wa Mungu Yehova mwenyewe..!
Sawa Mmawia..
Na pole sana kwa fimbo hizi. Mwana mpotevu na aliyekengeuka lazima apate kibano kidogo ili kumrejesha katika mstari...
Na honestly, mnafanya mambo yenu kienyeji sana...
Mnafanya makusudi ku - sabotage mapambano dhidi ya dhuluma, uonevu na mauaji yanayofanywa na watawala dhalimu wasio na ridhaa ya wananchi kuongoza nchi na taifa hili...
Deep ndani kabisa toka ktk moyo wako, Heche huyu anayewindwa na watawala ktk kila hatua ili auwawe na ikishindikana la kumuua ingalau abambikiwe kesi mbaya isiyo na dhamana anaweza vipi kufanya kosa la kijinga hivi kujichafua ili nyie wahuni mpate sababu ya kumshitaki? Ona tu, juzi wamemuua dereva wake masikini. Lakini Ukweli, aliyekuwa anatafutwa ni yeye..!!
Mimi Mtumishi wa Yesu Kristo aliye hai, ninawashauri tafuteni njia nyingine halali za kujipatia pesa za kutunza familia zetu na mahitaji ya starehe zenu binafsi..
Kukubali kupokea pesa za damu kutoka kwa watawala hayawani wa serikali hii dhalimu na haramu walioua maelfu ya ndugu zetu ni kujichumia laana, mabalaa na mikosi isiyo na sababu kabisa bali kwa kujitakia kwa sbb ya tamaa zenu..
Kwa taarifa yako ni kwamba Mmawia atabakia kuwa yuleyule wa jana na leo.
Mimi Nilikuwa MH Mbowe team Hainan ubishi lkn baada yeye kustaafu Hilo halikunifanya niachane na siasa.
Hivyo bado nipo sana ndani ya CDM ili kutafuta au kusafishq njia ya KUELEKEA kwenye nchi ya asali na mtindi