Mbona umepaniki sana Lema ni kiboko ya ccm mkisikia hilo jina ccm mnatetemeka mwili mzma kama yule mbunge wa monduli
Muziki wa Lema ccm hamtauweza hata siku moja Arusha Lema ndo nyumbaniMkuu labda CHADEMA wenzie ndio wanamuogopa, sisi hatuna haja ya kumuogopa mtu mwepesi vile ndio maana tulikuwa tunamsubiri katika uwanja wa mapambano hapo october ila CHADEMA wanamuondoa kabla!
Sasa mbona mnamuomdoa kwenye uwanja wa vita?
Muziki wa Lema ccm hamtauweza hata siku moja Arusha Lema ndo nyumbani
Hapa unamjadili Lema au Mbowe mbona hueleweki au umechangikiwa
Musalani subiri Baada ya Uchaguzi ndio utaona Lema Anakubalika Au Lah...
bado lema ana miaka 50 ya kuongoza jimbo la arusha...atawafirimba magamba mpaka basi.
Kazi uliyopewa ya kushinda huku jf na kuanza kumfukuzia lema na dr. Slaa naona watanzania wameshakushtukia. Lakini upo kazini endelea kupiga mihela kwa kutunga uzushi humu bila hivyo wewe na familia yako hamuendi msalani ng'o
Msalani mwenyewe anamkubali sana Lema