Ccm kwisha habari yenu kumbe mnamgwaya Lema kiasi hicho. Hahahaaaa, Rip Ccm Arusha
kwa taarifa tu. arusha hakuna maendeleo zaidi tunayotaka. lema afanye asifanye. tayari arusha kuna lami karibia mitaa yote maji shule zenye maabara umeme mahosipitali hoteli nyingi za kitalii. arusha ndio jiji linaloongoza kwa urahisi wa kupata hela. hakuna tunachoitaji arusha zaidi ya kulinda na kusimamia haki za wana arusha na kusimamia mapato na matumizi ndani ya arusha. maendeleo kaulizeni wakina komba olemedeye na wengine wengi wa ccm. wananchi wa arusha ndio cc lema hoooooooyeeeeeeee.
Wewe na MBOWE nani anayejua majaliwa ya LEMA?
Uko KIBOSHO halafu unajifanya uko Arusha.
Acha maigizo wewe, huijui Arusha kuzidi sisi wazawa wa hapa!
Hujui Adha tunazopata kwa kukosa mwakilishi sahihi bungeni!!
MSALANI huwa unapenda kutukanwa ee?? Movie za kigaidi Part II zimeshtukiwa sasa unakuja na porojo za kijinga ili upate attention ... Lema atakuwa Mbunge wa Kudumu ndani ya A-town ... chini ya Lema CCM imewekwa kwenye Museum ..
Wana Arusha ndiyo wanajua....Wewe na MBOWE nani anayejua majaliwa ya LEMA?
Muache kiongozi wa taifa aingoze Arusha waliokutuma kawaambie Lema anakubarika nchi nzima si Arusha tu! Ngombe mufu wewe
ba wewe umejiona umefungua thread.Wanachadema Arusha hovyo kabisa,
Hamjui hata habari za ndani za chama chenu?
Jana baada ya mkutano na wadau pale CORRIDOR SPRINGS Mbowe alifanya kikao cha siri na viongozi wa CHADEMA pale SAFARI Hotel na haya ndio yaliyojiri!
Vizuri kama wamefanya hivyo mimi mwenyewe tarudi Arusha kuwekeza nilikuwa nahofia fujo na maandamano yasiyokuwa na tija yeyote.Wanachadema Arusha hovyo kabisa,
Hamjui hata habari za ndani za chama chenu?
Jana baada ya mkutano na wadau pale CORRIDOR SPRINGS Mbowe alifanya kikao cha siri na viongozi wa CHADEMA pale SAFARI Hotel na haya ndio yaliyojiri!