gogo la shamba
JF-Expert Member
- Mar 1, 2013
- 6,669
- 2,165
unachozungumza ni sawa na kusema Bacelona hawamtaki Messi. sisi kina gogo la shamba tulishasema Lema ni Messi wa Arusha
Lema ametia aibu sana Arusha. uwezo wake wa kujenga hoja ni mdogo sana. Waliomchagua Lema nina wasiwasi na utimamu wao wa akili
Mkuu Musa Alani, jee ahadi zenyewe ndio hizi?, kama zinavyoelezwa na hawa wana jf wawili hapa?.Wanajamvi! Amani idumu Tanzania!
Hizi ni habari zenye uhakika 100% nilizozipata kutoka ndani ya CHADEMA na zikathibitishwa na mmoja wa viongozi wakuu hapa mkoani.
CHADEMA kupitia mwenyekiti wao wameongea na Mbunge wa Arusha mjini Bw Godbless J Lema na kumuomba asigombee tena ubunge wa jimbo la Arusha mjini kupitia chama hicho.
Wapiga Kura wengi wa Arusha mjini wamefurahishwa na habari hizi kwani wengi wao wamechoshwa na vituko vya Mh.LEMA na sasa wanataka maendeleo.
Mwaka 2010 wakati wa kampeni, ulitoa ahadi ambazo zilisababisha watu wengi wakupe kura nikiwemo mimi.
cha kushangaza mpaka leo(miaka mitatu baadaye) hakuna hata moja iliyotekelezwa.
Vp na lile trekta ulilolitoa kwa wananchi liko wapi?
- Kuhamishia stendi kubwa ya mabasi eneo la ngulelo ili kupunguza msongamano mjini.
- kujenga Machinga complex kubwa katikati ya jiji la Arusha.
- Kuwapa akinamama na vijana mikopo ya kujiendeleza.
CHADEMA na LEMA acheni kudanganya wananchi, msidhani hatuna akili. Tunawangoja kwenye boksi la kura 2015.
Mwaka 2010 wakati wa kampeni, ulitoa ahadi ambazo zilisababisha watu wengi wakupe kura nikiwemo mimi.
cha kushangaza mpaka leo(miaka mitatu baadaye) hakuna hata moja iliyotekelezwa.
- Kuhamishia stendi kubwa ya mabasi eneo la ngulelo ili kupunguza msongamano mjini.
- kujenga Machinga complex kubwa katikati ya jiji la Arusha.
- Kuwapa akinamama na vijana mikopo ya kujiendeleza.
Vp na lile trekta ulilolitoa kwa wananchi liko wapi?
CHADEMA na LEMA acheni kudanganya wananchi, msidhani hatuna akili. Tunawangoja kwenye boksi la kura 2015.
Mkuu Musa Alani, jee ahadi zenyewe ndio hizi?, kama zinavyoelezwa na hawa wana jf wawili hapa?.
Pasco
Kaondolewa wapi?LEMA kaondolewa na wenzie huko CHADEMA sio sisi.
Vizuri kama wamefanya hivyo mimi mwenyewe tarudi Arusha kuwekeza nilikuwa nahofia fujo na maandamano yasiyokuwa na tija yeyote.
Lema hatufai wana Arusha kama vipi kagombee kwa kina SOCIOLIGSTTZ Ndo wanataka matapeli wa Siasa
Wanachadema Arusha hovyo kabisa,
Hamjui hata habari za ndani za chama chenu?
Jana baada ya mkutano na wadau pale CORRIDOR SPRINGS Mbowe alifanya kikao cha siri na viongozi wa CHADEMA pale SAFARI Hotel na haya ndio yaliyojiri!
Vizuri kama wamefanya hivyo mimi mwenyewe tarudi Arusha kuwekeza nilikuwa nahofia fujo na maandamano yasiyokuwa na tija yeyote.
Muache kiongozi wa taifa aingoze Arusha waliokutuma kawaambie Lema anakubarika nchi nzima si Arusha tu! Ngombe mufu wewe
MUSSA ALLAN mnamuogopa Lema sana.